Search results

  1. Tsh

    Che Malone: Tatizo la Simba ni timu kwa ujumla sio mtu mmoja

    Boss ukweli haubatilishi nafasi yake ya mchezaji wa kulipwa na kumpa cheo kipya cha msemaji.
  2. Tsh

    Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

    Pia hukatazwi kutokuamini ila ukianza kutaka wengine wasiamini kama wewe usije na porojo njoo na majibu ya mbadala wa MUNGU.
  3. Tsh

    Msaada: Nilisimamishwa kazini na kuambiwa nitaitwa, zimepita siku 6 na sijui hatma yangu

    Inategemea ni wapi. Kama ni mbeba box kiwanda cha mhindi anaweza sahaulika kama alikuwepo.
  4. Tsh

    Msaada: Nilisimamishwa kazini na kuambiwa nitaitwa, zimepita siku 6 na sijui hatma yangu

    Subiri uone kama mshahara utaingia, usipoingia jiongeze, ukiingia subiri maelekezo.
  5. Tsh

    Antony Mtaka: Hawa Ma DC Wanafanya Ziara za Kutatua Kero za Wananchi Kijiji Kwa Kijiji,Hawana TV tuu.

    Uzuri wa haya matukio raia ndo huamua ipi sukari na ipi chumvi. Kama Makonda hana impact wataamua tu. Halafu mimi sikujua kuwa hii nchi zikiwepo camera ndani ya DK 5 unaweza pewa haki yako iliyokwama kwa miaka kadhaa. Dk 5, yaani bila camera umezunguka mahakamani, vikao na madiwani, barua kwa...
  6. Tsh

    Video: Maiti yapambana na wanakijiji ikiwa ndani ya Jeneza ikigoma kuzikwa

    Mleta mada anaitwa melki wamatukio. Hili ni tukio lake.
  7. Tsh

    Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

    MUNGU ni suala la kiimani. Najua kuna mambo ya MUNGU sababu nimechagua kuamini hivyo. Mawazo yakiwa yangu hayafosiwi kuwa yako. Umezungumza uongo. Uumbaji. Pia sioni tatizo ukiyatambua maisha kwa mfumo huu. Nina rafiki anayeamini kuwa ukijumlisha kila kitu ulimwenguni ukakiweka kwenye umbo...
  8. Tsh

    Wabongo kwa kujiita C.E.O mitandaoni utafikiri hata wanajua maana na kirefu cha herufi hizi. Sio mbaya kujiinua ila huu ni ulimbukeni.

    Kabisa mkuu, udeal na TRA, Halmashauri na matawi yake, na ulipie fremu bado na wewe ubakiwe na ya kula halafu usiwe CEO?
  9. Tsh

    Wabongo kwa kujiita C.E.O mitandaoni utafikiri hata wanajua maana na kirefu cha herufi hizi. Sio mbaya kujiinua ila huu ni ulimbukeni.

    Ma CEO hao. Vikao anavyokaa na bodi ya ubongo wake mpaka anamiliki hilo duka si vya kitoto.
  10. Tsh

    Wabongo kwa kujiita C.E.O mitandaoni utafikiri hata wanajua maana na kirefu cha herufi hizi. Sio mbaya kujiinua ila huu ni ulimbukeni.

    Hakuna namna, kama humlipi mshahara atabaki kuwa CEO tu. Hakuna namna nyingine zaidi ya kukubali kuwa yule mama ntilie ni CEO wa mgahawa wake na mwenyekiti wa bodi ya tasisi ya kichwa chake.
  11. Tsh

    Tamaa za mali mpaka kupelekea mauwaji ya mtalaka wake

    Ooh, sasa hili ni tatizo la kutoridhika au tatizo la akili?
  12. Tsh

    Tamaa za mali mpaka kupelekea mauwaji ya mtalaka wake

    Ok, nimesoma boss. Nipe hoja maana mpaka umeniita lazima kuna jambo tulilijadili. Sasa mada ni nyingi, hoja yako ni nini?
  13. Tsh

    Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

    Kwanini amzuie na amdhibiti? Kwani ni kazi ya MUNGU kuzuia ufisadi? Wizi? Si mambo ya binadamu hayo? Sasa tatizo lipo wapi? Unataka kuishi milele kwa raha ndo uuone ukuu wa MUNGU? Ukuu wa MUNGU unapimwa kwa mfumo perfect kwa viumbe wote si mfumo perfect kwa mwanadamu, Kama binadamu ni sehemu ya...
  14. Tsh

    Tamaa za mali mpaka kupelekea mauwaji ya mtalaka wake

    Kuna nini mkuu?
  15. Tsh

    Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

    Kwanini unampa hili jukumu MUNGU? Binadamu anazaliwa akiwa mwema, tunawaita malaika, anapokomaa anauchagua uovu ilihali anaweza kuuchagua wema, kwanini hii lawama apewe MUNGU? Hivi unajua kuna viumbe ili viishi sharti ipite dhoruba? Tatizo binadamu tunataka ulimwengu uwe sehemu ya binadamu na...
  16. Tsh

    Kwa budget ya 17m napata gari gani kutoka Japan

    Ingia befoward, Sbt japan n.k angalia gari za bajeti yako na gharama mpaka kufika bandari husika, ingia TRA car calc ingiza taarifa za gari itakupa ushuru utapata picha halfu njoo sasa uulize kuhusu gharama za ziada nje ya hizo rasmi zinazoweza kujitokeza kwa gari husika. Jitahidi kutotafuniwa...
  17. Tsh

    Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

    Kwanini shetani anatakiwa kuuwawa boss? Binafsi naona uwepo wa shetani ni mpango wa MUNGU tena aliujua wakati wa uumbaji na akauruhusu.
  18. Tsh

    Hivi Mungu amemshindwa shetani kabisa? Basi shetani tumpe maua yake

    MUNGU kaumba dunia tupu, akumba mfumo wa kuyawezesha maisha kuwepo. Uovu ni wa binadamu. Dunia lazima ifanye kazi kwa mfumo. Umetengeneza gari, ili litembee si ni lazima vyuma visagane? Freewill tunayo sababu baada ya kuzaliwa nature ilitupa akili ya namna ya kukabiliana na majanga. Baharini...
Back
Top Bottom