Recent content by Kibulungwe

  1. K

    Bila Uwepo wa CCM Madarakani Nchi ingekuwa Imesambaratika na Kugawanyika vipande vipande

    Bwana Lucas huwezi kumjibu mtu wa namna hiyo atakupotezea muda wako.
  2. K

    Bila Uwepo wa CCM Madarakani Nchi ingekuwa Imesambaratika na Kugawanyika vipande vipande

    Hawa ndio vijana ambao, mchango wao kwa Taifa hili ni mdogo sana! Unashindwa kujenga hoja unaanza kumshambulia mtu kwa matusi! Ndio hawa wakipewa nchi itagawanyika vipande vipande! Mawazo mbadala yanaruhusiwa lakini sio kutukana,.
  3. K

    Kibu analeta sanaa ya mpira kama walifanya wakina Fei na Dube, Simba wajiandae kwa lolote

    Umenena mtaalam! Mchezo kutumia nguvu na akili kama kweli amepata sehemu inamlipa aende, maisha yake yanapita ila Simba ipo tuu! Akapige pesa atengeneze maisha huu ndio wakati wake!
  4. K

    Refa na Mkufunzi wa FIFA akataa goli la Yanga

    Watu wanashindwa kuelewa huu mjadala unazidi kuipaisha Yanga kimataifa!
  5. K

    Mo aweka 500milion Simba akishinda ingawa hata yeye anajua tu haiwezekani

    Hii ni biashara anajua akitoa 500, Simba ikienda nusu atapata mara mbili na nusu ya hiyo!
  6. K

    Aprili 1, 2024: Gridi ya Taifa yapata Hitilafu, TANESCO waomba radhi

    Hii ni hitilafu iliyojitokeza kwenye miundombinu ya umeme sio mgao wa umeme! Ingekua ni mgao wasingekata usiku wa manane. Tuwe na mawazo chanya sio mawazo hasi siku zote!
  7. K

    Simba kuna vipaji havitumiki

    Benchika sikumwelewa kumwacha Sarr na kumtoa Kanoute, hii ilikua sub ya hovyo!
  8. K

    Subaru Forester Vs Mazda CX5

    Nina fundi wangu mmoja ninamkubali ila anasema engine za Mazda zina changamoto sana, toka zimeanza kuingia kwa wingi hizi Mazda anasema zimeletwa kwake zaidi ya nane kwa matatizo engine tena zote namba E'! Ni kweli au hao watumiaji hawana uelewa nazo.?
  9. K

    FT: Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 17.03.2024

    Ukweli mchungu, siioni timu ya kuifunga Yanga kwenye ligi yetu!
  10. K

    Natabiri Yanga kutolewa na Mamelodi kwa jumla ya Magoli 7-1

    Tuheshimu mpira wa miguu tuache ushabiki, tuchambue mpira kwa kuangalia viwango vya ubora wa wachezaji ndio tuje na hitimisho la michezo yote kwa timu zetu mbili Simba na Yanga! Kiukweli kabisa Yanga hawana deni hapa walipofikia ila wanaweza kwenda mbali zaidi kutokana na ubora walionao...
  11. K

    Usajili wa Freddy Micheal Koublan, Simba SC tumepigwa!

    Ni kweli mtaalam, tatizo la Simba maamuzi yana mlolongo mrefu na kuna watu wengi wanakula cha juu hapo, tofauti na Yanga, pesa inatoka kwa Gharib moja kwa moja kwa Engineer kutafuta wachezaji!
  12. K

    Mabilioni ya pesa inayoshinda simba ligi ya caf ikiwemo bilioni 5 ya African super League waliyopewa mwaka jana zinaenda wapi ?

    Timu hii ina mlolongo mrefu sana wa watu wapigaji! Pesa hadi ikifika kwenye malengo husika imebakia ngozi tu, ndio maana kila siku huleta wachezaji wasioeleweka! Yanga pesa ikitoka kwa Gharib moja kwa moja kwa Engineer nae moja kwa moja sokoni!
  13. K

    FT: TZ Prisons FC 1-2 Yanga SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 11.02.2024

    Bacca huwa anafunika sana makosa ya Mwamnyeto ndio maana anapokosekana makosa yake yanaonekana waziwazi.
  14. K

    FT: TZ Prisons FC 1-2 Yanga SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 11.02.2024

    Mwamnyeto akikutana na forward zenye fresh muda wote tusije kulaumiana tu.
  15. K

    Kigamboni: Kwa takribani mwezi mmoja, kivuko kipo kimoja tu kinachotoa huduma na kingine kiikiwa kimepaki tu kwa madai kimeharibika

    Kivuko cha Magogoni kilikwenda Kenya kutengenezwa mwezi tatu, tuliambiwa kitakamilika ndani ya miezi mitano! Sasa mwaka sasa unakaribia, Watanzania na Tanzania yangu Mwenyezi Mungu aendelee kutulinda! Mungu Ibariki Nchi Yangu [emoji1241] Mungu Ibariki Afrika!!
Back
Top Bottom