Search results

  1. Scaramanga

    Leo nimepita Daraja la Wami ghafla nikabubujikwa na machozi kumkumbuka Hayati Magufuli

    Uongozi ni changamoto mno na mara nyingi unapotoka kwenye nafasi ndipo mambo yako mazuri ama mabaya yanaonekana na kusemwa. John Pombe Joseph Magufuli katika uongozi wake pamoja na mapungufu yake ya kibinadamu alithubutu kutaka kutufikisha mahali. Nikiri kusema hakupenda kuona jambo linakwama...
  2. Scaramanga

    Ushauri: Waziri Mwigulu Nchemba ni liability kwa Uchumi wetu!

    ukiona mtu anajikita kutaja udini au ukabila jua kafilisika kichwani akapimwe. Hapa tujadili hoja juu ya hoja mjadala mzuri kama huu tusilete ujinga maana ni mambo yanayohusu maisha yetu tuna biashara tunafanya sasa badala ya kujadili mambo ya msingi jitu linakuja na ukabila. kama huna hoja...
  3. Scaramanga

    TRA mfumo wa kufuatilia utendaji wa EFD ni hatua sizizo na tija zaidi ya kutengeneza mwanya wa rushwa

    mzee acha janja janja wewe toa risiti wacha wafatilie mimi sioni shida kama unatoa ngoma kama hutoi. mimi tra wafatilie tu si mara ya kwanza huwa wananifatilia kila wakija kwangu wanakuta natoa naona wameamua acha kwani wamejua hawanipati ng'o sitaki kuwapa nafasi ya adhabu mimi nikiuza tu natoa...
  4. Scaramanga

    Ushauri: Waziri Mwigulu Nchemba ni liability kwa Uchumi wetu!

    Ngoja nikitulia niisikilize tena shukran
  5. Scaramanga

    Ushauri: Waziri Mwigulu Nchemba ni liability kwa Uchumi wetu!

    mimi simtetei mtu humu ila sidhani kama ni sawa kusema kabila flan maana ni ubaguzi. Ukishasema wachaga kesho utasema wasukuma kesho utasema wazanzibar, utakuja sema wahaya
  6. Scaramanga

    Rais Samia na Dkt. Mwigulu Nchemba, hili wanalolifanya TRA huenda likaigharimu CCM 2025

    aliyeanza kuandika kijambo ndiyo kimavi mavi kama wewe uliyeingia kujibu
  7. Scaramanga

    Ushauri: Waziri Mwigulu Nchemba ni liability kwa Uchumi wetu!

    Naomba nikuulize kitu ndugu , wewe ni mwenyekiti wa kamati ya harusi umeteua wanakamati mmoja wapo kachukua kadi za mchango na umejua kabisa kadi alizochukua zimepata kuchangiwa. Ila mwanakamati huyo hataki leta hiyo pesa ukizingatia budget bado inapwaya utamtizama tu huyo mwanakamati au ni...
  8. Scaramanga

    Kwanini matuta ya barabarani yanawekwa hata upande wa mwinuko?

    matuta kwa sasa yamekuwa ni kero siyo nia hasa kudhibiti mwendo ni kuharibu magari tu. fikiria Morogoro pale karibu na Chuo cha kiislamu wameweka matuta 6 yale ya rasta mpaka unajiuliza ya nini kama dereva mgeni usiku unaweza mawili kuharibu gari au sababisha gari ya nyuma yako kukusukuma. Hivi...
  9. Scaramanga

    KERO TRA wananitumia meseji nikafanyiwe makadirio wakati hatukufikia makubaliano

    unaweza kuwa unawalaumu tra bure kumbe hata wewe kuna shida mahali umekosea.Baada ya kuwa uliomba tin ya biashara na kufika ofisini kwao ulitakiwa kuandika barua kuwa umesimamisha biashara maana tayari ulishaanza kuonekana unabishara sasa kosa lako ulikaa kimya na tayari ulishakuwa na tin ya...
  10. Scaramanga

    Kwanini mifumo haisomani?

    Kwenye makadirio mimi binafsi sijawahi sikia kuulizwa swala la NIDA sababu tayari nina TIN labda kama hukuwa na TIN na inatakiwa namba tu ya NIDA ujisajili mwenyewe. Hakuna kuulizwa NIDA kwenye ukadiriwaji. Pili sijawahi sikia kampuni unaenda TRA kukadiriwa maana kampuni zinajikadiria ndiyo...
  11. Scaramanga

    Rais Samia na Dkt. Mwigulu Nchemba, hili wanalolifanya TRA huenda likaigharimu CCM 2025

    Acha kupotosha wewe unaelewa maana ya VAT? hapo ndipo unapoonekana zuzu maana maandishi yako umeishia kujamba inaonekana jamba jamba wewe.
  12. Scaramanga

    Lengo la Makonda kuvaa koti linalofanana na Jeshi ni lipi hasa?

    Labda kwanza unatakiwa ufahamu yeye ni Mkuu wa Mkoa ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya Usalama ya Mkoa..
  13. Scaramanga

    KERO Nimejileta mwenyewe TRA kulipa kodi ila vikwazo ni vingi sana!

    unajua tumeumbwa na kukuzwa katika mazingira tofauti sana. Kuna watu huwezi kuamini kama ni wafanyakazi wa tra na kuna watu unaweza pia fikiria wapo tra. mimi mara nyingi napata msaada tu ndiyo maana hata ndugu yetu hapa niliomba niweze msaidia kuwafikishia naowafahamu.kuna baadhi wapo na shida...
  14. Scaramanga

    Manager wa TRA Handeni mjini ni tatizo

    mimi nishauri tu ama unastahili kutoa risiti wewe toa tu halafu tuone kama watakuja na sababu nyingine kuliko kutukutoa maana nao wanafata sheria na wasipofanya hivo nadhani kuna sehemu wanapimwa kama sikosei CAG.
  15. Scaramanga

    KERO Nimejileta mwenyewe TRA kulipa kodi ila vikwazo ni vingi sana!

    asante ndugu yangu sote ni watanzania tukisaidiana hivi maana sijui lini na wapi nawe unaweza niasaidia nimefurahi kuona mwenzangu umefanikiwa karibu sana
  16. Scaramanga

    KERO Nimejileta mwenyewe TRA kulipa kodi ila vikwazo ni vingi sana!

    Mwananchi mwenzangu pole nimecheki na jirani yangu huyo baada ya kunitumia taarifa zako nikampa ameniambia tayari na amesikitika sana na yaliyokukuta nikamuomba afatilie maana kasema hategemi wao kama tra watoe huduma mbovu sababu matarajio na miongozo yao ni huduma bora zenye weledi na uadilifu
  17. Scaramanga

    SoC04 Mfumo utakaoboresha ukusanywaji wa kodi na nchini (Tanzania)

    Nadhani tungekuwa na tamaduni kama za wenzetu kupewa risiti kabla hata ya kudai tungefika mbali sana. Sasa hapa kwetu shida mtoa risiti hataki kutoa kwa madai eti akupunguzie bei na ukisema hapana wakati mwingine hata hiyo bidhaa utaambiwa rudisha. Imenikuta kariakoo mpaka nikajiuliza je mimi...
  18. Scaramanga

    KERO Nimejileta mwenyewe TRA kulipa kodi ila vikwazo ni vingi sana!

    siyo wewe ni mwananchi mwezetu aliyekubali toa 20,000 pole hukunielewa ndugu. nia yangu nikusaidie ili hao wanaotukwamisha viongozi wao wawajue ndiyo maana niliomba unipe namba nimpe jirani yangu ni kiongozi huko
  19. Scaramanga

    KERO Nimejileta mwenyewe TRA kulipa kodi ila vikwazo ni vingi sana!

    Mimi nashangaa kwa nini mnatoa rushwa na mnaogopa kusaidiwa. Nilitaka nikusaidie kwa kuona mwananchi mwenzangu wamekuzengua ila umekuwa mkimya haya mimi ngoja nipambane na mahesabu yangu ya siku nivute foleni ipungue
  20. Scaramanga

    KERO Nimejileta mwenyewe TRA kulipa kodi ila vikwazo ni vingi sana!

    ndg hebu tupia namba mimi nina mtu kiongozi namfahamu ni jirani yangu akusaidie
Back
Top Bottom