Search results

  1. St. Paka Mweusi

    Ikiwa tunashindwa kujitosheleza kwa rasilimali zetu kama taifa basi, haina haja ya CCM Kubaki katika kuongoza taifa hili

    Tunakisubiri kwa hamu hicho chama.. Watakapotulazimisha tumchague na sisi hatumtaki ndio patakapochimbika.. Mgawanyiko hautaepukika..
  2. St. Paka Mweusi

    Kuelekea 2025 Sumaye: Hakuna anayeweza kuongoza hii nchi zaidi ya Rais Samia

    Mdomo unasema yaliyo tofauti na yaliyomo moyoni.. Nani awe mkombozi wa watanzania kama wanaotegemewa kuwa washauri ndio wamekuwa machawa..??
  3. St. Paka Mweusi

    Mitaa yetu mingi haina nafasi za wazi kwaajilli ya kupumzika. Huwa unaenda wapi kupunga upepo?

    Hakuna.. Tanga ni mji uliotengengenezwa na Mjerumani.. Hata kama hujawahi kufika Tanga mwenyeji wako akikuambia anakaa barabara ya Sita nyumba namba 20 utafika bila shida.. Huku kwetu Mwananyamala mpaka uende na mwenyeji wako mara mbili au tatu ndio uijue njia.. Tanga kweli mjerumani alijua...
  4. St. Paka Mweusi

    Mitaa yetu mingi haina nafasi za wazi kwaajilli ya kupumzika. Huwa unaenda wapi kupunga upepo?

    Hakuna.. Tanga ni mji uliotengengenezwa na Mjerumani.. Hata kama hujawahi kufika Tanga mwenyeji wako akikuambia anakaa barabara ya Sita nyumba namba 20 utafika bila shida.. Huku kwetu Mwananyamala mpaka uende na mwenyeji wako mara mbili au tatu ndio uijue njia.. Tanga kweli mjerumani alijua...
  5. St. Paka Mweusi

    Mitaa yetu mingi haina nafasi za wazi kwaajilli ya kupumzika. Huwa unaenda wapi kupunga upepo?

    Ah kuna kigrocery cha Mangi hapa jirani ana mti mkubwa sana basi hunikosi hapa kila jioni....
  6. St. Paka Mweusi

    Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga

    H Hapo sasa ndio kuna hadithi tamu.. Kwa hiyo alikuwa na mbeba zege wa kumpelekea moto na akawa na Sponsor wa kugharamia maisha yake.. Kilipoumana Mbeba zege akasepa na ugali..
  7. St. Paka Mweusi

    Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga

    Hapo mtu anaumia na uwekezaji wa raslimali fedha alioufanya kwa mwanamke.. Wala tatizo sio mapenzi kama wengi wanavyoona.. Na ndio maana wazungu wanasema "Bet what you can afford to loose.."
  8. St. Paka Mweusi

    Wanafunzi 194 Momba wapewa mimba ndani ya mwezi mmoja: kazi iendelee

    Hapa ndio napojiulizaga na kukosa majibu . KAMA SEX NI KWA AJILI YA WANANDOA NI KWA NINI TUNABALEHE NA KUVUNJA UNGO KABLA YA NDOA..??
  9. St. Paka Mweusi

    Mkuu wa wilaya Kigamboni asema wanajeshi wanapiga na kuua wananchi

    Asa si ushachoka kufanya Siri shehe..
  10. St. Paka Mweusi

    Mkuu wa wilaya Kigamboni asema wanajeshi wanapiga na kuua wananchi

    This is the first sign of the government loosing it's grip on Power.. The legitimacy of rulling is falling day by day..
  11. St. Paka Mweusi

    Kijana hakikisha unanunua gari yako ya kwanza kabla hujafikisha miaka 30

    Na sisi tunaomiliki matela ya kukokotwa na punda tunachangia wapi..??
  12. St. Paka Mweusi

    Watanzania wengi hawapo Flexible, Wengi ni Conservative na hapo ndipo CCM inaposhindia.

    Tatizo naloliona hapa sio flexibility au conservertism ya watanzania.. Tatizo kubwa ni Kwa wale wanaotaka mabadikiko kutojitokeza kupiga kura.. Na wale conservative wakiwa waaminifu kabisa kwa chama chao.. Ndio maana inafikia hatua tunatawaliwa na Rais aliyechaguliwa na wapiga kura Milioni 8...
  13. St. Paka Mweusi

    Chechefu mahakamani tena

    Zamani walikuwa wanaenda na bunduki.. Sasa hivi wanatumia mahakama kuziibia benki..
  14. St. Paka Mweusi

    Siku muungano ukivunjika Tanganyika itapata hasara kubwa sana

    Na wazanzibari mkae mkijua.. Siku huu Muungano ukivunjika mwaka mmoja hautaisha mtakuja bara kuomba ukimbizi..
  15. St. Paka Mweusi

    Tanganyika iliitaka sana Zanzibar kuliko Zanzibar ilivyoitaka Tanganyika

    Mapinduzi ya Zanzibar yalikuwa tarehe 12/1/1964.. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulikuwa tarehe 26/4/1964.. Huoni kuwa Karume aliomba kuungana na bara ili apate ulinzi wa Mapinduzi yake..??
  16. St. Paka Mweusi

    Huyu mchepuko nimfanye nini?

    Kan uyo mchepuko menyewe anatoa jicho..??
  17. St. Paka Mweusi

    Ungeweza kufikia hapo ulipo bila kuchapwa fimbo?

    Nyie mnataka kuiga jamii za kimagharibi.. Hivi mnajua jamii za kimagharibi ni za hovyo kiasi gani katika suala la malezi ya watoto..?? Mjadala wa viboko ninauona kama mjadala wa washamba Fulani wasiojitambua wala kufahamu chochote kuhusuana na jamii zetu za kiafrika..
Back
Top Bottom