Search results

  1. PureView zeiss

    Kwa budget ya 17m napata gari gani kutoka Japan

    Forester ya milioni 17 ya mwaka gani mkuu!! Labda za mwaka 2003-2004
  2. PureView zeiss

    Nauza gari mbili zote namba "E" XT Subaru na Ractis

    Huku mitandaoni utapata stress Tu ukianza kutangaza biashara yako.. Kejeli zinakuwa nyingi na utavunjwa moyo Tu
  3. PureView zeiss

    Hali ya kiuchumi arusha inazidi kushuka kila uchwao.

    Arusha wamebaki na WADUDU Tu
  4. PureView zeiss

    Gari za Formula 1® sio Gari, ni "Jet za chini" . Madereva wa F1 sio Madereva, ni "Marubani" wa Jet za chini

    Kipindi hiki ambacho ligi mbalimbali za ulaya zimeisha huwa naangalia kwenye vifurushi vya kawaida ndani ya DStv hasa channel namba 228
  5. PureView zeiss

    Gari za Formula 1® sio Gari, ni "Jet za chini" . Madereva wa F1 sio Madereva, ni "Marubani" wa Jet za chini

    Aisee upo deep Sana kwenye ulimwengu wa magari hasa Kwa Sisi car enthusiast huwa tunafurahi Sana tukisoma habari za magari hasa kuhusu mambo mbalimbali ya magari.. Kama hapa Tanzania tungekuwa na kart racing games ningemlipia Mtoto wangu Kwa gharama yeyote ningeuza Hadi shamba ilimradi Mtoto...
  6. PureView zeiss

    Serikali kujenga daraja la Pili Kigamboni (Magogoni-Kivukoni)

    Vipi kuhusu zile km 2500 za Lami zimeishia wapi? Vipi kuhusu barabara ya kutoka kibaha- MOROGORO imeishia wapi?mlisema itakuwa barabara ya kulipia huku magari yakienda Kwa speed 120 km/H.
  7. PureView zeiss

    Mbunge Santiel Kirumba: Kila laini ikatwe Tsh. 50 tujenge barabara

    Huyu mbunge alaaniwe na familia yake
  8. PureView zeiss

    Daladala za Mbezi kupitia Manzese, Fire hadi Mnazi Mmoja zimeanza kazi rasmi

    Tanzania tulitakiwa kupata Uhuru 1995...kama tumeshindwa kuendesha hii miradi tutaweza kwenye kipi? Kama tumeshindwa kujisimamia wenyewe ni Nani atatusaidia? Tulipiga hatua 10 mbele na sasa tumerudi nyuma hatua 8
  9. PureView zeiss

    Waziri Bashungwa: TANROADS kuanza ujenzi wa Daraja la Jangwani

    Hiyo paragraph ya mwisho pekeyake inatosha kutilia Shaka juu ya ujenzi
  10. PureView zeiss

    Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

    Mwambie MPIGA MWINGI akishazunguka Huko nje afanye ziara Tanzania nzima ajionee Hali halisi ya miundombinu ilivyochoka
  11. PureView zeiss

    Hivi Mungu wenu bado yupo au amekufa? Au zile zilikuwa hadithi tu za vitabuni?

    Mtoa mada nenda kawailize viongozi wa dini hapa jamiiforum hauwezi kupata majibu ya uhakika.. Comments zote hapo juu sijaona jibu la moja Kwa moja
  12. PureView zeiss

    Wachina bwana: Wameiiga Tesla Model X kwa robo bei

    Marekani anahangaika ili magari ya mchina yasiingie ulaya. Nchi kama Australia wao Wanafanya biashara na china tena ndiyo soko Lao kubwa lipo Huko...mchina amekuja Kwa speed kubwa Sana kwenye magari ya UMEME
  13. PureView zeiss

    Wachina bwana: Wameiiga Tesla Model X kwa robo bei

    Jamaa wapo mbali Sana kwenye magari ya UMEME, naona wajapan bado hawajaingia Kwa nguvu kwenye EV.
Back
Top Bottom