Nisameheni

cheusimangala

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
2,585
497
Naomba msamaha nikimaanisha kutoka ndani ya moyo wangu,

Ni mara kadhaa nimekuwa nikikutana na coments za kaka zangu wakidai kuwa avatar yangu ile ya mwanzo imekuwa ikiwatia majaribuni.

Mimi ni binti wa kikristo,hivyo kumuangusha mwenzangu majaribuni ni jambo zito na lenye kuipoteza amani ya moyo wangu ndio maana nimeamua kuitoa avatar ile.

Mbaya zaidi najiona nilikuwa kama mnafiki sbb sometimes nimekuwa nikiwaandikia maneno ya ujumbe wa mungu nikiwasihi tuache maasi lkn avatar yangu ilikuwa against what i was preaching sbb ilikuwa ikiwasukuma kaka zangu kuwazia maasi.(nimetubu kwa hilo,nanyi tubuni).

Pia nimeibadili sababu PMs zilizokuwa zikimiminika kama mvua ya masika zilikuwa zinanikosesha pumzi na hata niliposema nina mchumba haikusaidia,hivyo natumai mabadiliko haya ya avatar yatapunguza wingi wa PMs kama sio kuzimaliza kabisa.

now i know what carmel waz talkin about,nimekoma jamani!!!

kaka zangu nisameheni hakika sikujua kama kale ka-avatar yaani kanaweza kuwatia majaribuni jamani.

I love u all.
 
Mimi hukuwahi kunikwaza na ile avatar, ila kwa kuitoa ile na kuweka huo mkono ndo umenikwaza. Kama wewe una imani ya kweli, basi itabidi utubu tena kwa kunikwaza mimi. ha ha ha haaaa!!
 
Mimi hukuwahi kunikwaza na ile avatar, ila kwa kuitoa ile na kuweka huo mkono ndo umenikwaza. Kama wewe una imani ya kweli, basi itabidi utubu tena kwa kunikwaza mimi. ha ha ha haaaa!!


"" Nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana, naye atanisamehe upotovu wa dhambi zangu"

Kaizer@jamiiforums.com
 
Aah Cheusimangala, usikimbie majaribu pambana nayo, kwa upande wangu nitakuwa siyo msomaji mzuri wa comment zako kwani kale ka-avatar kalikuwa kana nipa msukumo wakujua nini kilicho ndani yake (kusoma zaidi ulichoandika).
 
Ile Avatar haikuwa na tatizo kwani ni picha tu na ilikuwa ya heshima tu mbona mi sijakusamehe hebu rudisha ile identity bwana that was your brand which made who you are now in the context of JF
 
Ile Avatar haikuwa na tatizo kwani ni picha tu na ilikuwa ya heshima tu mbona mi sijakusamehe hebu rudisha ile identity bwana that was your brand which made who you are now in the context of JF
nitatafuta nyingine nzuri,ucjali,najua unaipenda lkn kubali matokea!
 
nitatafuta nyingine nzuri,ucjali,najua unaipenda lkn kubali matokea!

Thanks so far those who were PMing you cos of the avatar they were simply out of their minds you shouldn't be affected with that as long as you know what your doing and preserving what you think its your dignity dear
 
"" Nalisema nitayakiri maasi yangu kwa Bwana, naye atanisamehe upotovu wa dhambi zangu"

Kaizer@jamiiforums.com
Bwana mwenyewe hasamehi kabla hujapatana na ndugu yako. Hamkusoma kwamba hata kama umepeleka sadaka madhabahuni lakini hujapatana na ndugu yako, iache madhabahuni urudi ukapatane kwanza na nduguyo? Kwahiyo patana kwanza na mimi ndo uende kutubu kwa bwana.
 
Bwana mwenyewe hasamehi kabla hujapatana na ndugu yako. Hamkusoma kwamba hata kama umepeleka sadaka madhabahuni lakini hujapatana na ndugu yako, iache madhabahuni urudi ukapatane kwanza na nduguyo? Kwahiyo patana kwanza na mimi ndo uende kutubu kwa bwana.
Mengi yaendelea kufichuka!
 
Aah Cheusimangala, usikimbie majaribu pambana nayo, kwa upande wangu nitakuwa siyo msomaji mzuri wa comment zako kwani kale ka-avatar kalikuwa kana nipa msukumo wakujua nini kilicho ndani yake (kusoma zaidi ulichoandika).

najua people will pay less attention to me lkn nimejiandaa kwa hilo kwani ni bora niupoteze umaarufu wa Jf kuliko kuukosa ufalme wa mbinguni.
 
Bwana mwenyewe hasamehi kabla hujapatana na ndugu yako. Hamkusoma kwamba hata kama umepeleka sadaka madhabahuni lakini hujapatana na ndugu yako, iache madhabahuni urudi ukapatane kwanza na nduguyo? Kwahiyo patana kwanza na mimi ndo uende kutubu kwa bwana.
kwani mimi na wewe tumegombana wapi jamani?
note:usiyatumie maandiko vibaya ili kujinufaisha haja zako!
 
kwani mimi na wewe tumegombana wapi jamani?
note:usiyatumie maandiko vibaya ili kujinufaisha haja zako!
Hatujagombana, ila umenikwaza kwa kubadilisha avatar
"Lakini afadhari umeiondoa, kuna jamaa yangu alikuwa anasoma post zako ili aone tu ile avatar"
 
Umetimiza wajibu wako mbele ya kaka yako, Imeandikwa " Simama ukaitende shughuli hii, kwani ina kuhusu wewe, uwe na moyo mkuu, nami ni pamoja nawe"

Mungu akuzidishie tena katika miaka hii ijayo uweze kuwa na maamuzi ya busara zaidi.
 
Naomba msamaha nikimaanisha kutoka ndani ya moyo wangu,

Ni mara kadhaa nimekuwa nikikutana na coments za kaka zangu wakidai kuwa avatar yangu ile ya mwanzo imekuwa ikiwatia majaribuni.

Mimi ni binti wa kikristo,hivyo kumuangusha mwenzangu majaribuni ni jambo zito na lenye kuipoteza amani ya moyo wangu ndio maana nimeamua kuitoa avatar ile.

Mbaya zaidi najiona nilikuwa kama mnafiki sbb sometimes nimekuwa nikiwaandikia maneno ya ujumbe wa mungu nikiwasihi tuache maasi lkn avatar yangu ilikuwa against what i was preaching sbb ilikuwa ikiwasukuma kaka zangu kuwazia maasi.(nimetubu kwa hilo,nanyi tubuni).

Pia nimeibadili sababu PMs zilizokuwa zikimiminika kama mvua ya masika zilikuwa zinanikosesha pumzi na hata niliposema nina mchumba haikusaidia,hivyo natumai mabadiliko haya ya avatar yatapunguza wingi wa PMs kama sio kuzimaliza kabisa.
now i know what carmel waz talkin about,nimekoma jamani!!!

kaka zangu nisameheni hakika sikujua kama kale ka-avatar yaani kanaweza kuwatia majaribuni jamani.

I love u all.
umetukwaza bana rudisha ile ile,tuwe na apetite ya kuja JF.;)
 
Naomba msamaha nikimaanisha kutoka ndani ya moyo wangu,

Ni mara kadhaa nimekuwa nikikutana na coments za kaka zangu wakidai kuwa avatar yangu ile ya mwanzo imekuwa ikiwatia majaribuni.

Mimi ni binti wa kikristo,hivyo kumuangusha mwenzangu majaribuni ni jambo zito na lenye kuipoteza amani ya moyo wangu ndio maana nimeamua kuitoa avatar ile.

Mbaya zaidi najiona nilikuwa kama mnafiki sbb sometimes nimekuwa nikiwaandikia maneno ya ujumbe wa mungu nikiwasihi tuache maasi lkn avatar yangu ilikuwa against what i was preaching sbb ilikuwa ikiwasukuma kaka zangu kuwazia maasi.(nimetubu kwa hilo,nanyi tubuni).

Pia nimeibadili sababu PMs zilizokuwa zikimiminika kama mvua ya masika zilikuwa zinanikosesha pumzi na hata niliposema nina mchumba haikusaidia,hivyo natumai mabadiliko haya ya avatar yatapunguza wingi wa PMs kama sio kuzimaliza kabisa.
now i know what carmel waz talkin about,nimekoma jamani!!!

kaka zangu nisameheni hakika sikujua kama kale ka-avatar yaani kanaweza kuwatia majaribuni jamani.

I love u all.

Bibie Cheusi sometimes I wonder as to the basic difference in thinking kati ya wanaume na wanawake.
Tumeona mara kadhaa mwnamke anatembea nusu uchi au amevaa nguo zinazombana sana kiasi cha kuonyesha kila kitu hadharani.
Wanawake wa aina hiyo wala hawako concerned watu wengine wanafikiri vipi au kupata hisia gani.
Hata makanisani, umekuwa mtindo siku hizi kucheza jives ambazo zinatikisa mwili wa mwanamke, mitikisiko inayoweza kuwa suggestive na kuondoa amani ya kiroho.
Avtar yako, Cheusi, ilikuwa inafall katika category hii ya kutofikiria upande wa pili unahisi vipi.
Niliiona hiyo avtar na, I am sorry to say, it put me off.
Hii ya kidole can be just a bit better , but you never know what turns on some people(men).
 
Umetimiza wajibu wako mbele ya kaka yako, Imeandikwa " Simama ukaitende shughuli hii, kwani ina kuhusu wewe, uwe na moyo mkuu, nami ni pamoja nawe"

Mungu akuzidishie tena katika miaka hii ijayo uweze kuwa na maamuzi ya busara zaidi.
asante kaka maneno yako yamenibariki,nawe ubarikiwe!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom