Recent content by Nyani Ngabu

  1. Nyani Ngabu

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    The most beautifullest thing in this world!
  2. Nyani Ngabu

    Watanzania tupo tayari kupokea Electrical Vehicles (EVs)?

    Tanzania hakuna infrastructure ya kuwezesha uwepo wa hayo magari kwa wingi. Ni sehemu ipi Tanzania yenye charging station ya EV?
  3. Nyani Ngabu

    Jokate apata Ubalozi wa kutoa elimu kuhusu masuala ya Afya ya Akili

    Kwa kauli ambazo amekuwa akizitoa siku hizi za karibuni, huo ubalozi unamfaa 💯%!!
  4. Nyani Ngabu

    Donald Trump apatikana na hatia ya makosa yote 34 katika kesi ya kughushi nyaraka na kutaka kuficha kuhusu hela alizomlipa pornstar ili akae kimya

    Being a wacko is not a crime. Or is it? DA Alvin Bragg campaigned on a promise to get Trump. That’s targeting. Democrats have crossed a rubicon that they will live to regret it one day. Now it’s tit for tat. Some Republican prosecutors in red states will be targeting Joe Biden and other...
  5. Nyani Ngabu

    Donald Trump apatikana na hatia ya makosa yote 34 katika kesi ya kughushi nyaraka na kutaka kuficha kuhusu hela alizomlipa pornstar ili akae kimya

    Hakuna sheria za Manhattan 🤣. Wengi mnaochangia hapa hata hamna uelewa mdogo wa mambo ya msingi.
  6. Nyani Ngabu

    Donald Trump apatikana na hatia ya makosa yote 34 katika kesi ya kughushi nyaraka na kutaka kuficha kuhusu hela alizomlipa pornstar ili akae kimya

    Hii ni kesi uchwara. Hukumu itatenguliwa kwenye rufaa. Natumaini tutairejea hii mada siku ya siku ikiwadia.
  7. Nyani Ngabu

    Donald Trump apatikana na hatia ya makosa yote 34 katika kesi ya kughushi nyaraka na kutaka kuficha kuhusu hela alizomlipa pornstar ili akae kimya

    So? Huyo jaji hawezi tu kujitungia hukumu zake anazotaka yeye. Kuna miongozo ya kisheria. Licha ya hivyo, ngoma bado mbichi na ikibidi itaenda mpaka kwenye mahakama ya upeo.
  8. Nyani Ngabu

    Donald Trump apatikana na hatia ya makosa yote 34 katika kesi ya kughushi nyaraka na kutaka kuficha kuhusu hela alizomlipa pornstar ili akae kimya

    You know what? Ingekuwa ndo Biden anafanyiwa hivi, ningekuwa upande wake. Sipendi uonevu. Hiki kinachoendelea dhidi ya Trump ni lawfare. Hata CCM huwa inatumia lawfare dhidi ya wapinzani. I’m against that too. Having said that, I just went and donated money to Trump’s campaign.
  9. Nyani Ngabu

    Donald Trump apatikana na hatia ya makosa yote 34 katika kesi ya kughushi nyaraka na kutaka kuficha kuhusu hela alizomlipa pornstar ili akae kimya

    Sipendi uonevu wa aina yoyote ile. My sense of justice is clearly far superior to yours. Mimi hata watu nisiowapenda, nikiona wanaonewa, nitasema. Wewe inaonekana uko tofauti. Simpendi Nape. Lakini aliponyanyaswa kwa kunyooshewa bastola, nilikipinga hicho kitendo. Nimepinga mara nyingi sana...
  10. Nyani Ngabu

    Donald Trump apatikana na hatia ya makosa yote 34 katika kesi ya kughushi nyaraka na kutaka kuficha kuhusu hela alizomlipa pornstar ili akae kimya

    Trump akiwa Rais hakukuwepo na hizi vita zilizopo sasa. Vita zote zilizopo sasa hivi zimetokea kipindi cha Biden. Una akili kweli wewe?
Back
Top Bottom