Search results

  1. Ms R

    Vijana tulio 'Mahandsome' tunapata “favor” maeneo mengi sana

    nyie wenye hela naskia mna magonjwa yenu ya kitajiri😌,,kansa, pressure, kisukari.......
  2. Ms R

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    🤝🏾 Senkyuu
  3. Ms R

    Sina kazi nashinda na simu muda wote

    tuko pamoja
  4. Ms R

    Vijana tulio 'Mahandsome' tunapata “favor” maeneo mengi sana

    mashangazi wa saivi magonjwa kibao mnakufa mapema,,mnaacha wagane bado wadogo sana.
  5. Ms R

    DOKEZO Mtoto wa Miaka 10 ameajiriwa kazi za nyumbani Kimara Stop Over, ananyanyaswa sana, Waziri Gwajima msaada wako unahitajika

    duuuh,,apo kingine tunaweza sema tumtoe pale yule mtoto kumbe mazingira aliyotoka ndo magumu zaidi ya hayo kwa mama Nancy,coz miaka 10 ni mdogo sana jamani,lazima kuna mengi nyuma ya pazia,,sawa atatolewa pale je anaweza pata msaada wa kudumu !?
  6. Ms R

    DOKEZO Mtoto wa Miaka 10 ameajiriwa kazi za nyumbani Kimara Stop Over, ananyanyaswa sana, Waziri Gwajima msaada wako unahitajika

    yani uyo mama nitamchukua awe house girl wangu kisha nimnyanyase kama uyo mtoto
  7. Ms R

    Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)

    wadogo tupo shule mkuu,, huogopi sheria!?
  8. Ms R

    DOKEZO Mtoto wa Miaka 10 ameajiriwa kazi za nyumbani Kimara Stop Over, ananyanyaswa sana, Waziri Gwajima msaada wako unahitajika

    apo wanachukulia simple sababu ni mtoto sijui wanaona kama ni kakitu kadogo hakapaswi kuhangaikiwa na uongozi wa juu,,,,ila wangejua ....... inauma sana aseee.
  9. Ms R

    Hata mbwa anamjali anayemjali

    acha niwajali wazazi wangu.
  10. Ms R

    DOKEZO Mtoto wa Miaka 10 ameajiriwa kazi za nyumbani Kimara Stop Over, ananyanyaswa sana, Waziri Gwajima msaada wako unahitajika

    ivi unawezaje kunyanyasa innocent creature jamaniiiii😥😥😥na vile hua vinaangalia kwa huruma unapo kiadhibu loooh 🙌🏾
  11. Ms R

    Msaada: Nina changamoto ya nguvu za kiume

    funguo zimepotea
  12. Ms R

    Msaada: Nina changamoto ya nguvu za kiume

    Basi🖐🏾🏃🏾‍♀️
  13. Ms R

    Vijana tulio 'Mahandsome' tunapata “favor” maeneo mengi sana

    mbona ata simfaham jamaniiiii
  14. Ms R

    Msaada: Nina changamoto ya nguvu za kiume

    Jichunguze then nijuze
Back
Top Bottom