Recent content by Abdul Mganyizi

  1. A

    Igizo fupi la wananchi uuzwaji wa bandari kwa DP World

    Wananchi pigeni kelele weeeee lakini wanaowawakilisha washapitisha kilichobaki ni utekelezaji tu muda ukifika
  2. A

    Majunio Wanazingua

    Nynyi si ndoo mnshadadia haki za mtoto hatakiwi kuguswa.
  3. A

    Watanzania tumuombee Dkt. Tulia Ackson Mwansasu ashinde Urais wa IPU

    Akishinda sisi tunapata nini? Apambane na hali yake aombe mwenyewe na familia yakee na wale wanaonufaika nae .Mm nafamilia yangu tunapata nini kutoka kwa Tulia? ,omba wewe mnufaika.
  4. A

    Badala ya kuwa Chama cha siasa wamegeuzwa "pressure group"..na wanafurahia...

    Umeeleza vyema na wanaokupinga umewapiga kwenye mshono .Bado hatujapata opponent wa maana kwa CCM ,kazi kurukia mada yoyote iliyopo mezani.
  5. A

    Ezekiel Kamwaga: Hata kama tuna uchungu na bandari ndiyo tumfokee Rais?

    Uziri hajakuandikia wewe ,wengne wamemuelewa.Usipomuelewa haumpunguzii chochote
  6. A

    Who is Shivji mpaka asikosolewe?

    Aibu nimeiona mimi kwa ukinga uliouandika,
  7. A

    Nachukia umaskini lakini naona kama umri umenitupa mkono siwezi kutoboa

    Habari wanajamvi, mimi ndugu yenu nimeajiriwa nipo serikalini na huu mwaka wa 13 lakini kila nikijiangalia kuaga umaskini naona ni kitendawili kigumu kwelikweli. Sasa hivi nina miaka 39 na kila ninaoshauriana nao au kusoma comments za watu kabisaaaa ndoo zinanikatisha tamaa. Maana wengi...
  8. A

    Msaada kutoka kwa yeyote aliyewahi kukopa mkopo kutoka Cash X

    Waungwana habari za asbh, Naomba kujua kama kuna mtu amewahi kukopa mkopo kutoka Cash X ambayo ni application iliyopo on line. Naomba kujua kwnye interest zao zinakuaje na sio wahuni kama wahuni wengne wanavyofanya kuwatapeli watu? Ni hayo tu waungwana.
  9. A

    Rais Samia tunakuomba hutubia taifa, omba radhi, fanya maamuzi magumu ya kuvunja mkataba huu nchi ipone

    Jamaa unamchukia S100 kwelikweli,kuna mtu alikuwa jeuri na kiburi kama Mwenda zake?
  10. A

    Waziri Mkuu: Bandari imepewa DP-World kwa kuwa utendaji wa TICTS ni mdogo

    Hiyo katiba manayo? Au bado mnategemea mkurugenzi atangaze matokeo ya jimbo na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi taifa atangaze matokeo ?
  11. A

    Nataka kufungua biashara ya kuuza chips Dar es Salaam

    Ndio najua ni risk biashara kuwa mbali lakini huyu kijana namuamini hasa pale nitakapokuwa nimekubaliana nae kiwango cha kutoa cha kila siku.
Back
Top Bottom