Natumaini mko poa,hongereni Kwa maandalizi ya sikukuu
Leo nimeandaa recipe ya pilau tamu la Nazi,karibun tujifunze
MAHITAJI
1)Mchele kilo moja.
2)Nyama iliyochemshwa Mimi nilitumia nusu...
Wazee wa maakuli kwema?
Naomba tutumie uzi huu kuweka recipes mbalimbali za juice tupate vinywaji amazing kipindi hiki cha sikukuu.
Ili kufanya juice yangu iwe bomba huwa nafanya haya katika...
1. Ukila tende mara kwa mara, mwili wako utapata aina mbalimbali za madini na vitamin za kutosha, ambazo zinapatikana kwenye tunda hili maarufu duniani. Katika tende kuna kiasi kidogo tu cha...
Mwezi uliopita nilinunua Mayai thelethini ya kuku wa kienyeji.
Kwa ajili ya kula.
Nimetumia mayai kama 10. Halafu ukapita muda kama wiki. Bila kula mayai.
Juzi nikachukua kuchemsha, naona ni...
Hii...safi sana...Mimi napenda sana juice...kama kuna mwenye kujua aina mbali mbali za ku'blend'' tafadhari tujuzane.
Asante sana.
juisi ya rozella
jinsi ya kutengeneza
1. chemsha...
The Spice of Life: Unveiling the Hidden Powers of Culinary Herbs and Spices
For as long as humans have been cooking, herbs and spices have been our trusty companions in the kitchen. More than...
Kwa hakika kama kuna mtu kati yetu asubuhi ya leo kala tunda lolote lile basi ni wale waliolala zile hotel zenye bed n breakfast full course. Wengine wetu kwa uchache mno ni wale wafanya diet na...
Unataka kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri ili ugundue nini?
Usile kitimoto ambayo haijaiva vizuri, hakikisha imepikwa kwa moto mkali, kama ni ya kuokwa hakikisha imeokwa kwa muda mrefu...
I hope mko vyema
Ni kinywaji kinachopendwa na watu wengi na ni kitamu sana
Naomba kushare nanyi sikumoja moja muwe mnaenjoy hata mkiwa nyumbani
LEMONADE MOCKTAIL mahitaji:
Glass 1
Msukumio au...
Chakula ni kipengele muhimu cha maisha ya binadamu, ni bidhaa ambayo wakati mwingi huwa ni matokeo ya jitihada, riziki na starehe. Hata hivyo, linapokuja suala la uchaguzi wa mapishi, mapendekezo...
Ni vyema ukawa na kawaida ya kuhifadhi vyakula vya aina mbalimbali nyumbani kwako ili ikusaidie pale unapotaka kupika. Haipendezi kila unapotaka kupika basi unaenda dukani au gengeni kununua kitu...
Mahitaji
Mayai 2
Unga wa ngano au Bread crumbs
Kijiko kimoja cha tangawizi
chumvi
Mixed spice au Viungo vya Pilau
oil
simba mbili au cubes
Maelezo
Weka nyama ya kusaga kweye chombo na jikoni...
Kuna baadhi ya watu wanapikia nazi kila chakula, yani chakula hawawezi kupika au kula bila kuweka nazi.
Unaweza kukua katika mlo mmoja amepika wala wa nazi, nyama ina nazi, maharage ya nazi na...
Hivi kuna ulazima chapati iwe ya mviringo na kuanza kuwanyanyapaa wasioweza kuduarisha chapati?
Ni kweli chapati ya mviringo inatoshea vyema sana kwenye kikaangio cha mviringo, lakini umviringo...
Habari, natumaini nyote mko poa
Leo tutajifunza simple biriani waweza pika mahala popote.
Moja kwa moja niingie jikoni
MAANDALIZI.
kitunguu thoumu
Tangawizi
pilipili manga ya unga
binzari...
Natumaini mkopoa
Tujifunze namna ya kupika chapati za maji Kwa njia rahisi na haraka pia ni moja ya vitafunwa ambavyo havina mambo mengi
Mahitaji
Ngano robo au kias unachopenda Kulingana na...
MAHITAJI
(kwa mahitaji haya utatoa zaidi ya pisi 200 za barafu ukitumia vifuko vya size 1¼ X 10)
Maji lita 7
Maziwa ya unga 1 cup (brand yoyote)
Unga wa wanga (corn starch) 2 cups uchanganye na...
Ni mafuta gani ya kupikia mazuri zaidi kwa afya?
CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES
Mafuta ya kupikia ni kiungo cha msingi sana jikoni.
Lakini kuna habari nyingi zinazokinzana kuhusu kila aina ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.