Search results

  1. Tsh

    Naona Urusi imeshazungukwa na NATO tayari. Muda wowote anakamatwa

    Bora kutoa maoni kwenye matokeo si mipango maana mipango yote ni mihemko na utimu. USA na washirika kama wana kiburi kweli waingie Urusi. PUTIN kama ana nguvu kweli aidhibiti Ukraine maana si ni kanchi kadogo tu, anapigana nacho miaka na miaka.
  2. Tsh

    Kigwangwala: Kama kudaiana, Simba tunamdai MO hela nyingi sana

    Kama Mo ameweka pesa inamaana akiandamwa hivi atasusa mpaka maelewano yawepo na Club hataachia na hakuna pa kumpeleka kama kweli alitoa hizo pesa, tukija kushtuka msimu ushaisha tukiwa kapa. Kama hakutoa pesa hastahili kuwepo, ni wa kumtoa kupitia sheria za Club na Nchi sababu msimu utaisha na...
  3. Tsh

    Mkopo wa Korea ni sehemu ya vita ya Urusi na Ukraine, tumenasa

    Urusi nae atupe mkopo uone kama Mwigulu atauacha.
  4. Tsh

    Morogoro: Atuhumiwa kula njama kumuua mumewe ili ale raha na bodaboda

    Malaya ni nani? Ukishatembea na mwanaume mwingine na una mume unakuwa Malaya tu, hakuna cheo kingins kitakachokufaa zaidi ya umalaya.
  5. Tsh

    Ushauri: Kodi ya VAT ikusanywe direct toka viwandani kupunguza upotevu wa mapato

    Hii haiwezekani boss, itakuwa si VAT tena. Kinachotakiwa ni wale wanunuzi wa kubwa wa kwanza wanaotoa bidhaa viwandani kubanwa waingie kwenye mfumo, asiwepo supplier mkubwa ambaye ana mzigo usio na risiti. Tatizo unakuta kuna limwanasiasa lina mzigo wake linausambaza bila risiti ukishasambaa...
  6. Tsh

    Ushauri: Kodi ya VAT ikusanywe direct toka viwandani kupunguza upotevu wa mapato

    VAT inatozwa kila thamani inapoongezeka mpaka kwa mtumiaji wa mwisho. Ni mnyororo.
  7. Tsh

    Ushauri: Kodi ya VAT ikusanywe direct toka viwandani kupunguza upotevu wa mapato

    Jitahidi kukosoa baada ya kuelewa
  8. Tsh

    Ushauri: Kodi ya VAT ikusanywe direct toka viwandani kupunguza upotevu wa mapato

    Wamiliki huko juu ni kama imekuwa shida kuwadhibiti. Ukishawadhibiti hao wakauza kwa risiti wanaofuata hawana option maana walishalipa VAT lazima watataka waiamishe kwa mwingine kupitia mauzo. Wimbo wa ukiuza toa risiti utakuwa si common.
  9. Tsh

    Ushauri: Kodi ya VAT ikusanywe direct toka viwandani kupunguza upotevu wa mapato

    VAT imemlenga mtumiaji wa mwisho. We sema Serikali ihakikishe bidhaa zinazozalishwa viwandani na imports zitozwe VAT na zitolewe risiti na asiuziwe mtu mzigo bila kuonyesha min stock ya mzigo uliopita ufanane na VAT anayodai. Hawa wa juu wakinunua kwa risiti hawana option zaidi ya kuuza kwa...
  10. Tsh

    TCRA ni lini mtatulinda dhidi matapeli wanaoingia kwenye account zetu za kijamii bila ridhaa yetu?

    Mkuu, yaani ili profile yako itumike lazima ukubali, wanachokifanya wanatuma maombi ya wewe kukubali kutumika kupitia link ya jambo fulani nzuri.
  11. Tsh

    Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

    Niffah umelenga mulemule hongera, sema kuna utofauti kidogo kuhusu uhusika matokeo ya mechi kwamba Simba ikifungwa ni Mo ndo angetoka ila sio ishu, kusema kuna vita ya kung'oana na ipo kweli umetisha.
  12. Tsh

    Zuhura Yunus anazungumza na waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam, Juni 6, 2024

    Unapotambua wengine wewe unatambuliwa na nani? Wengine kama mimi ndo nakuambia tofauti yako na Zuhura ni mshahara na jukwaa la kazi.
  13. Tsh

    Zuhura Yunus anazungumza na waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam, Juni 6, 2024

    Wewe na Zuhura kama kuna tofauti ni mshahara na jukwaa la kazi. Jiamini.
Back
Top Bottom