Recent content by Undava King

  1. Undava King

    Je, upi ni msingi wa falsafa ya Freemason?

    THE ORIGIN OF FREEMASONRY. CHIMBUKO LA FREEMASONRY NJAMA ZA BWANA LUSIFERI. Kwenye somo hili juu ya chimbuko la Freemasonry nimependa niongezee kionjo hiki kukuwekea uelewa wako sawa. Kuna aina mbili za UASHI au MASONRY 1. FREEMASONRY - WAASHI HURU 2.SHRINERDOM - USHRINER FREEMASONRY au...
  2. Undava King

    Fungua njia ya mafanikio na utajiri kwa kutumia sigil ya mammon

    "You think small and you'll remain small for life.." fid q
  3. Undava King

    Fungua njia ya mafanikio na utajiri kwa kutumia sigil ya mammon

    [emoji23]hii ndiyo shida ya mbongo..mbinu umeshapewa tiyari tena bure bila gharama ila bado unahitaji tukuibie ndipo uridhike yaani unataka tujigeuze waganga au watabiri na manabii uchwara tukwambie tufuate inbox tukupe maelekezo.
  4. Undava King

    Fungua njia ya mafanikio na utajiri kwa kutumia sigil ya mammon

    Unachotakiwa kujua nothing easy katika maisha "With great power comes great responsibility"
  5. Undava King

    Fungua njia ya mafanikio na utajiri kwa kutumia sigil ya mammon

    Mnasoma ila hamwelewi anachokiongea James Kashirina a.k.a "Mr. Lucifer himself" ya kwamba hayo maandiko unayojivunia hata mtunzi wake King James ni member wa chama chetu pendwa. Na huyo unayemwita ili kutu-rebuke ni walewale..."
  6. Undava King

    Fungua njia ya mafanikio na utajiri kwa kutumia sigil ya mammon

    Ila mkiwa mnaangalia picha za X mtandaoni hamjihisi kuchoka nikusearch tu nakuforward kwenye utamu mpaka bando linapokata, si ndiyo!?[emoji23]
  7. Undava King

    Fungua njia ya mafanikio na utajiri kwa kutumia sigil ya mammon

    Na bado kuna part 2...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
  8. Undava King

    Fungua njia ya mafanikio na utajiri kwa kutumia sigil ya mammon

    Ujumbe: Ukishafanikiwa usimsahau mwalimu..[emoji23][emoji125][emoji125]
  9. Undava King

    Fungua njia ya mafanikio na utajiri kwa kutumia sigil ya mammon

    [emoji23]Mangi umekuwaje eti? Hivi unaachaje kusoma habari ya pesa?
  10. Undava King

    Fungua njia ya mafanikio na utajiri kwa kutumia sigil ya mammon

    Siku zote kina cha maji hakipimwi kwa kuyatazama kwa macho tu bali unahitajika ujasiri wa kuitia miguu yako ndani yake na ukitaka kujua raha ya ngoma ingia ucheze..siku zote hakuna mbivu bila mbichi..hivyo ukitaka utajiri fanya yaletayo utajiri na pasipo manuva hapa duniani tegemea ukapuku.
  11. Undava King

    Fungua njia ya mafanikio na utajiri kwa kutumia sigil ya mammon

    Hahahaa[emoji23]...eti zaka ni kanuni aliyoweka Mungu kutajirisha waumini!?[emoji125][emoji125][emoji125] Em' we kondoo wa bwana toka usingizini ujitambue kuwa mchungaji, masheikh na mapadri uwaonao mbele yako ni wafanyabiashara kama walivyo wafanyabiashara wengine ila utofauti wao na wenzao ni...
  12. Undava King

    Fungua njia ya mafanikio na utajiri kwa kutumia sigil ya mammon

    SIGIL YA MAMMON; FUNGUA NJIA YA MAFANIKIO NA UTAJIRI KWA KUTUMIA SIGIL YA MARMON. Najua wengi wetu tunapenda Pesa na mafanikio, Tunapenda kumiliki mali (Material gain) basi katika pita pita kwenye maswala ya Magic na Elimu ya siri iliyo fichwa ya uchawi yaani OCCULT kuna utatuzi wa mambo...
  13. Undava King

    Tanzanian traditional local foods

    Dagaa
  14. Undava King

    Tanzanian traditional local foods

    Kilimo cha zao la Uyoga
Back
Top Bottom