Tule mishikaki, ndizi, viazi,kachumbari na matunda

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Mar 10, 2022
24,979
47,978
Leo nikaona vyema kuandaa chakula hiki chepesi sana kupika
Kwanza nilianza kumenya viazi kama unavyo ona

1737651509291.jpeg

Niliacha vichuje maji vizuri baada ya kuosha then nika menya ndizi na kuweka kwenye maji ili zisiwe nyeusi

1737651577298.jpeg



Kabla ya hapo nili andaa nyama yangu mda kidogo nikaweka tangawizi,cumvi,limao na sosi
1737651848255.jpeg

Baada ya hapo nikaanda kachumbari yangu ya nyanya,kitunguu,karoti na hoho
1737651925597.jpeg


Baada ya hapo matunda niliandaa tango na papai tu

1737651969241.jpeg

Hivyo tu na chakula kikawa kizuri karibu sana KATAA NDOA KILA KITU KINAWEZEKANA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom