Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,344
- 219,709
Baada ya Mapumziko ya Jumapili, leo tena ile kazi ya Ukombozi wa Nchi inaendelea.
Tundu Lissu anaongoza Maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi.
Mkoa wa Dodoma unatajwa kuwa miongoni mwa Mikoa Duni kabisa Nchini Tanzania, ambayo wakazi wake wanaishi katika umasikini wa kutupwa
Usiondoke JF kwa taarifa zote kuhusu maandamano hsya na Tuvitu vitu.
Kumekucha:
Tundu Lissu anaongoza Maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi.
Mkoa wa Dodoma unatajwa kuwa miongoni mwa Mikoa Duni kabisa Nchini Tanzania, ambayo wakazi wake wanaishi katika umasikini wa kutupwa
Usiondoke JF kwa taarifa zote kuhusu maandamano hsya na Tuvitu vitu.
Kumekucha: