Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 24,979
- 47,978
Leo nikaona vyema kuandaa chakula hiki chepesi sana kupika
Kwanza nilianza kumenya viazi kama unavyo ona
Niliacha vichuje maji vizuri baada ya kuosha then nika menya ndizi na kuweka kwenye maji ili zisiwe nyeusi
Kabla ya hapo nili andaa nyama yangu mda kidogo nikaweka tangawizi,cumvi,limao na sosi
Baada ya hapo nikaanda kachumbari yangu ya nyanya,kitunguu,karoti na hoho
Baada ya hapo matunda niliandaa tango na papai tu
Hivyo tu na chakula kikawa kizuri karibu sana KATAA NDOA KILA KITU KINAWEZEKANA
Kwanza nilianza kumenya viazi kama unavyo ona
Niliacha vichuje maji vizuri baada ya kuosha then nika menya ndizi na kuweka kwenye maji ili zisiwe nyeusi
Kabla ya hapo nili andaa nyama yangu mda kidogo nikaweka tangawizi,cumvi,limao na sosi
Baada ya hapo nikaanda kachumbari yangu ya nyanya,kitunguu,karoti na hoho
Baada ya hapo matunda niliandaa tango na papai tu
Hivyo tu na chakula kikawa kizuri karibu sana KATAA NDOA KILA KITU KINAWEZEKANA