Search results

  1. Kalpana

    Kibu Denis ni mchezaji kituko aliyeamua kuwa tapeli Simba Sc

    Sasa mwehu ukitushauri si tutawehuka wote?? Hahahhahh
  2. Kalpana

    Mimi ni Simba: ila hii Yanga inakera

    Kama raisi wa wala mihogo...
  3. Kalpana

    Kibu Denis ni mchezaji kituko aliyeamua kuwa tapeli Simba Sc

    Karibu sana unataka wine gani mdogo wangu...nikupe unywe ufurahi...
  4. Kalpana

    Kibu Denis ni mchezaji kituko aliyeamua kuwa tapeli Simba Sc

    Tulia mwana uto ya Simba waachie wenyewe...
  5. Kalpana

    Mention someone without any reason just to disturb them

    Ngoja Mungu aikaushe ardhi kwanza maana mafuriko yaliozesha nchi 🤣 🤣 🤣
  6. Kalpana

    Mention someone without any reason just to disturb them

    Nipo gud gud mtani...vipi ww pande za kigambonino...
  7. Kalpana

    Mimi ni Simba: ila hii Yanga inakera

    Waulize wakwambie...
  8. Kalpana

    Mimi ni Simba: ila hii Yanga inakera

    Tulia ww mtoto mdogo..level zetu hugusi tupo na kina Alhly kwny 10 bora...nyie wenzenu ni Marumo
  9. Kalpana

    Sikujua kama presha ikipanda kuishusha Ni kazi tofauti Na kupandisha presha iliyoshuka

    Mungu ni mwema..atakaa vizuri kikubwa azingatie mlo..maji..mazoezi kidogo kidogo ..
  10. Kalpana

    Kizazi cha 1978-1985 hatuzeeki. Je, unajua sababu?

    Kumbe wa 90 nao niwazee? Sikujua
  11. Kalpana

    Kizazi cha 1978-1985 hatuzeeki. Je, unajua sababu?

    Joti ana 45???? Nyiee yani mpoki ana 47?? Acha masihara
  12. Kalpana

    Kizazi cha 1978-1985 hatuzeeki. Je, unajua sababu?

    Hako kajamaa kana 50 samthingi eee..hakazeekiiii
  13. Kalpana

    Mimi ni Simba: ila hii Yanga inakera

    Yote ni makombe mchagua jembe si mkulima...
  14. Kalpana

    Sikujua kama presha ikipanda kuishusha Ni kazi tofauti Na kupandisha presha iliyoshuka

    Pole kwa wifi..hyo ni hatari...japo anaweza kuonekana yupo normal anafanya kazi zake n.k ila humo ndani injini imechemka hatarii...
  15. Kalpana

    Mfano wa wazi kuwa nidhamu inalipa ni MC Eliud

    Haya mwaisaa...
  16. Kalpana

    Tuongee ukweli hapa 🤣🤣

    Kwahyo umekosa picha ya binti yake mama Kimbo?
Back
Top Bottom