Search results

  1. Stoneboy

    Napenda wanawake wafupi wenye miili midogo wapewe maua yao

    Mquu sio kweli , andunje hajawahi kua na soko
  2. Stoneboy

    Privaldinho: Simba day bila taji lolote ni Zindiko

    Kwahiyo maandalizi ya msimu mpya yanahusiana nini na kombe? Basi hata ndoa zifanyike zikiwa na watoto tayari
  3. Stoneboy

    Ni story gani au mada gani uliikuta kwenye chombo cha usafiri ukaishia kucheka?

    Kuna siku nilikua natoka mbagala zakiem naelekea chamazi ndio ilikua safari yangu ya kwanza kutembelea maeneo hayo. Sasa Kuna kituo kinaitwa bamia wenyeji mtakua mnakifahamu, tulipofika maeneo hayo kwa sauti kubwa nilimsikia konda wale wa kibamia wajiandae daah! Nilishindwa hata kununa ilibidi...
  4. Stoneboy

    Basi kampuni ya BM imepata ajali

    Kuna majeruhi?
  5. Stoneboy

    Mchepuko Umeniponza

    Kafanya hivyo kwa sababu anakupenda kili kosa na usirudie huo upuuzi acha tulia na mumeo
  6. Stoneboy

    Miongoni mwa vitu vichache vinavyoongeza stress hivi hapa

    Kuwa na ndugu kwenye furaha , kwenye tatizo unasimama peke yako.
  7. Stoneboy

    Napinga Tulia Ackson kuwa Mgeni Rasmi kwenye mechi ya Simba na Wydad Cassablanca

    Una bifu zako binafsi kwa upande wangu sikuungi mkono , mgeni hua hana mbwembwe nyingi anatulia anasikiliza wenyeji
  8. Stoneboy

    Uzi wa kusema ukweli

    Ukweli ni kwamba simba leo hatushindi
  9. Stoneboy

    UZUSHI Matiti ya mwanamke hudondoka yanapoguswa guswa na viganja vya wanaume

    Ni kweli mkuu hata mimi naunga hoja kushikwa sio sababu matiti hukua kutokana na maumbile ya mwanamke , mbona wapo wanaoshikwa na wamechezea dyudyu mpaka basi lkn kifuani bado dede? Ukiwasikiliza wao watakuambia kwamba kukua kwa matiti inatokana na maumbile na hata ukoo pia maana wapo hadi...
  10. Stoneboy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  11. Stoneboy

    Wamekata umeme huku UEFA iko moto

    Wapi huko , mbona hapa makao makuu tunaenjoy hadi na balansi yake
  12. Stoneboy

    Tujuzane kuhusu mitandao ya simu nchini

    Airtel sina hamu nao line nishavunja kitambo sana, maana ilifikia hatua naunga bando nikiwasha tu data napokea ujumbe umebakiza asilimia 75. Baada ya hapo huna chako
  13. Stoneboy

    Ni nani waliongeza cha juu kwenye manunuzi ya ndege ya mizigo?

    Ndio maana hata mfumo wa ajira wanapeana wao kwa wao, kizazi kipya hakuna.
  14. Stoneboy

    Calisah "amvua nguo" mrembo, amchana kweupe

    Umemaliza kifungo cocastic Ur welcome again
  15. Stoneboy

    Simba ikikaribia kupata mgao wa CAF lazima Mohamed Dewji aibuke

    Atuachie timu yetu kwani yeye kafanya mangapi kupitia simba katangaza biashara kibao kupitia simba. Kama hapati faida wakae chini na viongozi hatutaki mapenzi yake na timu ndio iwe fimbo kwetu.
  16. Stoneboy

    Hizi mila zingine sio nzuri.......

    Aaaaah wapi, sio qel
  17. Stoneboy

    Kumbe unaweza ukaitwa timu ya taifa ila ukawa unatumika kama Comedian

    Kwaiyo sitazi yetu nani pale kasimama kama comedian, tusanuane wakuu
  18. Stoneboy

    Mo Dewji: Nimetoa 1.5b za usajili lakini haziendani na wachezaji waliosajiliwa

    Kwahiyo kama kaona panavuja asiseme
Back
Top Bottom