Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

  • Sticky
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies. Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza...
68 Reactions
23K Replies
2M Views
  • Sticky
- Seven Pounds Official Movie Trailer HD
25 Reactions
5K Replies
516K Views
  • Sticky
Kama wewe ni mpenzi wa Korean Dramas, karibu katika thread hii tupate ku share kuhusu kazi hizo hatari za mkorea. Tuambiane; - Ipi ni drama yako bora ya kila wakati kwako? - Ni ya aina gani...
50 Reactions
22K Replies
2M Views
  • Sticky
Salama wakuu?,ni jumapili nyingine tulivu.... Leo naomba tujikumbushe bendi zetu zilizotamba sana miaka ya 80 na 90,bendi ambazo ama zimekufa ama zinaendelea kusuasua na ambazo ukisikiliza muziki...
41 Reactions
2K Replies
681K Views
  • Sticky
YouTube - Kool & The Gang - Let's Go Dancing (Ooh, La, La, La) YouTube - Kool & The Gang - Get Down On It YouTube - Kool & The Gang - Celebration
45 Reactions
683 Replies
171K Views
  • Sticky
Hii thread ni kwa wale wapenzi wote wa filamu hapa tutakuwa tunajadiliana kuhusiana na filamu tulizoziona, tunazotaka kuziona. Karibuni. Tuanze na Hangover 2. Kwa mujibu wa Rotten Tomatoes naona...
16 Reactions
2K Replies
239K Views
  • Sticky
Album bora ya hiphop ya muda wote ni ipi? Msanii bora wa hiphop wa muda wote ni nani? Wimbo bora wa hiphop wa muda wote? History ya hiphop Records za hiphop Tafsri ya hiphop na utamaduni wa...
7 Reactions
261 Replies
85K Views
1. Darassa - Muziki 2. Dully sykes - Bongo fleva 3. Chid benz - Dar es salaam stand up
3 Reactions
142 Replies
2K Views
Nimejaribu kufatilia kuna uchafu mwingi sana kwenye industry, na zama hizi mpaka msanii aonekane lazma labda adandie record label. Na ukidandia ndo hivyo tena unakua kama wakina rich mavoko, siku...
1 Reactions
71 Replies
552 Views
NILIEMDHANIA NI KAHABA KUMBE BIKRA MTUNZI:SINGANOJR . AGE:18+ NB:SIMULIZI HII NI YA KUTUNGA PDF KUTOKA SEHEMU YA KWANZA MPAKA YA 390 IPIO NITAFUTE WATSAPP 0687151346 PROLOGUE../DIBAJI...
31 Reactions
4K Replies
2M Views
Hiyo movie amecheza jamaa mmoja sijui ni kama msomali hivi simjuagi jina movie ile ni kama imechezwa maeneo ya magomeni kuna kipande dada fulani hivi kama ana asili ya kipemba au kiarabu aligeuka...
1 Reactions
13 Replies
199 Views
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa movie za horror specifically zombie movies basi utagundua movie nyingi za zombies Hollywood wanaigizia Las vegas Kuna siri gani iliyo jificha nyuma ya jiji la...
2 Reactions
6 Replies
183 Views
MIMI NA MIMI A Story by Elton Tonny Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Tamaa, Hila, Usaliti, Siri, Mambo Ysiyotazamiwa R-rated 18+ Enjoy! ★★★★★★★★★★★★★ SEHEMU YA KWANZA ★★★★★★★★★★★★★...
3 Reactions
42 Replies
3K Views
Naomba kujua Elimu ya Dizasta Vina? Panorama ni kitu gani? Kwanni anajiita Black Maradona? Dizasta Vina. Alilenga nini kujiita hivyo? #forgive me.
2 Reactions
91 Replies
1K Views
Ulishawahi angalia filamu ukajikuta una question your reality? una-question everything? Yaani filamu imeilenga akili yako mtazamaji kama ni sehemu ya mchezo. Basi huo ni mfano wa Mind...
19 Reactions
101 Replies
5K Views
Wakuu naombeni mnisaidie jina la msanii au wimbo ule wa zamani wa mdada wa SOUTH AFRIKA sikumbuk vizuri maneno yake ila kibongo bongo tulikuwa tunaimba pale kwenye kiitikio "tamu sana,aaaii...
1 Reactions
20 Replies
404 Views
Haiwezekani kwamba Azam TV kuwa ni burudani kwa wote kama wanavyojinasibu. Mi naona hiyo kauli ibadilike na kiwa Azam TV burudani kwa waliolipia mana bila kulipia huoni kitu
2 Reactions
10 Replies
190 Views
Hii tamthilia ya Mpali ina story nzuri sana ambayo inaeleweka. Ni bwana Nguzu na wakeze sita kule shamba kwao. Sasa ukija kwenye tamthilia za kitanzania, unakuta story ni ndefu mpaka inaboa...
2 Reactions
11 Replies
176 Views
IBILISI RUDISHA FAHAMU ZETU(MIMI NA MKE WANGU). BY ISSAI SINGANO . (Singano jr). DIBAJI Saa saba mchana Frida alionekana akiingiza gari ndani ya hospitali na taasisi ya kitafiti ya Neuroscience...
2 Reactions
107 Replies
28K Views
"Hakuna mwenye uwezo wa kutabiri mambo yatakayotokea wakati ujao kwa usahihi isipokuwa Mungu pekee". Hivyo ndivyo wanasema, maana yeye pekee anatambua mwanzo na mwisho wetu. Wataalamu wengi...
14 Reactions
25 Replies
643 Views
Aloha kakahiaka.... 👋👋 Kama wewe ni mpenzi wa kutazama mieleka kwa muda mrefu na unawafahamu baadhi ya wacheza mieleka utagundua kwamba michoro/tattoo zilizopo kwenye mikono na mabega ya The Rock...
26 Reactions
59 Replies
2K Views
What is wrong with us that we love to freak ourselves out by watching scary movies? On this list of the best horror movies of all time there are some truly shiver-inducing films that are capable...
1 Reactions
1K Replies
193K Views
Kuna movie niliangalia miaka mingi kidogo kama 25 iliyopita kuna kijana alimchumbia mwanamke aliyekuwa na uhusiano na baba yake nafikiri yule mchumba wake alikuwa anafanya kazi ofisi ambayo baba...
0 Reactions
17 Replies
308 Views
JF huwa ni moja ya sehemu zangu za kujiburudisha hususani kwa ‘ID’ hii. Kwa kuwa nimepata muda kidogo wa kuandika na tarehe ya leo ni kumbukumbu yangu ya siku ya kuzaliwa, nimeona nianze kuwaletea...
38 Reactions
377 Replies
69K Views
Habari za asubuhi wanajukwaa. Mimi nimpenzi wa kusoma story,Naombeni msaada kwenu natafuta story ya kusoma humu JF weekend hii. kiufupi sina appointment yoyote na nilitegemea waandishi wangu...
7 Reactions
99 Replies
3K Views
Kwa wale wenzangu na mimi, kama hujawahi sikiliza Wimbo wa Dax: what it takes to be a man, sikiliza kisha hii ndio swahili version yake "Sina uwezo wa kujificha Sitarajii uweze kuelewa Natumai tu...
1 Reactions
1 Replies
94 Views
Kwa Maoni yangu GENTAMYCINE ( Rais wa Wapenzi wote wa Bendi ya Wenge Musica BCBG JamiiForums nzima ) japo niliumia sana kwa Bendi hii Kuvunjika na kila Mtu Kuunda Wenge Musica yake yaani JB Mpiana...
5 Reactions
31 Replies
500 Views
Back
Top Bottom