joel amani
Senior Member
- Nov 22, 2011
- 100
- 8
jamani naombeni kwa yeyote anayefahamu jinsi ya kutafuta na kupata sponsorship katika vyuo vya nje ya nchi kwa ajili ya undergraduate programmes,nilimaliza form 6 mwaka 2006 nimeapply mara 4 hapa tanzania lakini sikuwa kubahatika kupata mkopo na sina uwezo wa kujisomesha na mwaka huu nimekosa mkopo lakini chuo nimepata arusha mount meru,nina div III pts 13 HGE,nimeona nijaribu kutafuta wadhamini nje mana naumia kuona wenzangu wanaingia chuo mimi naishia mtaani na umri unazidi kwenda,mnisaidie nifanye nin