Search results

  1. Mgeni wa Jiji

    Hali ya kiuchumi arusha inazidi kushuka kila uchwao.

    Bei ya ardhi, hicho kipimo balaa
  2. Mgeni wa Jiji

    Hali ya kiuchumi arusha inazidi kushuka kila uchwao.

    Sana Mkuu, nje ya mji kama Ngulelo iyo 150k unapata kwa kulenga sana tena ni room 1 na sebule tu. Hapa anasema nyumba ya room 3 😂😂 sijui katuonaje huyu jamaa.
  3. Mgeni wa Jiji

    Hali ya kiuchumi arusha inazidi kushuka kila uchwao.

    Tuache ubishi, kesho tukutane Florida saa tano ukanioneshe hiyo nyumba ya vyumba vitatu ya 150k, mimi nitakupa 200k. Njoo inbox nikupe namba ya simu tuwasiliane.
  4. Mgeni wa Jiji

    Hali ya kiuchumi arusha inazidi kushuka kila uchwao.

    kabisa Mkuu, mleta uzi aombe code za utalii na hela ya huu mji asaidiwe sio tusema mbaya na lawama.
  5. Mgeni wa Jiji

    Hali ya kiuchumi arusha inazidi kushuka kila uchwao.

    Nimemsoma iyo kodi tu nkaona ni miyeyusho.
  6. Mgeni wa Jiji

    Hali ya kiuchumi arusha inazidi kushuka kila uchwao.

    Labda ni kwavile ndio kati kati ya Afrika, si unajua tena mtu mweusi anaheshimu sana kitovu
  7. Mgeni wa Jiji

    Hali ya kiuchumi arusha inazidi kushuka kila uchwao.

    Uliposema makao mapya kodi ya nyumba ya vyumba vitatu 150,000 nimeacha kuuzingatia huu uzi Mkuu.
  8. Mgeni wa Jiji

    Mama mkwe anamhimiza mke wangu anichune; naomba ushauri

    Ma Broo lia lia kwenye moja na mbili za ndoa. #KATAA NDOA
  9. Mgeni wa Jiji

    Natafuta mke hasa mtu mzima wa kuoa ambae yupo serious

    Huyu ndugu hapendi ubaguzi kabisa. Yeye ni mwendo wa kanyaga twende.
  10. Mgeni wa Jiji

    Rasmi serikali yaruhusu na kuzindua matumizi ya magari ya umeme Tanzania

    Inatafutwa hela ya uchaguzi kaka, mfano zile piki piki za umeme zimeingia nyingi sana lazima waruke nazo. Soon tutafika MC 001 FAA
  11. Mgeni wa Jiji

    Wadudu wa Arusha ni uchafu wa kijamii, sio sifa njema kwa Arusha. Ududu upigwe vita!

    Kabisa Mkuu. RC naona mwanzo hakujua kuwa anaingia chaka. Sahivi naona ameanza wakataa kimtindo japo kachelewa.
  12. Mgeni wa Jiji

    Rasmi serikali yaruhusu na kuzindua matumizi ya magari ya umeme Tanzania

    Hatakuwa na usajili kwenye mfumo wetu, si unaona hata hizi piki piki za umeme hazina usajili. Ila sasa hivi nadhani zitatakiwa kusajiliwa rasmi. Hichi ni kichaka cha mapato yaliyokuwa tanapotea.
  13. Mgeni wa Jiji

    Wadudu wa Arusha ni uchafu wa kijamii, sio sifa njema kwa Arusha. Ududu upigwe vita!

    Kuna aina mbili za wadudu Wadudu wasanii (feki) na ndio unawaona wakiwa mara na RC mara wapo kwenye mziki. Hao sio wadudu wenyewe bali wasanii tu hao. Alafu sasa kuna, Wadudu Og, hawa ndio watu hatari. Kwanza hawana shobo na serikali sababu ni adui wao namba moja, why? Sababu ni wahalifu...
  14. Mgeni wa Jiji

    Kwa yanayoendelea Arusha na RC Makonda, ni dhahiri watumishi wa umma wengi ni wazembe na hawana sifa!

    Ukweli ni kwamba, watumishi wengi ni wavivu wa kufikiri na hawajui kujieleza. Kuna muda wanafanya mambo mtu unaliangalia unasema hili linaweza kufanywa na mtu mpumbavu tu. Uvivu wa kufikiri ni tatizo kubwa sana
  15. Mgeni wa Jiji

    Dada, kama unataka kuolewa zama hizi kaa kijanja

    Uwaonye pia kuwa tukusubirishwa sana siku tukiipewa hatuitaki tena, so watupee tu. Ndoa hauwezi kuwa malipo ya kupewa K.
  16. Mgeni wa Jiji

    Wasanii wa kiume wenye macho ya kuvutia Tanzania

    Ni bro wa 40 years huyo Mkuu. Anasema anamiguu laini anayoipenda na kila akioga anahakikisha kajisafisha kila kona ya mwili wake. Kashagombana sana na ndugu na mama yake kisa tabia zake hizo. Pia hajaoa bado sababu hajampata Sinderela wake. Alipo hatujui, ila ni jamaa mmoja anafikirisha.
Back
Top Bottom