Msaada wenu kabla haijafika saa sita usiku jamani.

Ta Kamugisha

JF-Expert Member
May 17, 2011
3,536
2,187
Waungwana, mimi nachangiaga topic tu na nilikuwa sijajua namna ya kupost topic yoyote! ila leo nimebahatisha, sasa wanandugu naomba mnielekeze namna ya ku-attach picha, yaani hapa ndo ishu kwangu, mimi natumia sgh-d780, samsung. tafadhali msinicheke nielekezeni. mkinisaidia kabla ya saa sita.
 
Duh! hufai kuwa baba au mama wa familia kama sentensi zako ndio tata hivyo!! Haya subiri wanakuja!
 
Try here,
Presentation2.jpg
 
Mtumie picha yako{email} mtu mmoja wakuitwa "PAW" au "INVISIBLE a.k.a ROBOT" then watafanya hvyo utakavyo.
AHSANTE
 
Kwa hiyo ukifika saa 6 ujaambiwa unajilipua? Jamani ebu msaidieni huyu jamaa kabla ya saa 6
 
Kwa hiyo ukifika saa 6 ujaambiwa unajilipua? Jamani ebu msaidieni huyu jamaa kabla ya saa 6

sitajilipua bali nkiambiwa kabla muda huo ntafurai kinoma maana siku itakuwa imeisha vizuri kwa kuongeza kitu kichwani.
 
Unatakiwa kubonyeza hiyo button Dark City anaoonyesha ila itategemea sana na simu kama itaweza kuupload picha, maana simu nyingi za aina hiyo hauwezi kubrowse files kutoka kwenye browser, pia inategemea na browser unayotumia so ni ngumu kukupa ushauri kamili.

Pia kama simu yako ina uwezo wa kuituma picha kwa njia ya email unawezsa kuituma kwenda upload@imgur.com hii itaipload picha yako kwenye service zao kisha itakupa link, link unaweza kuibandika humu.
 
Mtumie picha yako{email} mtu mmoja wakuitwa "PAW" au "INVISIBLE a.k.a ROBOT" then watafanya hvyo utakavyo.
AHSANTE

hawa jamaa ndo wakina nani tena? na ntawatumiaje picha wakati hata ku-attach picha kwenyewe kumenishinda mkuu?
 
Unatakiwa kubonyeza hiyo button Dark City anaoonyesha ila itategemea sana na simu kama itaweza kuupload picha, maana simu nyingi za aina hiyo hauwezi kubrowse files kutoka kwenye browser, pia inategemea na browser unayotumia so ni ngumu kukupa ushauri kamili.

Pia kama simu yako ina uwezo wa kuituma picha kwa njia ya email unawezsa kuituma kwenda upload@imgur.com hii itaipload picha yako kwenye service zao kisha itakupa link, link unaweza kuibandika humu.

nimekusoma mkuu ngoja nijaribu
 
Kama tatizo ni mobile version bonyeza PC Mode utarudi full version ya site, hilo sio tatizo. Tatizo ni kama simu yako ina uwezo wa kuhandle full site na kama inaweza kubrowse file system ya simu kuupload picha.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom