white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,305
- 13,265
naombeni anaye jua jinsi ya kujiondoa kwenye huduma ya sh.450 ya tigo extreme pack ambayo unapewa dk.15,sms 100,na 50mb,kila ujiungapo,kwani kwa sasa mimi nipo sehemu ambayo tigo inashika kwa kuvizia,sasa sijui imekuwaje kila siku wao wananiunganisha hata mala 3! na kama hakuna pesa wananikopesha ukiweka pesa tu wanachukua,wakati huku nilipo hata siku mbili zinaweza pita hujapata mtandao,wao wanakata tu!zamani kwenye menu yao kulikuwa na jinsi ya kujitoa ila kwa sasa haionekani!Na inakuwaje we una muunganishia mtu huduma ambayo haiitaji huku c kulazimishana?Juzi nikapiga huduma kwa wateja akapokea mwanamke,nikamueleza tatizo langu alichonijibu ni kuwa WE UMETUMWA NINI???????????ALIYEKUAMBIA UJIUNGE NI NANI?UKIWEZA KUINGIZA UNASHINDWAJE KUTOA???AKAKATA SIMU,SASA JAMANI NI MAJIBU KWELI KUTOKA CUSTOMER CARE KWELIIIIII!!!!!!!!!!!!!!!NA HIKI KIBURI WANAKITOA WAPI?NA HATA JINA HAKUTAJA AMBACHO HUWA C KAWAIDA KWANI UKIMKUTA M2 AMBAYE KWELI NI TAALUMA YAKE KITU CHA KWANZA NI KUTAJA JINA LAKE KISHA ANAKUULIZA LAKO,YAANI HUYU NI KAMA MALAYA FULANI HIVI,NA HAYA NI MATATIZO YA KUPEANA KAZI KWA KUVUANA CHUPI,WATU WENYE TAALUMA HIYO WAKO MTAANI.WADAU NAOMBA MWENYE KUJUA JINSI YA KUJIONDOA NA HUDUMA HII ANIAMBIE,