Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
  • Sticky
Habari zenu Leo nimeona ni vyema wana jikoni na wazazi tujadili na tubadilishane mawazo kuhusu lishe za watoto wetu kuanzia umri wa miezi 6 hadi mwaka..... Nini madhumuni hasa 1)kwa wale...
30 Reactions
338 Replies
266K Views
Tupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee...
64 Reactions
33K Replies
2M Views
1. Ukila tende mara kwa mara, mwili wako utapata aina mbalimbali za madini na vitamin za kutosha, ambazo zinapatikana kwenye tunda hili maarufu duniani. Katika tende kuna kiasi kidogo tu cha...
11 Reactions
21 Replies
18K Views
Wazee wa maakuli kwema? Naomba tutumie uzi huu kuweka recipes mbalimbali za juice tupate vinywaji amazing kipindi hiki cha sikukuu. Ili kufanya juice yangu iwe bomba huwa nafanya haya katika...
3 Reactions
3 Replies
426 Views
Habari wakuu, Husika hapo juu, ni mboga ipi naweza kupika kwa haraka ili niepuke kwenye migahawa Maana nikirud home nakua nimechoka sana Asanteni
2 Reactions
33 Replies
452 Views
Mwezi uliopita nilinunua Mayai thelethini ya kuku wa kienyeji. Kwa ajili ya kula. Nimetumia mayai kama 10. Halafu ukapita muda kama wiki. Bila kula mayai. Juzi nikachukua kuchemsha, naona ni...
0 Reactions
13 Replies
261 Views
Hii...safi sana...Mimi napenda sana juice...kama kuna mwenye kujua aina mbali mbali za ku'blend'' tafadhari tujuzane. Asante sana. juisi ya rozella jinsi ya kutengeneza 1. chemsha...
0 Reactions
14 Replies
46K Views
Nimeenda kwa rafiki yangu nikafungua friji lake nikajionea maajabu ya dunia. Mambo ya aibu kwa mtoto wa kike. Hata friji la nyumbani kwa mama huwa nahangaika sana kupanga, kutoa vitu visivyo...
13 Reactions
225 Replies
53K Views
  • Poll
The Spice of Life: Unveiling the Hidden Powers of Culinary Herbs and Spices For as long as humans have been cooking, herbs and spices have been our trusty companions in the kitchen. More than...
0 Reactions
0 Replies
57 Views
Kwa hakika kama kuna mtu kati yetu asubuhi ya leo kala tunda lolote lile basi ni wale waliolala zile hotel zenye bed n breakfast full course. Wengine wetu kwa uchache mno ni wale wafanya diet na...
39 Reactions
983 Replies
47K Views
Habari zenu wapenzi Karibuni tena tujifunze jinsi ya kupika tambi za mayai.✍🏻 Ni rahisi sana wala hutumii muda mrefu, niiingi moja kwa moja kwenye mada Owky. Mahitaji. Tambi chumvi maji...
5 Reactions
10 Replies
426 Views
Unataka kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri ili ugundue nini? Usile kitimoto ambayo haijaiva vizuri, hakikisha imepikwa kwa moto mkali, kama ni ya kuokwa hakikisha imeokwa kwa muda mrefu...
2 Reactions
9 Replies
450 Views
WAkuu habari za usiku huu? Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Naomba kufahamishwa jinsi ya kutengeneza juisi aina ya milkshake, vitu vinavyowekwa humo mpaka inakamilika kwa ajili ya kunywewa...
0 Reactions
15 Replies
468 Views
I hope mko vyema Ni kinywaji kinachopendwa na watu wengi na ni kitamu sana Naomba kushare nanyi sikumoja moja muwe mnaenjoy hata mkiwa nyumbani LEMONADE MOCKTAIL mahitaji: Glass 1 Msukumio au...
17 Reactions
105 Replies
2K Views
Chakula ni kipengele muhimu cha maisha ya binadamu, ni bidhaa ambayo wakati mwingi huwa ni matokeo ya jitihada, riziki na starehe. Hata hivyo, linapokuja suala la uchaguzi wa mapishi, mapendekezo...
1 Reactions
8 Replies
414 Views
Ni vyema ukawa na kawaida ya kuhifadhi vyakula vya aina mbalimbali nyumbani kwako ili ikusaidie pale unapotaka kupika. Haipendezi kila unapotaka kupika basi unaenda dukani au gengeni kununua kitu...
4 Reactions
10 Replies
6K Views
Kwangu mambo yote ni shega tu! Nimeshangaa eti Tanzania hatumo kwenye haka ka listi ka misosi yenye unyama mwingi duniani!. Yawezekana tumefanyiwa tu fitina. Ina maana hawa waliotoa haka ka...
2 Reactions
9 Replies
292 Views
Mahitaji Mayai 2 Unga wa ngano au Bread crumbs Kijiko kimoja cha tangawizi chumvi Mixed spice au Viungo vya Pilau oil simba mbili au cubes Maelezo Weka nyama ya kusaga kweye chombo na jikoni...
1 Reactions
0 Replies
148 Views
Kuna baadhi ya watu wanapikia nazi kila chakula, yani chakula hawawezi kupika au kula bila kuweka nazi. Unaweza kukua katika mlo mmoja amepika wala wa nazi, nyama ina nazi, maharage ya nazi na...
3 Reactions
41 Replies
1K Views
Hivi kuna ulazima chapati iwe ya mviringo na kuanza kuwanyanyapaa wasioweza kuduarisha chapati? Ni kweli chapati ya mviringo inatoshea vyema sana kwenye kikaangio cha mviringo, lakini umviringo...
6 Reactions
23 Replies
801 Views
Habari, natumaini nyote mko poa Leo tutajifunza simple biriani waweza pika mahala popote. Moja kwa moja niingie jikoni MAANDALIZI. kitunguu thoumu Tangawizi pilipili manga ya unga binzari...
12 Reactions
230 Replies
3K Views
Back
Top Bottom