Precisionair Vacancy

Belo

JF-Expert Member
Jun 11, 2007
12,880
10,185
i139_BusinessAnalys.jpg


i140_NetworkPage1.jpg

i141_NetworkPage2.jpg


i142_SystemAdministratorPage1.jpg

i143_SystemAdministratorPage2.jpg


Please send your C.V to the following email address: careers@precisionairtz.com


http://www.precisionairtz.com/careeropportunities.asp
 
mfukunyuzi unajitahidi sana kutupa mambo mapya, hivyo hivyo kaka,
 
Tatizo la hao watu ni moja Kuna watu wana Qualification zingine hazi toshi laki kazi wanaiweze angalia IT wengi kama wanajua Oracle Database ni mashirika mangapi yanatumia iyo System ya Oracle Database.

Yaaani ukiangalia watu wanaotoa matangazo ya kazi utacheka kweli mfano wana mtaka Accountant mwenye CPA hebu niwaulize, Institute Of Accountant nchi kwetu wengi wao ni Advance Diploma in Accounts, Post Graduate CPA ni yakuhesabu humu nchi ila kazi zilivyotapakaaaa kwa magazeti zahitaji wenye CPA teh teh inashangaza sana.

CPA yenyewe wahasibu wetu wanavyo ipigia story kuwa huwa wengi wanakamatwa na kuifanikisha iyo either uache kazi ukasome na huku mfadhili huna jamani. Same to IT mtu ana degree ati mpeleke kazini akakutane na mtu ana Advance deploma ya IT anamtoa jasho mwene hito Degree yake hajui kictu na vyou vinavyotoa IT Courses vyakuhesabu Centers za kufanyia mitihani ya Microsoft zenywe ziko Dar tu jamani hapotunajiangamiza au kudanganyana na huko mikoani kama mwanza mbeya Kigoma hata kama kuna kazi na mtu ana degree haendi uta mkuta mtu ana Advance deploma ya IT wakati kazi ilimtaka mtu wa Degreeee
 
Tatizo la hao watu ni moja Kuna watu wana Qualification zingine hazi toshi laki kazi wanaiweze angalia IT wengi kama wanajua Oracle Database ni mashirika mangapi yanatumia iyo System ya Oracle Database.

Yaaani ukiangalia watu wanaotoa matangazo ya kazi utacheka kweli mfano wana mtaka Accountant mwenye CPA hebu niwaulize, Institute Of Accountant nchi kwetu wengi wao ni Advance Diploma in Accounts, Post Graduate CPA ni yakuhesabu humu nchi ila kazi zilivyotapakaaaa kwa magazeti zahitaji wenye CPA teh teh inashangaza sana.

CPA yenyewe wahasibu wetu wanavyo ipigia story kuwa huwa wengi wanakamatwa na kuifanikisha iyo either uache kazi ukasome na huku mfadhili huna jamani. Same to IT mtu ana degree ati mpeleke kazini akakutane na mtu ana Advance deploma ya IT anamtoa jasho mwene hito Degree yake hajui kictu na vyou vinavyotoa IT Courses vyakuhesabu Centers za kufanyia mitihani ya Microsoft zenywe ziko Dar tu jamani hapotunajiangamiza au kudanganyana na huko mikoani kama mwanza mbeya Kigoma hata kama kuna kazi na mtu ana degree haendi uta mkuta mtu ana Advance deploma ya IT wakati kazi ilimtaka mtu wa Degreeee
Napata wasiwasi na ufahamu wako wa juu dunia inayokwenda!!!!
 
Mzee wa vitendo,

Nilicho kiandika hapo juu nakielewa fika na wala usiwe na wasi wasi na ufahamu wangu mkuu,Nilichokieleza hapo ni kwa ufupi sanaaa wala sikutaka kuingia ndani zaidi na kutoa facts,

Zunguka mjomba utabaini.
 
Tatizo la hao watu ni moja Kuna watu wana Qualification zingine hazi toshi laki kazi wanaiweze angalia IT wengi kama wanajua Oracle Database ni mashirika mangapi yanatumia iyo System ya Oracle Database.

Yaaani ukiangalia watu wanaotoa matangazo ya kazi utacheka kweli mfano wana mtaka Accountant mwenye CPA hebu niwaulize, Institute Of Accountant nchi kwetu wengi wao ni Advance Diploma in Accounts, Post Graduate CPA ni yakuhesabu humu nchi ila kazi zilivyotapakaaaa kwa magazeti zahitaji wenye CPA teh teh inashangaza sana.

CPA yenyewe wahasibu wetu wanavyo ipigia story kuwa huwa wengi wanakamatwa na kuifanikisha iyo either uache kazi ukasome na huku mfadhili huna jamani. Same to IT mtu ana degree ati mpeleke kazini akakutane na mtu ana Advance deploma ya IT anamtoa jasho mwene hito Degree yake hajui kictu na vyou vinavyotoa IT Courses vyakuhesabu Centers za kufanyia mitihani ya Microsoft zenywe ziko Dar tu jamani hapotunajiangamiza au kudanganyana na huko mikoani kama mwanza mbeya Kigoma hata kama kuna kazi na mtu ana degree haendi uta mkuta mtu ana Advance deploma ya IT wakati kazi ilimtaka mtu wa Degreeee



Ndugu,

Kwahiyo ukiona matangazo ya kazi wanataka mtu mwenye proffesional walizotaja na kama unazo baadhi nyingine huna huombi kazi?

Lazima wa aim kwenye proffesional wanayotaka, ila normally wanaoomba ni
pamaoja na wale wasio na hiyo unayotaka, then interview ita decide.

Wataalam wengi wa IT hawana hayo madegree ila ndo wamejaa
kwenye mikazi kibao, wapo fiti na wanapiga nyanga kwelikweli.
 
Same to IT mtu ana degree ati mpeleke kazini akakutane na mtu ana Advance deploma ya IT anamtoa jasho mwene hito Degree yake hajui kictu na vyou vinavyotoa IT Courses vyakuhesabu Centers za kufanyia mitihani ya Microsoft zenywe ziko Dar tu jamani hapotunajiangamiza au kudanganyana na huko mikoani kama mwanza mbeya Kigoma hata kama kuna kazi na mtu ana degree haendi uta mkuta mtu ana Advance deploma ya IT wakati kazi ilimtaka mtu wa Degreeee
tehe tehe man mentality mbaya sana hiyo......IT is all about development dude sio uwe na masters li degree lako lakini huwezi ku deliver mambo.....ninachojua kwa TZ kuna mambo kibao kwenye sekta ya IT ni useless katika IT.....
Tatizo la hao watu ni moja Kuna watu wana Qualification zingine hazi toshi laki kazi wanaiweze angalia IT wengi kama wanajua Oracle Database ni mashirika mangapi yanatumia iyo System ya Oracle Database.
Yah man sikuwa nimeiona hii.....kuna jamaa ana OCP DBA hana pa kuifanyia kazi sana sana ana istall antivirus na kufanya kaz ndogo ndogo ambazo sio level yake......
 
One has to adopt to the local IT industry.
kama wewe ni Oracle certified, basi inamaanisha you know SQL. Therefore you should market yourself accordingly.

If I was the hiring manager and I see you have a certification, then to me it means two things:

1. If the certification has a direct bearing on the advertised job, then I can put you to work with minimum training.

2. If the certification is an important qualification in the IT industry but not directly relevant to the job at hand, then I will consider the candidate a person who can be easily trained.

So either way, the candidate wins. Flexibility and adaptability is what will make you marketable in any industry, and not just IT.

My 2 mkwanjas
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom