Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,489
- 79
Hi, natafuta mtu ambaye yuko interested kufanya utafiti nchini Tanzania katika masuala ya nishati (hasa ya umeme) pamoja na athari zake katika suala zima la mabadiliko ya hali ya hewa!
Hii ni kazi ya utafiti kwa maendeleo ya taifa letu! HAKUNA MALIPO! Kama uko teyari wasiliana nami kwa barua pepe: pape@jamiiforums.com
Ambatanisha CV yako ili kuweka uzito!
Hii ni kazi ya utafiti kwa maendeleo ya taifa letu! HAKUNA MALIPO! Kama uko teyari wasiliana nami kwa barua pepe: pape@jamiiforums.com
Ambatanisha CV yako ili kuweka uzito!