rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
natamani kurudi nyumbani
mimi sio mfanya biashara,nimekuwa nikifanya kazi sehemu mbalimbali hapa africa kusini
nimejifunza mambo mengi sana ambayo natamani niyatumie nyumbani,
nitarudi kama mtanipa kazi serikalini hasa kwenye idara ya mambo ya ndani kitengo cha passport,
kwa mtazamo wangu watu wanaofanya kazi hapo idara ya passport hawajasafiri,hawajui nini maana ya halisi ya kitabu kiitwacho passport,
waziri unayehusika nipo tayari kuja kushirikiana na nyie hapo nyumbani tufanye kazi pamoja na kudhibiti kabisa huo mpango unaendelea hapo sasa hivi wa kuwapa passport raia wasio watanzania,
watu wengi wasio raia wa tanzania wanachukua passport kirahisi sana kwa sababu ya watoaji waliopewa mamlaka hawajui wanachokifanya,
narudia tena nipo tayari kuja nyumbani tu-form proccess mpya ya kudhibiti kabisa passport zetu kushushwa thamani.kama africa kusini na botswana na nchi nyingi za kiafrica wameweza kudhiti hata sisi tunaweza,
nitatoa email zangu na no zangu za simu kama kuna aliye tayari kwa hili,
mimi sio mfanya biashara,nimekuwa nikifanya kazi sehemu mbalimbali hapa africa kusini
nimejifunza mambo mengi sana ambayo natamani niyatumie nyumbani,
nitarudi kama mtanipa kazi serikalini hasa kwenye idara ya mambo ya ndani kitengo cha passport,
kwa mtazamo wangu watu wanaofanya kazi hapo idara ya passport hawajasafiri,hawajui nini maana ya halisi ya kitabu kiitwacho passport,
waziri unayehusika nipo tayari kuja kushirikiana na nyie hapo nyumbani tufanye kazi pamoja na kudhibiti kabisa huo mpango unaendelea hapo sasa hivi wa kuwapa passport raia wasio watanzania,
watu wengi wasio raia wa tanzania wanachukua passport kirahisi sana kwa sababu ya watoaji waliopewa mamlaka hawajui wanachokifanya,
narudia tena nipo tayari kuja nyumbani tu-form proccess mpya ya kudhibiti kabisa passport zetu kushushwa thamani.kama africa kusini na botswana na nchi nyingi za kiafrica wameweza kudhiti hata sisi tunaweza,
nitatoa email zangu na no zangu za simu kama kuna aliye tayari kwa hili,