Juzi zimetoka taarifa za upangaji matokeo kati ya mwenyekiti wa timu ya kitayose bw. Yusufu Kitumbo na baadhi ya wachezaji wa Fountain gate. Clip za maongezi hayo zimesambaa pamoja na miamala ya fedha kwa njia ya simu zimeonekana.
Najua Uongozi wa Fountain ushapeleka vielelezo hivi takukuru na...
Habari za leo wanajanvi.... tokea jana ndege yetu penda Air Tanzania nauli zake zimepanda kwa asilimia kubwa sana kutoka zile za awali.
Nimejaribu kununua tiket online kama kawaida yangu lakini bei niliyokutana nayo tofauti na sikuzote.
Nikaona isiwe taabu nikaenda ofisi zao za town, kufika...
Huyu jamaa anapiga miguu yote 100%
Style ile ile ya Sant Cazorla midfielder maestro wa zamani wa Arsenal. Kona ikiwa kushoto yeye utatumia guu la kulia, ikiwa Kulia yeye utatumia guu la kushoto
Hakika simba imepata fundi...!!
Ilikua mwaka 2001 katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Ililikua Fainali ya Kombe la Castle. Stars ilishinda 3-1 dhidi ya majirani zetu Harambee Stars. Siku hiyo Stars waliupiga mwingi sana, support ilikuwa kubwa sana kutoka kwa mashabiki walioujaza Uwanja wa Kirumba.
Magoli ya Stars yalifungwa...
Wataalam wa masumbwi wanasema hili pambano kama lingefanyika basi lingekua pambano bora la karne.
Mwenye kujua kwanini pambano hili halikufanikiwa kupangwa atujuze.
Bakhresa adhamini na ligi ya zanzibar, ni aibu sana kuiacha ligi hiyo wakati sehem nyingine anamwaga fedha nyingi... Hata kama anatanua soko la bidhaa zake lakini kuiacha zanzbar ambayo ni asili yake si busara
Je, wajua kuwa wimbo wa Hello wa Hussein Machozi ilikua amshirikishe Jide lakini Jide akakataa kisa Machozi ni msanii mdogo, mwisho wa siku Machozi akampa shavu maunda Zorro.
Je, wajua kuwa jina la Sugu la mh Mr 2 alikopi na kupest kwa muigizaji wa kikundi cha tausi nchini Kenya (komando sugu...
Kuanzia Sol Campbel,Kevin Campbel,Fraizer Campbel, Joel Campbell hadi mwanamitindo maarufu Naomi Campbel. Wote ni weusi, kiukweli sijawahi kusikia jina hili kama ubini wa supastaa yoyote mzungu. Kama yupo mtaje
Huyu jamaa alikua bonge la mtangazaji wa kipindi cha mahojiano ya wasanii wa bongo fleva enzi hizo chanel 5 inaanza kurusha matangazo yake baada ya kubadili jina toka ITV 2.
Kwa anaejua jamaa yupo wapi sahivi akitangaza atujuze.
Enzi zile 1998 na 2002 romario de souza alitokwa machozi pale alipotemwa katika timu ya taifa, lakini sikuhizi naona mtu akiachwa timu ya taifa anaona poa tu, wengine wanajitoa bila sababu ya msingi kama carlos vela wa mexico. Sasa sijui ni kukosa uzalendo,hamasa au mashndano yamekosa mvuto
Ndugu zangu Tanzania inapoteza rasilimali watu ambao wanaweza wakaipeperusha vizuri bendera ya nchi nje kwa sheria mgando wakati inalinda mafisadi ambao wanaipa hasara nchi kwa kupindisha sheria hizo.
Kwanini tusiwape haki watu kuwa na uwezo wa kuwa na uraia wa nchi mbili na tukawatumia kwa...
Kati ya Thibaut Courtous wa Atletíco Madrid na Mignolet wa Liverpool yupi anastahili kuanza kama namba 1 golini ktk milingoti ya timu ya taifa ya Ubeligiji ktk kombe la dunia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.