Search results

  1. T

    Dunia iliishia 1999

    aah wapi! sio mm
  2. T

    Wanaotoka kazini wanapitia Bar inawahusu

    ..kimeumana ila tumekusamehe ulikuwa hujakuwa [emoji2][emoji28][emoji1787]
  3. T

    Tujadili kidogo kuhusu baadhi ya tabia ambazo watu huziona za kawaida ila zinakera sana

    mkuu upo sawa kabbisaa.. mijitu yenye tabia hizo ndo itakuchukia subiri tu
  4. T

    Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

    hivo ndo vyoo shetani wanaishi humo!
  5. T

    Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

    ..aah wp ni mpuuzi tu flani
  6. T

    Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

    me nadhani hii ni kwa ajili ya vile vyoo vya kulenga vyenye mabanda ya nyasi ndo shetani anaweza kuwa humo..
  7. T

    Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

    ..unamaanisha nini mkuu?
  8. T

    Maisha ya uzeeni bila hela ni tabu sana

    ..aah wapi mkubwa mwenzio unae tayari analea watoto tafuta 20 to 25 years akujegeje na mitindo mipya [emoji16][emoji16]
  9. T

    Maisha ya uzeeni bila hela ni tabu sana

    baada ya kuwa hizo changamoto hauna na una mafao ya kustaafu? kinachofuatia ni kuosha urungu kwa kutumia dogodogo hakuna namna mkuu [emoji16][emoji16]
  10. T

    Maisha ya uzeeni bila hela ni tabu sana

    "ngoja nitafute hela" hili ndo neno.. kila kitu kitakuja chenyewe hata ukiwa na mika buku.. niko na 58yrs ila girls 22 to 25 ndo natumia mkuu [emoji3][emoji3]
  11. T

    Shekh Zuberi Mufti wa Tanzania ni wazi anahitaji msaada

    haya yoote ungeyaelekeza kwake mufti! kuja humu kutuambia sisi ni majungu ya kiwango cha PhD.. halafu utasema ulikuwa umefunga! hovyo kbs
  12. T

    Tunaipokea treni ya mchongoko kwa shingo upande, ni kama ile ya zamani imechongwa kimchongo

    "imechongwa ki mchongo imekuwa kama alfard" nimecheka sana hii nchi ina mainjinia wakubwa sana sijui kwa nn hatuendelei..
  13. T

    Mafundi Maiko wanatuongezea umaskini

    sasa kwanza unaanzaje kwenda kwa fundi maiko? gereji zinazoeleweka si zipo? ni ubahili tu huendi gereji unakata kona kichochoroni kwa fundi maiko lazima uumie
  14. T

    Niko Kigoma, kweli sura siyo roho

    heheheeee usithubutu.. bafuni utaenda umebebwa bila nguo unakalishwa kwa kigoda then "mbupu" zinawekwa kwa sahani na kuoshwa kwa maji vuguvugu af as. utakuta nguo zimelowekwa ndo bhaaasi hutoki teeena
  15. T

    Umeme upo hapo ulipo kwa sasa?

    utoke wapi kaka? ni totorooo mwanzo mwisho
  16. T

    Matrafiki wana roho mtakatifu wao

    a.aleykum sheikh Abdull? [emoji1][emoji1]
Back
Top Bottom