PRISCUS JR
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 448
- 236
Kampeni za udiwani zinazoendelea kata mbalimbali nchini zimezidi kupamba moto, kuku Mwanza CDM wamewadhihirishia magamba kuwa hawana lolote. awali magamba wamefanya hujuma cdm wasiutumie uwanja wa magomeni hivyo imesababisha cdm kupeleka mkutano wao eneo la kabuhoro kirumba, ni mbali na pafinyu lakini watu hawakujali wamekuja wa kutosha. natumia simu wakuu. pata picha hiyoView attachment 49555View attachment 49556View attachment 49557View attachment 49558