Search results

  1. Yoda

    Nawezaje kuishi kama atheist?

    Utakuwa outcast kwa jamii
  2. Yoda

    Nawezaje kuishi kama atheist?

    Kenya ni nchi progressive kuliko Tanzania na nyingi za Africa lakini hata huko sio rahisi kuishi kama Atheist, Tanzania ni vigumu zaidi.
  3. Yoda

    Nawezaje kuishi kama atheist?

    Sio rahisi kwa Afirica hasa bongo, utapata shida sana.
  4. Yoda

    Ukweli unaoendelea kufichwa

    Mjadala mzito huu
  5. Yoda

    IKULU mawasiliano inahitaji data analyst and propagandist, sio mwanahabari otherwise Rais atabadili sana. Mchukueni David Kafulila

    Kwanza Kafulila sio kijana na pia sio data analyst, na pia ikulu inahitaji mtaalamu wa mawasiliano na sio wanapropaganda.
  6. Yoda

    USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    Kinachozifanya nchi kuwa hivi zilivyo bila kuvuragana sana katika kuvamiana na kubadilisha mipaka kwa vita na nguvu ni treaties za miaka ya 40s.
  7. Yoda

    USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    Kumlapua Hitler USSR ilipatiwa na Marekani silaha za dola bilioni 18 kupitia Lend-Lease Act, leo ni kama $bilioni 180.
  8. Yoda

    USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    Geneva conventions, Sio kwa sabubu tu uko vitani basi unafanya tu unyang'au wa kila aina.
  9. Yoda

    USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    Vita vyote vya uvamizi huwa vinaisha kwa kukaa chini na kuafikiana kati ya mvamizi na anayevamiwa kwa hiyo haisaidii sana ukiwaua hao viongozi ambao mtatakiwa mkae nao chini baadaye kuafikiana.
  10. Yoda

    USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    Masikini wa marekani anapewa boflo na serikali yake na pia ana fursa nyingi zaidi za kutoka kimaisha kuliko masikini wa Russia.
  11. Yoda

    USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    US hakushindwa vita katika uwanja wa vita bali aliamua kuachana na hivyo vita baada ya upinzani mkali wa hivyo vita nyumbani kutoka kwa raia ambao walikuwa hawaoni maslahi yoyote kwao kuongezeka.
  12. Yoda

    USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    Vita vya Vietnam hawakushindwa, waliamua kuachana na vita kwa sababu za kisiasa, halafu Marekani ya miaka ya 70 ni tofauti sana na hii ya leo. Marekani haikushindwa Afghanistan, waliamua kuondoka baada ya kuikalia hiyo nchi kwa miaka 20 huku wakiona hakuna hamasa ya WaAfghanistan wenyewe wa...
  13. Yoda

    USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    Bajeti ya ulinzi ya Marekani ni dola bilion 820, hizi sio stori za vijiwe vya kahawa, ni real business.
  14. Yoda

    USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    Hakuna vita Marekani anapigana na Yemen, Yemen haiwezi kudumu hata wiki moja katika vita na Marekani.
  15. Yoda

    USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    Unauliza maswali ya miaka 250 halafu unajijibu kwa majibu ya miaka 50. Empires/Superpowers zote kubwa duniani huwa zinatawala kwa kushirikiana na vassal states na kupitia alliances. Mataifa madogo ndio huwa yanapigana vita peke yake. Wamarekani hawapendi kabisa watu wao wafe vitani hata kama...
  16. Yoda

    USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    Hawategemeani, labda ungesema kuna wakati huwa wanashirikiana
  17. Yoda

    USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    Kwenye conventional warfare hakuna nchi wa kuikaribia USA ila tatizo ni kwamba vita vikubwa vitakavyopiganwa na mataifa makubwa kwa sasa lazima mmojawapo aturusha nuclear tu na hapo ndipo itakuwa maangamizi kwa wote.
  18. Yoda

    Serikali inavyowawezesha Wachina, halafu inalia machozi ya mamba!

    Wakati huo tulikopa China kiasi gani?
  19. Yoda

    Huyu ndiye Naibu Waziri wa Mipango na uwekezaji!

    Ni wanasheria wangapi ambao ni vilaza kabisa kuhusu katiba ya nchi? Ni wahasibu wangapi ambao ni vilaza kuhusu ufungaji wa hesabu? Walioweka banda la kujifukiza corona muhimbili sio wataalamu wa afya? Waliopima mapapai na kipimo cha corona sio wakemia?
Back
Top Bottom