CVM INAPOKEA SH NGAPI? MBONA INATUMIA MAGARI YA SERIKALI WANACHOFANYA NI KUBANDIKA NAMBA BINAFSI,MBONA WANATUMIA KUMBI ZA SERIKALI IKULU BADALA YA KUKODI KUMBI? MUDA MWINGINE TUMIA AKILI ZA MKEO
Miongoni wa kundi linalokula keki ya Taifa kwa mrija bila kujali umaskini wa Wananchi ambao ni wapiga kura ni hawa wabunge wa bunge letu.
Wabunge wetu wamekuwa Wanalipwa posho, mikopo ya magari, Fedha za Mfuko Mbunge na mishahara. Fedha zote hizo ni mamiliini ya Shillingi fedha ambazo ni kodi...
Hakika sasa ndio nimejua kwanini Wajinga wengi wapo CCM. Hali ya Ugumu wa Maisha ya wananchi waathirika wakubwa ni Wanachama wa Chadema na ndio maana viongozi wao wanataka Mabadiliko makubwa ya KATIBA MPYA na TUME huru ya Uchaguzi yafanyike.
Mabadiliko haya yatabadili mambo mengi ya Kiuchumi...
Wadau kama mtakumbuka Waziri Silaa alipoteuliwa tu kuwa Waziri ktk siku zake 100 za kwanza moja ya maagizo yake mazito ni hili la kuzuia ujenzi wa vituo vya mafuta nchi nzima na kuwataka makamishna wasaidizi wa mikoa kumpelekea orodha ya vituo vya mafuta vikionesha umbali toka kituo hadi kituo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.