Search results

  1. Muuza madafu wa Ikulu

    Tanzania na nchi za Afrika zilizojaa wakristo zina uhuru wa imani, Nchi za kiislam zinanyanyasa wakristo, Penye wakristo wengi pana amani ya imani

    Kuna mmoja alikuwa anamnyima hadi Dereva chakula ambacho waarabu wawekezaji walikiwa wanamkaribisha. Hatari sana.
  2. Muuza madafu wa Ikulu

    Nilinunua dish la Azam kwa ajili ya mechi za Tanzania na ulaya. Nimeumia sana

    Hahaaaaa naona unampiga za uso mwanamke mwenzako
  3. Muuza madafu wa Ikulu

    Watu 11 wamepoteza maisha ndani ya Kiwanda cha Mtibwa Sugar, Morogoro

    Kama kilivyomuwinda President wa Iran😀😃😄😁
  4. Muuza madafu wa Ikulu

    Watu 11 wamepoteza maisha ndani ya Kiwanda cha Mtibwa Sugar, Morogoro

    Chanzo sio Azam TV ni UTV kipindi cha Morning Trumpet kwani hakuna channel iitwayo Azam TV 😀😃😄😁
  5. Muuza madafu wa Ikulu

    Watu 11 wamepoteza maisha ndani ya Kiwanda cha Mtibwa Sugar, Morogoro

    Wameitangaza hii UTV kwenye Morning Trumpet. Kiwanda kilikuwa kimeandaa na kutengeneza umeme wao pitia mitambo yao ya kufua umeme huo inawezekana kutumia maboiler ya huko kiwandani. Usiku wa leo ndio walikuwa wanawasha rasmi huo umeme wao, inaonekana umeme umekuja ukiwa mkali na...
  6. Muuza madafu wa Ikulu

    TCRA mmeamua kuuza utu wetu kwa wahuni wa App za mikopo mtandaoni

    Kumbe ndio wewe ulioanzishiwa group la Whatsapp kuwa una uza........... ili upate pesa ya kulipa deni la Mkopo wa Mtandaoni?
  7. Muuza madafu wa Ikulu

    Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

    Unamaanisha Wairan wa JF wamefanywa kitu kibaya na muisrael? Ngoja aje Ritz Pamoja na Malaria 2 watakupa majibu.
  8. Muuza madafu wa Ikulu

    Nimechapiwa kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe

    Muue au ukishindwa, Jiue wewe tu.
  9. Muuza madafu wa Ikulu

    Mzazi aliejikuta mzungu kumpa simu mtoto wa shule ya msingi yamtokea puani, Mtoto kaanza kucheki X na kujichua akiwa na miaka 8 tu

    Aiseeeeee, mwaka gani hizo smartphone mkuu wakiwa na miaka 14 na sasa wamemaliza chuo kikuu?
  10. Muuza madafu wa Ikulu

    Live kutoka kuzimu!

    Inabidi uchukue maamuzi sasa mkuu kwani kesho yako ni fumbo ila milele yako imekaribia.
  11. Muuza madafu wa Ikulu

    Mzee wa Upako: Mgogo siyo Mchungaji, ni Mchekeshaji mwenye Kipaji

    Yule ni comedian. Jamaa hasomi wala kurefer Bible yeye ni blah blah tu. Inatakiwa aongezwe na Hananja kwenye hiyo list.
  12. Muuza madafu wa Ikulu

    Biashara ya Fei Toto na Azam ilikuwa kete ngumu kwa Yanga

    Wabajifurahisha vijana wa sasa. Yeye hana hata mia mbovu mfukoni alafu Azam atoe pesa zake tu hovyo hovyo. Utawasikia akina sinza pazuri eti Dayamond kamnunulia yule dogo anayetembea kwa kupepesuka cheni ya Tsh 150,000,000. Wanadanganyika sana hawa Vijana na kuona pesa inapatikana kirahisi...
  13. Muuza madafu wa Ikulu

    Picha za Mapambano ya kutafuta mkate wa kila siku kwa wanaume.

    Weka mkuu, yore ni mapambano ya maisha ya kila siku mkuu.
Back
Top Bottom