Search results

  1. Tajiri mpole

    Unakumbuka nini kuanzia Mwaka 1998 hadi 2000?

    Umenikumbusha kulikuwa na kipindi nadhani Chanel 10 kikiitwa Muziki na Buzz,Alikuwa akiendesha Frenk Mtao na Salma Msangi.Yaani nilikuwa natuma sana Salamu kwa Email kwenye Internet cafe...
  2. Tajiri mpole

    Unakumbuka nini kuanzia Mwaka 1998 hadi 2000?

    Yupo sahihi lakini miaka ya 2001 ndio Video yake ilibamba sana,Hata mimi nilinunua mwaka huo.Ndani kulikuwa na nyimbo nyingi nzuri zikisindikizwa na Sauti nzuri ya Dada Beatrice Muhone.
  3. Tajiri mpole

    Maigizo ya Balozi Dkt. Nchimbi kwenye mikutano yake yanakidhalilisha chama, abadilishe mapigo kidogo

    Yaaani Nchi kama imerogwa,Watu wenye maono na akili wapo lakini vile Siasa na wana siasa ndio wanaamua mustakabali wa maisha haina budi...
  4. Tajiri mpole

    Kiasi Gani Cha fedha uliwahi kuokota? Ilikuwaje?

    Zakwangu tafadhali 😂😂
  5. Tajiri mpole

    Zengwe lagubika ziara ya Rais na wasanii; waratibu wadaiwa kufanya mchezo mchafu

    Daaaa huyu jamaa mpare ni malaya balaaa Tangu namfahamu akifundisha pale Ilala
  6. Tajiri mpole

    Nafikiri hizi nyimbo 20 za Bongo Flava ndizo bora kwa muda wote

    Kuna song inaitwa MOYO by Alicom ni balaa,
  7. Tajiri mpole

    Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

    Sasa huyo ndio Bwana Pengo anamtabiria Urais baada ya safari ya Kizimkazi.Kazi kwelikweli
  8. Tajiri mpole

    Rais Ruto kuweka mikono nyuma ni ishara ya utii kwa Marekani

    Sasa kwani kuna Taifa lolote la Africa ambalo halina Utii kwa Taifa la Marekani?
  9. Tajiri mpole

    Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa

    Aaaa wapi,Mwamba amemshauri mjanja mwenzie ajiunge EAC ili waje wawaibie wajingajinga kama sisi watu wa Kizimkazi.
  10. Tajiri mpole

    Mume wa sasa wa pastor Irene Uwoya ni nani?

    Hii ni staili yasasa kwa wauza Sembe...Hapo hakuna Mchungaji.
  11. Tajiri mpole

    Siyo kwa ubaya, nauliza tu: Gari la Lissu halitengenezeki? Je, halikuwa na bima kubwa?

    Sisi tumetaka kumchangia siyeye ameomba!!Kuhusu gari mbona ni nzima na jana ilikuwa kijijini Singida ndugu wakishuhudia.
  12. Tajiri mpole

    DOKEZO Mtanzania huyu alikuja Marekani kusoma, akapata changamoto ya Akili, sasa hivi anaishi Mtaani, anahitaji msaada

    Hiyo video inamaanisha sana,Kitendo chakukataa pesa na kukataa msaada na kuonana na mtu haswa wakiume. Watu watakuwa wanafanya kitu mbaya sana Jane jamani
  13. Tajiri mpole

    Kumbe Nesi aliyeokoa Uhai wa Lissu Dodoma Hospital alifukuzwa kazi, Akutana na Tundu Lissu kuomba Msaada wa Kisheria

    Nayeye alikwisha wahishwa,halafu wakampoza mtoto wake kwa ubunge, Yaani kama ilivyokuwa kwa Mgimwa
  14. Tajiri mpole

    Taja jina la mtu ambaye hujawahi kukutana nalo zaidi ya mara moja

    1.Mwanyongo 2.Mpenda Wali 3.Mchegumbo 4.Godoro fundi 5.kimbunga Suguti 6.Suguti Bwai 7.Tumbo Risasi 8.Jaka Mwambi
  15. Tajiri mpole

    Leo ndio nimejua kwanini wanawake wanajiingiza katika tabia za udangaji

    Umesomea nini chuo na katika level gani?I see mshahara wa 250k ndogo sana si mishahara wa Shamba boy au dada wa laundry.Labda kazi iwe karibu na makazi yako.
Back
Top Bottom