Search results

  1. M

    Duru za Uchaguzi Afrika Kusini. Umokhonto We Sizwe

    24 Mei 2023 Afrika Kusini inaelekea katika majira ya baridi kali huku kukiwa na matarajio ya kukatika kwa umeme kwa kiwango kikubwa kuwahi kutokea hadi saa 16 kwa siku. Chanzo cha tatizo hilo ni usimamizi mbovu, rushwa na hujuma. Alhamis moja alasiri, Novemba mwaka jana, mkandarasi wa...
  2. M

    Duru za Uchaguzi Afrika Kusini. Umokhonto We Sizwe

    Kuna hujuma zilizofanywa kuna kifaa kiliibwa mahali ndiyo kuleta shida ya umeme Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  3. M

    Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

    Wazungu ni watu mimi ningekuwa kiongozi rais ningepeleka ugaidi nyumbani kwao Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  4. M

    Bangi haina madhara yoyote kama tunavyoaminishwa, iruhusiwe

    Nashauri pia kuwe na elimu ya matumizi ya bangi Jitu linatumia bangi asubuhi mchana na jioni kama ugali na wengine hutumia zaidi ya hapo Kwa namna hiyo lazima tu bangi itakuwa na madhara kwako yani muonekano tu watu wanajua wewe ni mvuta bangi Vuta bangi angalau mara moja kwa wiki
  5. M

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Upuuzi upuuzi tu Unaongelea vipi askari wa kike kuvaa suruali? Unaongelea vipi vipindi vitano vya swala kwa siku je vinafuatwa huko mafunzoni? Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  6. M

    Kubali ukatae, Makonda ndio Rais ajae Tanzania baada ya Samia

    Magufuli nae alikuwa ni dhaifu sana ambapo hilo ni tatizo Udhaifu wa Magufuli upo katika kutotaka kukosolewa udhaifu huo umemgharimu pakubwa Angeacha watu wajisemee wanavyotaka na apige kazi lakini awe na wajibu hoja zitakazoibuliwa Ingewezekana kufufuka leo bado hafai kuwa rais kwa upande...
  7. M

    Kubali ukatae, Makonda ndio Rais ajae Tanzania baada ya Samia

    Makonda akiwa rais nitahama nchi nitaidharau sana Tanzania Makonda ni shujaa kwa watu wenye akili nyepesi tu Kiuhalisia Makonda ni dhaifu sana Namna alivyokuwa mkuu wa mkoa wa dar es salaam alikupendezeni? Kumbuka kwamba hakuwa rais na alikuwa vile je akiwa rais? Kuna watu watapigwa risasi...
  8. M

    Video Clip: Jerry Silaa adai kuna Jaji anamlinda tapeli wa viwanja

    Ukiwa na akili ndogo alafu watu waongee mambo yaliyozidi uwezo wa akili yako lazima uone kuwa ni mambo ya kutisha sasa ni busara kukaa kimya kuficha ujinga Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  9. M

    Trump aahidi kuwatimua waandamanaji, kuwarudisha kwao

    Trump ni wazimu na mnaomsupport pia Unapokuwa nchi yoyote ile ni lazima uishi sheria za hiyo nchi Jambo ambalo ni halali nchini kwako linaweza lisiwe halali katika nchi uliyopo Kwa hiyo ukilifanya utakuwa umevunja sheria na utashtakiwa Je hao wahamiaji wamevunja sheria za Marekani kwa hicho...
  10. M

    Taja jina la nchi isiyokuwa na Herufi "A"

    Rwanda Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  11. M

    Video Clip: Jerry Silaa adai kuna Jaji anamlinda tapeli wa viwanja

    Huyo silaha akili hana povu linamtoka tu hapo hana maajabu yoyote Kazi ya afisa ardhi wa kata anaifanya waziri Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  12. M

    Mfumo wa BRELA ni mbovu, Mnachochea uhujumu uchumi

    Basi mtoa mada anaposema Brela kuna shida yuko sahihi sana kwasababu wale Brela wanahudumia jamii yenye watu kaliba zote wasomi na wasiosoma Kwahiyo wanapopata mteja asiyeweza kujieleza vizuri ni jukumu lao wao watoa huduma kufahamu hoja yake na kuifanyia kazi na siyo kudeal na madhaifu ya mteja...
  13. M

    Kesi za ulawiti hasa kwa watoto wadogo zimekithiri sana. Hatua gani kali zifanyike? Kwanini sheria imepooza katika hili?

    Ndiyo na siyo tu hizo baikoko hata mpaka waalimu wanawezeshwa kuwaharibu watoto Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  14. M

    Kesi za ulawiti hasa kwa watoto wadogo zimekithiri sana. Hatua gani kali zifanyike? Kwanini sheria imepooza katika hili?

    Mashirika yenye ufadhili mkubwa yako kazini kueneza ushoga kwa nguvu na serikali yako inajua na imeridhika hata usiumize kichwa kwa hilo hayo mambo siyo bahati mbaya wala tusilaumu watu wetu tuilaumu serikali Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  15. M

    Mfumo wa BRELA ni mbovu, Mnachochea uhujumu uchumi

    Inawezekana na wewe ni msomi mnaojivunia usomi nchi hii Swali kwako msomi Inabidi mtu asome mpaka wapi ili aweze kuanzisha kampuni? Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  16. M

    Zelensky: Hakuna nchi inayoweza kustahimili vita na Urusi peke yake

    Awe makini tu Putin asije kumpatia yeye hicho anachoongelea yani kuuweka usalama wa maisha yake mashakani Huyu ni mjinga na kwa ujinga wake anataka kuishirikisha dunia iingie gharama Akubaliane na Putin maisha yaendelee aache udwanzi Kama hawa watu/washirika wa ukraine wangekuwa na akili...
  17. M

    Zalisha funza, ni bonge la dili hapa mjini

    Sasa kuna wadudu fulani weusi wako kama inzi lakini wao ni wakubwa nafikiri wanawaita inzi chuma sijui au black fly soulders hao wanatajwa kuwa na uwezo wa kuzalisha funza wengi sana kwa siku moja kuna jinsi ya kutengeneza namna ya kuwavutia ili waje kwenye taka ulizoandaa Sent from my TECNO...
  18. M

    Itungwe sheria inayotoa adhabu dhidi ya wanaomtukana Rais

    Nimewaza kama wewe mkuu Huyo hata uchawi hakosi, hakosi kuwa na tunguri huyo Hapo kwenye dhamiri yake anajua kabisa siyo sahihi Jitahidi kuwa angalau kama akina mzee ulimwengu wale peponi wana viti vyao vinawasubiri tu Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  19. M

    Mitungi Empty ya GAS 300 inauzwa Kampuni Mihan/Taifa

    Hiyo unayouza hujasema kama ni kg6 au kg15 Lakini nashindwa kuelewa kwa sababu hiyo bei pia sioni kama inaingia kwenye kg6 au kg15 Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  20. M

    Tusipowakemea hawa wabunge wanaobeza elimu yetu na wasomi wetu, tutazalisha Taifa la hovyo kabisa

    Huyo Mwigulu ambaye ni moja kati ya wasomi sana nchi hii analalamika bila aibu kabisa kwa kujiamini eti kwamba watu wanakusanya kodi mabilioni ya fedha za serikali na kukaa nazo mpaka miaka mitatu bila kuzipeleka serikalini Ukimsikiliza vizuri unamuona kama haelewi hata anaongea nini na akili...
Back
Top Bottom