Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
  • Sticky
Wapendwa, Nimeona nifungue uzi huu maalum kwa wadada wanaopenda mitindo ya nywele. Katika uzi huu nitakuwa nikiweka mitindo mbalimbali ya nywele kila nitakapopata nafasi, lakini pia kwa wale...
14 Reactions
373 Replies
219K Views
  • Sticky
Habari wakuu, Nimeona na mimi nitoe darasa kidogo kuhusu mavazi sababu na mimi ni kipaumbele changu katika maisha. 1.Epuka kuvaa marangirangi Wakati unamatch mavazi jitahidi kupunguza idadi ya...
93 Reactions
481 Replies
192K Views
Kabla ya kunyonyana ndimi au kulana denda tuwe tunakaguana meno kwanza, hili tatizo la meno kuuma na kuoza halitaisha. Kuna watu wameoza meno jameni. Halafu ndiyo wanyonyaji ndimi mpaka unahisi...
33 Reactions
311 Replies
5K Views
Na hasa nguo za ndani kama mathalani undershirt, underwear, underskirt, undertrouser n.k Wanao kua jirani nawe wanapata tabu sana kwa uzito wa fukuto la hewa nzito ya kiutu uzima...
0 Reactions
3 Replies
74 Views
Hii Dunia haiishi viroja. Huku Dada zetu, Wabantu kama mimi wakipishana kuingia Maduka ya Vipodozi hadi wengine kufikia hatua ya kujidhuru kutokana na kupaka mikorogo isiyo ya viwango maalum...
0 Reactions
9 Replies
420 Views
Huimbi kwaya, hujaoa ..., wala sio mlokole Unavaaje haya madubwasha?
10 Reactions
48 Replies
2K Views
Nimekaa na dada mmoja mrembo safarini kwenye seat ya bus amejichubua, ila kama ilivyo ada vidole vya miguuni na mikononi bado vyeusi. Sasa shida huwa ni nini eneo hilo la ngozi kuendelea kuwa peusi?
3 Reactions
14 Replies
565 Views
Mimi ni mwanaume nina allergy na vitu vyenye harufu kali, mimoshi ya sigara na vumbi napenda sana kujipulizia perfume lakini zinanishinda naishia kupata mafua makali Je, perfume ipi ambayo imepoa...
5 Reactions
106 Replies
4K Views
Habari ndugu jamaa na marafiki. Kama vile kichwa cha barua kilivyo. Naomba kujuzwa ni mafuta gani ya kupaka ambayo harufu yake ni nzuri na yana bei nzuri isiyozidi elfu kumi na tano ambayo...
4 Reactions
67 Replies
18K Views
Wadau habari za Jioni. Nisiwe na maelezo mengi sana Ningelipenda kufahamu ni Lotion gani nzuri kwa mwanaume ambayo itasaidia afya ya ngozi kuwa imara na kupunguza mabaka vipele na madoa madoa...
0 Reactions
11 Replies
320 Views
Mwenye kujua Kadeti Bora Zaidi ya Vicobss? Naomba anijuze, usinitajie kadeti zilizopo huko ulaya, najua kuna kali zaidi ya hizi, ila naangalia zile ambazo ni angalau kwa mazingira yetuu...
8 Reactions
74 Replies
2K Views
Afrika ni Nchi tatu tu zilizo Pata mataji ya walimbwende duniani south Africa, Nigeria na Egypt. 👸🏻 Miss World titles: 🇮🇳 India: 6 🇻🇪 Venezuela: 6 🇯🇲 Jamaica: 4 🇬🇧 UK: 4 🇿🇦 South Africa: 3 🇺🇸...
1 Reactions
25 Replies
545 Views
Tupia MISHONO ya nguo hapa iwe ya wadada wamama watoto vijana n.k
8 Reactions
322 Replies
5K Views
Habari wakuu, nguo ni mojawapo ya mahitaji matatu muhimu. Ni hitaji muhimu lakini bajeti yake nayo inabidi ichungwe hasa kwa kina sisi ambao bado uchumi haujawa stable. Huwa nasikitika sana...
9 Reactions
148 Replies
11K Views
Hair dye reactions Many hair dyes contain ingredients that can irritate your skin or cause an allergic reaction. It's important to be aware of this risk, and know what to do. Reactions to hair...
1 Reactions
1 Replies
277 Views
Asilimia kubwa ya vitu vingi tunavyovitumia inasemekana vina madhara.Nasikia hadi soda eti zina madhara pengine kuliko hata baadhi ya pombe.Kwa lengo la kuwasaidia watanzania wenzetu,pombe ipi...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari Ya Asubuhi JF njooni hapa mjue Mavazi Ya Mwanamke Mcha Mungu kama mada ilivyoelezwa MAVAZI YA MWANAMKE MCHA MUNGU [emoji810] [emoji810] [emoji810] [emoji810] [emoji810] [emoji810]...
0 Reactions
6 Replies
388 Views
  • Redirect
Habari wakuu Moja kwa Moja kwenye topic ya Leo. Nikiwa kama muuzaji suti Tanzania na nje ya nchi napenda kuwakumbusha wateja wangu kuhusu heshima ya vazi la suti. 1. Marufuku kuvaa suti na ndara...
4 Reactions
Replies
Views
Katika vitu ambavyo vinafanya uonekane smart ni kiatu ulichovaa, kama umevaa kiatu kibovu basi hata juu utupie vipi watu watakuona mchafu tu. Naombeni mnitajie raba au kiatu ambacho kinadumu na...
4 Reactions
68 Replies
4K Views
Leo nimegundua napenda sana mwanaume akivaa kanzu. Kanzu ina usexiness fulani hivi sijui kwa sababu asili yangu ni Pwani. Kanzu nyeupee halafu awe ananukiaaaaa...na makobazi fulani. Huwa...
12 Reactions
85 Replies
15K Views
Jik Carotone cream Omo Carotone maji Sabuni ya magadi 7 Baking powder n.k
3 Reactions
163 Replies
70K Views
Kuishi maisha yenye mafanikio na furaha kunahitaji mkakati na maamuzi sahihi kulingana na umri wako na wakati sahihi. Hapa kuna mwongozo wa kujenga maisha mazuri kwa kuzingatia umri wako: Katika...
4 Reactions
4 Replies
488 Views
Back
Top Bottom