Unafurahia channel zipi za DSTV?

General Nguli

JF-Expert Member
Apr 22, 2022
1,122
2,309
Wakuu zangu nliomba kujuzana juu ya chanel mbalimbali za DSTV...Ama wewe mpenzi wa DSTV unaifurahia chanel ipi katika kujifunza kwako.

Nawasilisha
 
Unasoma upepo!!?

DSTV no wale CCM wezi wapiga dili waliochangamka!!


Nililipia compact 64000/= mwezi uliopita nikacheki ratiba zao nikaona nusu fainali UCL itaonyeshwa ss premear league muda ulipofika wakaonyesha kwenye chanel nyingine sio Tena chanel Ile nilioweka!

Mwezi huu ndio wameweka tena sspremear league!!!

DSTV Tanzania wantuibia sana!!

Msimu ujao naitafuta canal sports hats Burundi nitaenda!!
 
Unasoma upepo!!?

DSTV no wale CCM wezi wapiga dili waliochangamka!!


Nililipia compact 64000/= mwezi uliopita nikacheki ratiba zao nikaona nusu fainali UCL itaonyeshwa ss premear league muda ulipofika wakaonyesha kwenye chanel nyingine sio Tena chanel Ile nilioweka!

Mwezi huu ndio wameweka tena sspremear league!!!

DSTV Tanzania wantuibia sana!!

Msimu ujao naitafuta canal sports hats Burundi nitaenda!!
Sisi wa canal tunakula maisha
 
Unasoma upepo!!?

DSTV no wale CCM wezi wapiga dili waliochangamka!!


Nililipia compact 64000/= mwezi uliopita nikacheki ratiba zao nikaona nusu fainali UCL itaonyeshwa ss premear league muda ulipofika wakaonyesha kwenye chanel nyingine sio Tena chanel Ile nilioweka!

Mwezi huu ndio wameweka tena sspremear league!!!

DSTV Tanzania wantuibia sana!!

Msimu ujao naitafuta canal sports hats Burundi nitaenda!!
Usiende Burundi ongea na watu uletewe hadi ulipo
 
Wakuu zangu nliomba kujuzana juu ya chanel mbalimbali za DSTV...Ama wewe mpenzi wa DSTV unaifurahia chanel ipi katika kujifunza kwako.

Nawasilisha
171 ID extra, 181 history channel, 186 discovery channel, 113 movie, 114 movie hizi ndizo channel zangu pendwa
 
Hivi kwa nini Channel O siku hz haipo?
Niliipeda sana hii channel miaka ya 90, napenda sana muziki na kwa wakati ule ilikuwa mahala Pake, walikuwa na sessions kwa kilaadha ya muziki, soul asylum jazz n. K
Last Aired march 31 2015 baada ya mnet kuona imepoteza umaarufu.
 
kuna jamaa ana dish kubwa la fta na decorder ya starsat na kakifaa ka wifi hakuna kitu anakosa ona chanel zote za mpira na nyingine nyingi anajiunga mb 200 anaangalia kila kitu.
 
Niliipeda sana hii channel miaka ya 90, napenda sana muziki na kwa wakati ule ilikuwa mahala Pake, walikuwa na sessions kwa kilaadha ya muziki, soul asylum jazz n. K
Last Aired march 31 2015 baada ya mnet kuona imepoteza umaarufu.
Sijui waliipeleka wapi hii channel naona sasa hv channel za kinigeria za music kama sound city,hip 24, n.k ndio zinatamba huko dstv sijui hii channel yangu pendwa ya wasauz nini ilikikumba
 
Mnet wanasema ilikuwa ni gharama kujiendesha na ilikumbwa na ushindani wa chanetll kama mtv, kama unakumbuka vizuri ilikuwa na premium sound quality, video na kulikuwa na presenters wa karibu kila aina ya muziki, kama kina, mimi k, kabelo, Zannelle etc.
Sidhani kama itajirudia Ile age kwa kweli
 
Back
Top Bottom