Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Miezi miwili iliyopita nilienda kununua miti ya kuotesha shambani . Mwuuzaji akanieleza kuwa mti fulani ni mzuri maana ni ant mosquito. Nikampuuzia lakini nikaununua -mmoja tu, na nikaupanda mwelekeo wa nyumba upepo unakotokea.
Huu mti umemea vizuri na supprisingly sijaona mbu tena. Je wana JF vipi mliwahi kusikia kitu hii? Ni ya ukweli. Tulikuwa jioni tunaspray dawa za kuua mbu lakini hamna mbuuuu .. Believe me. Jina la mti wenyewe silijui na wale jamaa wansema tu mti wa kufukuza mbu.
Huu mti umemea vizuri na supprisingly sijaona mbu tena. Je wana JF vipi mliwahi kusikia kitu hii? Ni ya ukweli. Tulikuwa jioni tunaspray dawa za kuua mbu lakini hamna mbuuuu .. Believe me. Jina la mti wenyewe silijui na wale jamaa wansema tu mti wa kufukuza mbu.