Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia


ITAENDELEA LINI MHESHIMIWA, imenikamat akili kabsa hii!!


Itaendelea…. usikose sehemu ya tatu



THE BOLD - 0718 096 811 (WhatsApp tu...tafadhali usipige)
[/QUOTE]
 
Ubaguzi unaujua wewe kwanza unasoma bure shenz sana

We maskio ka mkia wa mamba shenz acha ku quote uzi mzima

Huu upuuz peleka Kariakoo aggrey hapa Apple Tu soma kichwa cha thread shenz

We mbwa mttot usi quote uzi mzima

Umetaka akukumbuke sasa neno "ubaguzi" limetoka wap we makinikia ya matope kawawekea bure kwa lugha ya kikolomije mna enjoy et ubaguz hii stor kama unajua Ki english kasome ipo wikipedia ila toa neno ubaguz na wala humlipi maskio ka kontena za makinikia.

Umekuwa mkali siku hizi!
 
Sawa mkuu tunasubiri hiyo sehemu ya tatu au tayari imeshatoka?

Maana wengine tunatumia nokia tochi!
 
Kweli wewe kilaz*a sana unataka uwemo kama ni mwanaume utakuwa na chembe za kukalia vilivyo simama, unataka uwemo kwenye nini ? Kwani stori hujaisoma? Usiwe unalalamika kama Kitanda, pumbafuuuuu sana..

Kwani wote waliosoma hii stori the bold amewatag?.

Masharubu ya inzi
cjui kama hajazimia mkuu!!
 
Umetaka akukumbuke sasa neno "ubaguzi" limetoka wap we makinikia ya matope kawawekea bure kwa lugha ya kikolomije mna enjoy et ubaguz hii stor kama unajua Ki english kasome ipo wikipedia ila toa neno ubaguz na wala humlipi maskio ka kontena za makinikia.
aisee mkuu cjui we ke au me lol umeua!!
 
Yaani juzi usiku usingizi ulikata saa nane usiku nikajikuta nimejikita kwenye uzi wako [HASHTAG]#TheBold[/HASHTAG] ukaahidi sehemu ya tatu. Tangu jana naingia humu kama umeweka but holaaa. Chondechonde weka tafadhali kitu sehemu ya tatu...
 
Yaani juzi usiku usingizi ulikata saa nane usiku nikajikuta nimejikita kwenye uzi wako [HASHTAG]#TheBold[/HASHTAG] ukaahidi sehemu ya tatu. Tangu jana naingia humu kama umeweka but holaaa. Chondechonde weka tafadhali kitu sehemu ya tatu...

Upo kwnye group la wasap nenda ka join kule
 
Back
Top Bottom