Search results

  1. PakiJinja

    Tabia za mabinti wa kinyiramba wa kizazi hiki cha 2000

    Wewe oa, ukijikwaa anguka, ukiinuka utajua cha kufanya. Maadam umempenda wewe oa, akizungua utageuzwa somo tu, masela watajifunzia kwako
  2. PakiJinja

    Bahati haijirudii mara mbili, TID huu ndo muda wako

    Ina maana wasio na akili nyingi wala vipaji wenyewe wasipopata proper treatment wenyewe ‘shega’ tu huwa hawakabiliwi na hatari ya kuharibikiwa au?
  3. PakiJinja

    Napinga Uteuzi wa Kagurumujuli kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza, hana Sifa

    Nimeshangaa kuona hiyo quote niliyoijibu, nikashangaa na jibu nililotoa, maana haviendani kabisa, labda ingekuwa ni kweli sijui uhusika wa Mkurugenzi na mamlaka aliyo nayo. Sijui ni nini kilitokea nikajibu hivyo, ningekuwa nakunywa ningesema labda nililewa. Labda nilikua na type huku nikiangalia...
  4. PakiJinja

    Mwenezi akiwa Makonda, Chadema na Lissu walipoteana, Masikio ya Watanzania yalielekezwa Kwa Makonda, kwasasa Lissu anajipigia tu

    Kama unaweza ukawa na akili za kumuona Makonda ni mtu wa maana kwako, basi kwa Tundu Lissu itakuwa umevutwa na upepo tu.
  5. PakiJinja

    Lissu anapotosha watu

    Sasa wewe ndiye umepotoshwa na wenzako halafu ukaenda kichwakichwa kutaka upingane na Lissu. Wewe umetoshwa kiai kwamba ingependeza kama ungeitwa MPOTO kwa jindi ulivyo POTOKA.
  6. PakiJinja

    Afande Sele awachana CHADEMA

    Kwani ungeandika “CHADEMA wachanwa na muathirika wa bangi” ungepungukiwa nini?
  7. PakiJinja

    Wakati unakua, nini kwenu mlikuwa mnatoaga nje asubuhi na kukirudisha ndani jioni muda wa kufunga mlango kabla ya kulala?

    Godoro, ilikua lazima usiku liloane halafu asubuhi linatolewa nje kuanikwa, jioni ndiyo linaingizwa ndani. Kama kweli hujipendi, jaribu kuniamini ujione ulivyo fala.
  8. PakiJinja

    Mahakama yakubali ombi la DPP kuondoa rufaa dhidi ya Sabaya, sasa yupo huru na hana rekodi ya uhalifu

    Serikali ya Utakatishaji. Hicho ndicho kitu serikali ya CCM inaweza kukifanya. Kutakatishana mpaka kutakata. Peoples Laundering.
  9. PakiJinja

    Hivi zile challenge kule TikTok huwa ni kweli?

    Huwa nasikia anatupia sana videos zake za challenge kule
  10. PakiJinja

    Raha ya tendo la ndoa wote mfurahie si, kukaa kama gogo kitandani

    W Unataka kila mtu afurahie apendacho au unataka ufurahishwe kwa yete kujufanyia upendacho? What if yeye anafurahia kulala kama gogo?
  11. PakiJinja

    Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Chadema ni paka na panya

    Huo mgigoro unauona peke yako? Wenzenu wanaonyesha ukomavu. Mara ya mwisho CCM kufanya uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti unakumbuka ilikuwa lini?
  12. PakiJinja

    Tetesi: Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa kusimamiwa na Waangalizi kutoka Vyama Vya Demokrasia Duniani

    Mbowe aliahdi kustaafu ifikapo 2023, ngoja niemdelee kusubiri huenda atatangaza kustaafu
  13. PakiJinja

    Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Chadema ni paka na panya

    Sasa wewe hicho kinakuuma nini? Nendeni mkaandike habari za wadudu
  14. PakiJinja

    Kwanini Mzanzibar Shaka Hamdu Shaka ni Mkuu wa Wilaya bara, na Zanzibar hakuna Mtanganyika anayeongoza?

    Technically, Zanzibar inaweza ikaamua leo kucheza deal na Oman, Iman ikaandaa Mkataba ikijifanya ndiyo ile nchi nyingine iliyoingia Mkataba na Zanzibar kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mkataba huo ukakubalika katika UN. Maana Tanganyika hawainekani, wala hawana Mkataba wowote ule...
  15. PakiJinja

    Kwanini Mzanzibar Shaka Hamdu Shaka ni Mkuu wa Wilaya bara, na Zanzibar hakuna Mtanganyika anayeongoza?

    Katiba ya Zanzibari ni ya Kimchongo sana. Katiba ya Zanzibar inasema zanzibar ni kati ya nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lakini hiyo nchi nyingine haipo.
  16. PakiJinja

    Kibu analeta sanaa ya mpira kama walifanya wakina Fei na Dube, Simba wajiandae kwa lolote

    Kwani ninyi mlimsajiri kwa ajili ya kufunga au kujituma? Si mlisajiri kwa ajili ya kujituma na akawa anajituma? Shida ipo wapi?
Back
Top Bottom