Search results

  1. M

    Nafasi za kazi shambani Mufindi iringa. Mashamba ya Chai

    Niliwah kuishi na kufanya kazi huko..tatizo Kuna radi balaa (sijawahi kuona sehemu watu Wana heshimu dalili za mvua Hadi mvua yenyewe kama huko)...ila nimepakumbuka sana...
  2. M

    Wafadhili wamejenga Msikiti kwenye Eneo la shule ya sekondari inayomilikwa na serikali. Mkurugenzi wa Halmashauri ameuvunja

    Mkurugenzi na team yake walikua wapi had wasubiri msikiti umalizike ndo wavunje...Ina umiza sana..
  3. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Tuanze na wewe mkuu...Kwan huja safiri Usiku? [emoji1787]
  4. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu hivi betpawa amesha tulia..?? Umaweza kutoa pesa mama zamani..!?? Maana hapo katikati kulikua na malalamiko kibao kwamba watu hawaoni pesa pesa zao pindi watoapo..
  5. M

    Kumbukumbu: Night shift Bulyanhulu, siku niliyotamani kuuaga umasikini

    Hii story haikua na mwendelezo...kwanini mtoa mada...!??
  6. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wa nyumbani ashinde au magoli yaanzie matatu
  7. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kuna wakala mmoja amesema tungoje kwanza Hadi watakapo leta na option ya withdraw.. tuwe wapole kwanza
  8. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hiv kumbe hockey inachezwa vipindi viwili...mbona option ya win ether half haipo..??
  9. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nasikia sasahiv unaweza kuweka mwenyewe pesa bila kutumia ma wakala
  10. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu ukisha tengeneza mkeka mmoja jaribu kua una ugawa mara mbili...utanushukuru baadae...
  11. M

    Hudumia Mwanamke unayeishi naye. Acha kiherehere utakuja kulizwa kibwege

    Tatizo wanaume wenzetu wanatugeuka...wewe unaweza kusema usimhudumie anatokea mwigine kusiko julikana ana hudumia...
  12. M

    85% ya Wauza iPhone hawawezi kukwambia siri hii

    Mkuu hata uwe na simu ya gharama ya Mili 2+ kama sio iphone bado utaonekana wa kawaida...lakin ukimili hata iphone 11 unaonekana mjanja...[emoji23]
  13. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu itapendeza zaid wewe mwenyewe mwenye wazo ndo uandae...nafikir itapendeza
  14. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ukifika kwa muhudumu mwambie akupatie zana kolibali
Back
Top Bottom