Search results

  1. Forgotten

    Rasmi serikali yaruhusu na kuzindua matumizi ya magari ya umeme Tanzania

    Kama kweli wana nia ya kuona Watanzania wakitumia nishati salama wafanye kama Mauritius: kuingiza magari ya umeme iwe 100% duty-free kwa muda wa mwaka. Waone jinsi magari ya umeme yatakavyomiminika pamoja na vituo vya kuchajia.
  2. Forgotten

    Kwa budget ya 17m napata gari gani kutoka Japan

    SUV itakuwa chaguo zuri ila kwa hiyo budget sijui kama inatosha kupata SUV nzuri. Hatchback nayo inafaa.
  3. Forgotten

    Kwa budget ya 17m napata gari gani kutoka Japan

    Habari wana-JF kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, ningependa kujua ni gari gani ya kuagiza kutoka Japan inaweza kupatikana kwa 17m baada ya kodi. Yaani mpaka inafika mkononi icheze kwenye 17 na ikizidi sana basi 18m. Ni gari kwa ajili ya familia na mizunguko ya hapa na pale tu mjini.
  4. Forgotten

    Taratibu zipi nifuate kama nimeuziwa bidhaa iliyoisha muda wake (expire)?

    Blue Band haina Expiry date, ina Best Before date. Pia, Blue Band ina 9-month shelf-life maana yake inaweza kutimika miezi 9 baada ya BB date. Mleta mada labda ulete BB date ili tujue kama kweli siyo salama kwa matumizi.
  5. Forgotten

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Huyu SJR na Glazers wakimfukuza EtH itakuwa ni ufala sasa. Project inahitaji mwaka wa 3 maana mpaka sasa bado kuna maeneo anatumia wachezaji wa makocha waliopita. Msimu wa 3 ndiyo utaonyesha picha kamili kama project yake itafanikiwa.
  6. Forgotten

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Trophies won from 2022-24 Man United: 1 Arsenal: 0 Cup finals reached from 2022-24 Man United: 3* Arsenal: 0 😁
  7. Forgotten

    Kwanini Watu Wanaoishi Dar, Arusha na Dodoma Hujiona ni "Business Class"?

    Dar na Arusha ina kipi cha ajabu mpaka mtu akiishi hapo aonekane anaweza kuishi mahali popote Duniani? Majiji yote hayo yana fursa kwa kila mtu, kuna maisha ya kila aina. Kipato chako ndiyo kinaamua usihi vipi. Dar na Arusha ndiyo sehemu rahisi zaidi kuishi maana kuna fursa ukiwa nje ya hayo...
  8. Forgotten

    Mauritius wana nini Zanzibar tushindwe?

    1. Udini. 2. Hatari ya uvunjifu wa haki za binadamu. Wakati, Mauritius ni moja ya nchi rafiki katika kusimamia na kulinda haki za binadamu. 3. Miundombinu mibovu pamoja na magari chakavu. Wakati, Mauritius walitoa duty fees kwa magari ya umeme kuingizwa nchini mwao mpaka mwishoni mwa June...
  9. Forgotten

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hiki kikosi cha leo hiyo defense na midfield inaogopesha. Angalau tunajaribu kitu kipya leo huenda vijana wa EtH wakatushangaza.
  10. Forgotten

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Tunao-stream mechi leo hali mbaya. Bora wangempa kibali Elon na Starlink yake! #GGMU
  11. Forgotten

    Brighton & Hove Albion F.C. (The Seagulls) | Special Thread

    Chama linanihitaji. ALBIOOOOON!!!
  12. Forgotten

    Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

    Umenikumbusha kipindi nipo shule kuna maza alikuwa na mgahawa ukinunua chapati au vitumbua unapewa rosti ya maini bure. Sasa hivi ndiyo najiuliza yale maini alikuwa anatoa wapi! 😅
  13. Forgotten

    Kwanini kuna katazo la kutowapa watoto wachanga chini ya miezi sita kitu chochote zaidi ya Maziwa ya Mama?

    Kabla ya miezi 6 mfumo wa umeng'enyaji wa chakula unakuwa haujakomaa. Kumpa mtoto chakula kabla ya miezi 6 inaweza kupelekea kuongezeka uzito kupita kiasi, kupaliwa, kukosa choo, kutapika, kuharisha, n.k. na hii yote ni hatari kwa afya ya mtoto. Maziwa yana virutubisho vyote muhimu kwa ukuaji...
  14. Forgotten

    Kuna shida gani? Vijana wengi wanaohitimu wa kozi ya IT hawawezi kutengeneza website

    Elimu yetu ni utapeli. Kwa Dunia ilipofikia unaweza kusoma Computer Science mwenyewe na ukawa vizuri. Mimi naona wengi wanaenda chuo kuchukua tu vyeti maana hata ukitaka uwe Programmer mzuri lazima utarudi kujifunza mwenyewe tu, lecturer anakupa vi-PDF uchwara na sessions mbili-tatu, anatoa...
  15. Forgotten

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ogopa sana Premier League early kick-off. Mechi ya mapema huwa lazima itoe matokeo yakushangaza. The Cherries nao si haba msimu huu, Arsenal wanaweza kupigwa tukio mapema tu kabla hawajafika machinjioni 'Old Trafford'.
  16. Forgotten

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    United hatuna cha kupoteza tena, UCL imeshaendha hivyo ili Arsenyani wajiweke nafasi nzuri kwenye mbio za ubingwa wa EPL ni lazima watufunge OT. Itakuwa siyo kazi rahisi kwa Arsenal. Kwenye mechi nyingi Arsenal wanapokuwa under pressure huwa wanaboronga na ni kwasababu ya uchanga wa kikosi...
  17. Forgotten

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ishukuriwe VAR!
  18. Forgotten

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Washinde tu aisee ila hawa wachezaji wetu hawajifunzi kitu. Angalau Sir. Jim analeta watu wa mpira, yani uwanjani huoni tofauti ya mchezaji wa United na Coventry.
  19. Forgotten

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Sitashangaa United au Chelsea wakibeba EPL kabla ya Arsenal. Misimu miwili mfululizo mnaongoza ligi na kupiga kelele ikifika mwishoni mnaachia wahuni wajipigie tu.
Back
Top Bottom