Search results

  1. GoldDhahabu

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    Ni kweli!
  2. GoldDhahabu

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    Nimekupata mkuu! Nahisi nimeelewa ulichomaanisha.
  3. GoldDhahabu

    Nini cha kufanya na kutofanya tetemeko likipita?

    Na bado watu wanaendelea na maisha kama kawaida! Ni Japan?
  4. GoldDhahabu

    Kwa nini Nyerere aliukataa Utanganyika akaruhusu Uzanzibar?

    Alilitengeneza pia Taifa la watu waoga.
  5. GoldDhahabu

    Tunapata fundisho gani Kwa Trump, Rais wa zamani wa America, kukutwa na hatia Kwa makosa ya jinai?

    Nashukuru kunitia moyo kwamba mimi si mjinga kiviile🙏
  6. GoldDhahabu

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    😀😀😀
  7. GoldDhahabu

    Nini cha kufanya na kutofanya tetemeko likipita?

    Matetemke hayazoeleki mkuu!
  8. GoldDhahabu

    Tunapata fundisho gani Kwa Trump, Rais wa zamani wa America, kukutwa na hatia Kwa makosa ya jinai?

    😀😀😀 Kwa hiyo ungekuwa mtihani ndiyo ningekuwa nimeshafeli🥺 Shukran mkuu🙏
  9. GoldDhahabu

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    Hapana! Hapana! Hapana mkuu! Mimi ni shuhuda wa hilo, sema tu kwa sababu fulani sitaki kuweka hadharani kwa sasa. Wanawake wana upendo mwingi sana! Ukijua kuishi nao na ukawapa nafasi wanazostahili hawatakuangusha.
  10. GoldDhahabu

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    Kwa hapo napingana na wewe mkuu! Kuna mwanamke na mwanaume anayewajali sana wazazi wake wa damu lakini hayupo tayari kumsaidia hata Panadol mkwe wake mgonjwa.
  11. GoldDhahabu

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    🙏🙏🙏
  12. GoldDhahabu

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    🙏🙏🙏
  13. GoldDhahabu

    Kibiti mpaka laana ya Cabo Delgado: Part II

    Nafikiri hajamwelewa mtoa mada. Mimi sijaona kama uzi una mrengo wa kidini.
  14. GoldDhahabu

    Kibiti mpaka laana ya Cabo Delgado: Part II

    Funguka zaidi mkuu! Hii ni nchi yetu sote. Tuna haki ya kufahamu kila kitu! Unaweza kutueleza zaidi?
  15. GoldDhahabu

    Wanaokukataa ni kwa sababu hawajui thamani yako

    Hupaswi kumlazimisha mtu akuone wa thamani, lakini ni kosa kubwa sana kutokujithamini! Imeandikwa, "Mpende jirani yako kama nafsi yako". Kutokujipenda ni kosa. Ukijithamini, na wengine watakuthamini. Na hata wasipokuthamini itakupungizia nini ikiwa unajithamini? Kijana mmoja, Yusufu, aliuziwa...
  16. GoldDhahabu

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    Hayo ni kweli Murah? Mbwa walikuwa na kazi gani pande za Tarime? Wanatumiwa kuwinda?
  17. GoldDhahabu

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    Mkuu, mbona umembagua mwanamke? Hata mama yako ni mwanamke, unajua! Wanawake wana uwezo mkubwa sana wa kuonesha upendo, wakiamua lakini.
  18. GoldDhahabu

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    Asante sana. Ujumbe umefika.
  19. GoldDhahabu

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    Safi sana. Keep it up!
Back
Top Bottom