Wazungu wana mpango gani na sisi? Au ndio tupambane na hali zetu?

Fene

JF-Expert Member
May 4, 2021
2,490
3,517
Kiuhalisia Afrika (Tanzania) suala zima la maendeleo ndio basi tena, zitabaki hizihizi kelele za siku zote mara sijui katiba mpya, nchi achukue yule, mara uchawa, mara ndio baasi tena. Lakini jibu ni kwamba Waafrika hatujiwezi (ukweli mchungu)

Kwani miaka mingapi imepita. Niambie wew nchi gani ya Afrika ambayo ilio tishio duniani kiuchumi, kiutawala na kiteknolojia. Ukiniuliza Asia nitakwambia zipo kibao nyingi tu, Urusi, China nk...

Ulaya England, France, America.......

Wenzetu China wapo katika uzinduzi wa magari. Sisi tumepata majibu kumbe yule Muuza madafu ni askari.

Jibu tushapata Waafrika hatujiwezi Wazungu wana mikakati gani na sisi ili watukwamue au hawajui kwamba hatujiwezi tukawapange?
 
Kiuhalisia Afrika (Tanzania) suala zima la maendeleo ndo basi tena, zitabaki hizihizi kelele za siku zote mara sijui katiba mpya, nchi achukue yule, mara uchawa, mara.....ndo baasi tena
Lakini jibu ni kwamba Waafrika hatujiwezi (ukweli mchungu)

Kwani miaka mingapi imepita....
Niambie wew nchi gani ya Afrika ambayo ilio tishio duniani kiuchumi, kiutawala na kiteknolojia
Ukiniuliza Asia nitakwambia zipo kibao nyingi tu, Urusi, China nk...
Ulaya England, France....
America.......

Wenzetu China wapo katika uzinduzi wa magari
Sisi tumepata majibu kumbe yule Muuza madafu ni askari

Jibu tushapata Waafrika hatujiwezi Wazungu wana mikakati gani na sisi ili watukwamue au hawajui kwamba hatujiwezi tukawapange?
"Tuliwakataa, tuliwatenga na kuwaengua kabisa watu Weusi katika mchakato wa maendeleo ya nchi na ujenzi wake kwa sababu HAWANA AKILI NZURI, endapo kama tungewajumuisha basi wangetuharibia mambo yetu mazuri yaliyopo nchini Afrika ya Kusini leo hii."

Pieter W. Botha, aliyekuwa Rais wa zamani wa Afrika ya Kusini enzi za utawala wa ubaguzi wa rangi.
 
Kiuhalisia Afrika (Tanzania) suala zima la maendeleo ndo basi tena, zitabaki hizihizi kelele za siku zote mara sijui katiba mpya, nchi achukue yule, mara uchawa, mara ndo baasi tena. Lakini jibu ni kwamba Waafrika hatujiwezi (ukweli mchungu)

Kwani miaka mingapi imepita. Niambie wew nchi gani ya Afrika ambayo ilio tishio duniani kiuchumi, kiutawala na kiteknolojia. Ukiniuliza Asia nitakwambia zipo kibao nyingi tu, Urusi, China nk...

Ulaya England, France, America.......

Wenzetu China wapo katika uzinduzi wa magari. Sisi tumepata majibu kumbe yule Muuza madafu ni askari.

Jibu tushapata Waafrika hatujiwezi Wazungu wana mikakati gani na sisi ili watukwamue au hawajui kwamba hatujiwezi tukawapange?
Its so sad mpaka sasa unawaza mzungu akulwamue kweli? Wazungu hao hao mnawakandia lwa kuwaita mabeberu?

Mwafrika aamke atoke usingizini. Mwafrika atajikomboa mwenyewe , hizo nchi zilizoinukq sasa zilifunga mkanda
 
Tanzania kuna watu wengi hawaujui ukweli. Yaani mpaka leo hujui kwanini Africa inakosa maendeleo? Yaani unawaza wazungu waje walikomboe. bara la Africa kiuchumi, kweli?
Kama mpaka leo hii watu hawajajua tatizo ni nini, safari ya ukombozi ni ndefu sana.
 
Kiuhalisia Afrika (Tanzania) suala zima la maendeleo ndo basi tena, zitabaki hizihizi kelele za siku zote mara sijui katiba mpya, nchi achukue yule, mara uchawa, mara ndo baasi tena. Lakini jibu ni kwamba Waafrika hatujiwezi (ukweli mchungu)

Kwani miaka mingapi imepita. Niambie wew nchi gani ya Afrika ambayo ilio tishio duniani kiuchumi, kiutawala na kiteknolojia. Ukiniuliza Asia nitakwambia zipo kibao nyingi tu, Urusi, China nk...

Ulaya England, France, America.......

Wenzetu China wapo katika uzinduzi wa magari. Sisi tumepata majibu kumbe yule Muuza madafu ni askari

Jibu tushapata Waafrika hatujiwezi Wazungu wana mikakati gani na sisi ili watukwamue au hawajui kwamba hatujiwezi tukawapange?
:D:D:D:D
 
Tatzo ni haohao wazungu, sio kuwapa lawama ila wanahusika na kuididimiza Afrika katika maendeleo. Wanakujua madhaifu yetu na wanayatumia kutunyonya na kudhulumu. Wanafahamu Afrika ndy bara lenye rasilimali nyingi na zenye thamani kubwa na hawataki tujuwe namna ya kuzitumia au kuzibadilisha na kuwa fedha.

Mfano rahisi tu ni namna wanavyo tupa mikopo isiyo na ukomo, wanajua hatuwezi rejesha na ili kufidia wanapita na rasilimali zetu. Kumbuka hizo pesa za mikopo wanatupangia kabisa tuzitumie kwa namna gani. Kujenga shule, hospitali, miundombinu. Vitu ambavyo bado haviwezi tengeneza pesa ya kutosha. Badala ya kutumia pesa hizo kuwekeza kwenye miradi ambayo itatupa faida na kuwezesha kutumia na kubadilisha rasilimali zetu kuwa bidhaa.
 
Tatzo ni haohao wazungu, sio kuwapa lawama ila wanahusika na kuididimiza Afrika katika maendeleo. Wanakujua madhaifu yetu na wanayatumia kutunyonya na kudhulumu. Wanafahamu Afrika ndy bara lenye rasilimali nyingi na zenye thamani kubwa na hawataki tujuwe namna ya kuzitumia au kuzibadilisha na kuwa fedha.

Mfano rahisi tu ni namna wanavyo tupa mikopo isiyo na ukomo, wanajua hatuwezi rejesha na ili kufidia wanapita na rasilimali zetu. Kumbuka hizo pesa za mikopo wanatupangia kabisa tuzitumie kwa namna gani. Kujenga shule, hospitali, miundombinu. Vitu ambavyo bado haviwezi tengeneza pesa ya kutosha. Badala ya kutumia pesa hizo kuwekeza kwenye miradi ambayo itatupa faida na kuwezesha kutumia na kubadilisha rasilimali zetu kuwa bidhaa.
Uwongo mkubwa sana huu.
Tatizo walilonalo Watu Weusi wengi zaidi ni kuwa na AKILI MBOVU.

Je, Kwani watu Weusi wamelazimishwa kukopa hiyo mikopo unayodai kwamba haina ukomo? Wanalazimishwa kukopa au wanakopa wenyewe kwa hiyari yao???
Tatizo ni AKILI MBOVU!! AKILI MBOVU!!
 
Uwongo mkubwa sana huu.
Tatizo walilonalo Watu Weusi wengi zaidi ni kuwa na AKILI MBOVU.

Je, Kwani watu Weusi wamelazimishwa kukopa hiyo mikopo unayodai kwamba haina ukomo? Wanalazimishwa kukopa au wanakopa wenyewe kwa hiyari yao???
Tatizo ni AKILI MBOVU!! AKILI MBOVU!!
Mwanzo hapo nimesema wanayajua madhaifu yetu na wanayatumia. Ufinyu wa mawazo, tamaa za viongozi na mengineyo.
 
Ukishaelewa mchawi wako basi mambo yatanyooka tu
Sisi bado tunaona wizi wa mali ya umma ndio mpango mzima
Hata kama ukiwa wewe utatoboaje kama huna mipango?

Wizi, Rushwa, ubadhirifu,
Kwani nani alitufundisha wizi wa mali za umma?
Wenzetu hela za miradi ni za miradi na waizi aidha wananyongwa au vifungo vya maisha
Ndio maana nchi zinapishana kwa uaminifu na uadilifu
Hela zinaelekezwa kufanya kitu lakini zinaishia kwenye mifuko ya watu

Naona bunge lingefungwa tu halina impact katika maendeleo zaidi ya kubebana tu
 
Watu weusi huwa hawasidiki maana tatizo lao ni mindset ambayo imejifunga .

Anza na kutazama ukoo wako uone jinsi watu walivyochapika.

MTU anayesaidiwa ni yule aliyepo tayari kusaidiwa na sio vinginevyo.
 
we all make mistake so if you got time to make it right just make it right
Kijiografia Urusi iko maeneo yote mawili: Ulaya na Asia. Sehemu kubwa ya Asia Kaskazini ni Urusi na ina idadi kubwa ya watu wenye asili ya Asia.

Kiutawala inatambulika rasmi kuwa Ulaya Mashariki.
 
Ukishaelewa mchawi wako basi mambo yatanyooka tu
Sisi bado tunaona wizi wa mali ya umma ndio mpango mzima
Hata kama ukiwa wewe utatoboaje kama huna mipango?

Wizi, Rushwa, ubadhirifu,
Kwani nani alitufundisha wizi wa mali za umma?
Wenzetu hela za miradi ni za miradi na waizi aidha wananyongwa au vifungo vya maisha
Ndio maana nchi zinapishana kwa uaminifu na uadilifu
Hela zinaelekezwa kufanya kitu lakini zinaishia kwenye mifuko ya watu

Naona bunge lingefungwa tu halina impact katika maendeleo zaidi ya kubebana tu
Hili ndio jibu. Nchi watu wanataka kuwa na Rais mwenye “maono” abuni miradi ya maendeleo, agawe pesa (mabilioni), asimamie utekelezaji, halafu azurure nchi nzima kusikiliza shida za “wanyonge” na kutumbua watendaji.

Hakuna cha mipango, mifumo, sheria, taratibu wala taasisi.

Hayo maendeleo yatoke wapi?
 
Uwongo mkubwa sana huu.
Tatizo walilonalo Watu Weusi wengi zaidi ni kuwa na AKILI MBOVU.

Je, Kwani watu Weusi wamelazimishwa kukopa hiyo mikopo unayodai kwamba haina ukomo? Wanalazimishwa kukopa au wanakopa wenyewe kwa hiyari yao???
Tatizo ni AKILI MBOVU!! AKILI MBOVU!!
Ipo Mikopo mingi tu watu wanalazimishwa kukopa.

Sisi Tanzania sababu tulitawaliwa na Ujerumani na baadae uingereza akawa tu kaishika nchi tuna u Afadhali kidogo, hawakuweka system zao, ila angalia Nchi nyengine za Ki Africa mikataba walioachiwa na wakoloni.

Mfano nchi za Sahel Africa Magharibi Mali, Burkina Faso, Niger etc wana mikataba ya kikoloni enzi na enzi, Hadi Hazina za Nchi zipo Ufaransa, Dhahabu zinachimbwa nchini kwao ila Ufaransa yeye anazieka.

Na ikitokea Wakipata Kiongozi kama Sankara ambaye alifanya nchi kujitegemea basi hakai sana anapinduliwa.
 
Kijiografia Urusi iko maeneo yote mawili: Ulaya na Asia. Sehemu kubwa ya Asia Kaskazini ni Urusi na ina idadi kubwa ya watu wenye asili ya Asia.

Kiutawala inatambulika rasmi kuwa Ulaya Mashariki.
Ipo Mabara matatu, North America, Ulaya na Asia. Watu wengi wanasahau kama Urusi ipo North America pia sababu Ramani imechorwa 2D, ukiangalia Ramani ya 3D Usa na Urusi zimepakana.
 
Back
Top Bottom