Recent content by darcity

  1. darcity

    Uzee umekuja ghafla kwenye maisha yangu

    Mwamba umepiga modal au jeans yako imechanika chanika magotini..kumbe watu wanakuona mdingi
  2. darcity

    Wahuni Mungu hutubariki na wachumba wazuri ila sisi ndo tunazingua

    Mapenzi ya kitoto raha Sana, eti kutuma vocha! Wakati wengine tunawaza lini tutatuma: -Ada ya Junior kindergarten 1.5mil jumlisha usafiri 150K -Ada ya dogo Primary, English Medium 2.5mil. Faidi maisha mwamba.
  3. darcity

    David Mosher aliahidi, akatimiza

    Vijana wa kaskazini mnaabudu sana matajiri The Mongolian Savage
  4. darcity

    Jamani kuna wanaume watamu sana

    Aisee!
  5. darcity

    Mahakama ya Rufani Tanzania ina Majaji 31 wakati Supreme court ya Marekani ina majaji 9 tu. Tutaendelea kukopa madeni kwa sana!

    He mfumo wa Sheria wa Marekani unafanana na wa kwetu? Kesi zikilundikana mnalalamika, ikiongezwa nguvu kazi mnalalamika!
  6. darcity

    Huwezi lazimisha Mwanamke akuheshimu, Mwanamke anamheshimu mwanaume anayempenda

    Umenena la maana sana mkuu.Hili lizingatiwe na wanaume wote
  7. darcity

    Lucas Mwashambwa toa maoni yako kuhusu kauli ya Rais Paul Kagame

    Haka kazee Kapuuzi Puppet wa wazungu wanakatumia kufanya machafuko DRC Congo Ili waibe madini, alafu kampuni ya Total ilimtumia kupeleka wanajeshi wake Msumbiji kakafeli.
  8. darcity

    Muonekano wangu unanitesa mahusiano yangu hayadumu

    Mwamba unaelekea pabaya!
  9. darcity

    TAMISEMI kuwanyima watumishi wa umma stahiki zao kwa sababu ya mfumo ambao hata hamjazingatia mazingira yao ya kazi ni ukatili mkubwa kwao

    Watumishi wengi waliochini ya TAMISEMI hawapendi kusumbuka. Wanapenda maisha yale yale yasio na changamoto au jambo jipya. Hata hizi Opras zilikaa miaka na miaka bado kuna waliokuwa hawataki kujaza. Lazima tukubali mabadiliko. Penati ya kukosa mishahara labda itasaidia. Pengine pangeongezwa...
  10. darcity

    Serengeti beer, sticker label yenu mpya ni ya hovyo!

    Marketing manager amefeli. Packaging ni sehemu ya kumvuta mteja. Inaonekana kama Ile Pilsner za mitambo kileee!
  11. darcity

    Mpenzi wangu anapenda kutumia lugha ngumu

    Mzee Mama, mbona unamsagia mwana mitandaoni? Sio poa.
  12. darcity

    Kwa sasa imani, matumaini na mapendo ya watanzania wengi ni CCM pekee

    CDM mnatukana kilo MTU anayesifia au kupongeza jitihada za Serikali
  13. darcity

    Kwanini watoto wa shule za Kayumba huwa hawapati kipaumbele kuwa wageni wa Bunge?

    Kwa majibu haya sahihi kabisa mada ifungwe.
  14. darcity

    Tetesi: Watumishi wa Umma kupandishwa madaraja karibuni

    Kwa hii habari tegemea kuporomoshewa matusi na hasira za vijana wa Mbowe. Sijui kwanini wanachukia watumishi na mambo mazuri!
Back
Top Bottom