Rausath Journalist
Member
- Mar 25, 2024
- 17
- 24
Wazima jamani!
Hivi hili suala la kuchukiana bila sababu ni kwa wanawake tu ama na Nyie wanaume mnakutana nalo? Unaenda sehemu ukiwasili tu kama wewe ndo jini mkata kamba! Ni kwamba chuki za ghafla zinaanza, ukijitathmini hakuna cha tofauti Umefanya.
Kwenye vitabu vya dini vimeandikwa kuwa hasadi (husda) zinaweza kupelekea vitendo kama hivi kutokea. Lakini inakuwaje mtu anakuonea hasadi wakati hata hafahamu maisha yako, ni lipi umebarikiwa ama lipi umenyimwa?
Twambie maoni yako juu ya hili na kama umewahi kukutana na tukio la hivi, kipi ulifanya?
Hivi hili suala la kuchukiana bila sababu ni kwa wanawake tu ama na Nyie wanaume mnakutana nalo? Unaenda sehemu ukiwasili tu kama wewe ndo jini mkata kamba! Ni kwamba chuki za ghafla zinaanza, ukijitathmini hakuna cha tofauti Umefanya.
Kwenye vitabu vya dini vimeandikwa kuwa hasadi (husda) zinaweza kupelekea vitendo kama hivi kutokea. Lakini inakuwaje mtu anakuonea hasadi wakati hata hafahamu maisha yako, ni lipi umebarikiwa ama lipi umenyimwa?
Twambie maoni yako juu ya hili na kama umewahi kukutana na tukio la hivi, kipi ulifanya?