Katika jamii yetu ya kitanzania asilimia kubwa inatumia vyombo vya plastiki kunywea na kulia chakula, lakini nimekuwa nikisikia kuwa plastiki ina madhara makubwa kwa afya ya binadamu, wapo wanaodai inasababisha saratani, wengine inamaliza nguvu za kiume kwa wanaume na mambo mengi.
Je, ni kweli ina madhara? Maana napata mashaka kwani sijawahi kusikia serikali ikisema kuhusu madhara hayo au kukemea matumizi yake wala kutoa elimu ya namna ya kuvitumia.
Habari,
Katika pita yangu mtandaoni nimekutana na taarifa ikieleza tukio linalodai kuwa mnamo mwaka 1998 ndani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo radi ilipiga wakati wa mechi kati ya Bena Tshadi dhidi ya Basanga na kuua wachezaji wote wa timu moja huku wa timu nyingine wakitoka salama.
Je, kuna ukweli kuhusu sakata hili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.