Search results

  1. kwenda21

    Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Kipi kizuri kimoja tu alichokifanya ambacho unaeza sema ona ile,huyo mjanjamjanja tu,ndo maana magu alimshtukia akampiga chini,anatumia njia ya kijuana na viongozi
  2. kwenda21

    Kukamatwa kwa Malisa na Boniface Jacob kutatoa fursa ya kuujua ukweli maana Magufuli alisingiziwa mengi na wapinzani wake

    Nahisi ni kuwasamehe tu,nchi hii uzushi na uongo no mwingi Sana,tukianza kukamatana mtashangaa
  3. kwenda21

    Watoto wa maskini waende wapi kuenjoy?

    Jana nilienda coco, parking fees imehamia hadi kwenye boda, Tena Kuna watu Kama wawili sijui ni maaskari wake, maana wako na redio calls kabisa,ni mi wakali balaa. Zamani kulikuwa na jamaa ukitaka Unaenda kupaki kwake na Kama hutaki utajua mwenyewe, kakae na pikipiki yako Kama ni takwa la...
  4. kwenda21

    Kwanini CHADEMA huwa inashindwa kusaidia wananchi hata kilo moja tu ya sukari wanapopatwa na matatizo?

    Wanaweza Ila unazani itakuwa rahisi kupata hata hiyo access ya kufikisha hivyo hivyo vitu,hukumbuki huko nyuma
  5. kwenda21

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mbaya sana
  6. kwenda21

    Kikokotoo turufu ngumu kwa CCM na Serikali yake

    Watu wapewe pesa zao shida iko wapi
  7. kwenda21

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Duuu
  8. kwenda21

    Kazi ninayofanya inaniletea maumivu makali ya mgongo, nifanyeje kukabiliana na hili?

    Kwani unanyanyua na mikono?,fanya hivi,lala chini kwenye kapeti,achana na kitanda,,pili punguza uzito
  9. kwenda21

    Leo ni furaha baada ya kulipwa na niliyekuwa ninamdai

    Mimi niliifundisha akili yangu kuhusu pesa,pesa ukiiendekeza na kuoheshimu naapa,hutoipata na itakusumbua sana,mpaka ushangae
  10. kwenda21

    Leo ni furaha baada ya kulipwa na niliyekuwa ninamdai

    Poa leo nikienda kitambaa nitavuta dada mmoja mle ndani ,nimnunulie kvant ndogo na msosi
  11. kwenda21

    Leo ni furaha baada ya kulipwa na niliyekuwa ninamdai

    Kwani aliyemuumba hajui kuwa kuna mtu wake anashida
  12. kwenda21

    Leo ni furaha baada ya kulipwa na niliyekuwa ninamdai

    Njoo kitambaa cheupe sinza,sijui pana nini hapa,hela yote inaishia hapa
  13. kwenda21

    Leo ni furaha baada ya kulipwa na niliyekuwa ninamdai

    Miaka miwili iliyopita nilitapeliwa na mtu ambaye nilimuamini sana, akakimbia sikujua anaishi wapi, wala ndugu yake hata mmoja, ila nilimwambia tutakutana tu, na kukutana ni tendo la lazima. You cant get away its will happen, nikamwambia kwa kuwa sifahamu unapoishi, tukikutana utanilipa...
  14. kwenda21

    Ni wakati sasa Afrika turudi kwenye dini zetu za asili

    Wakristo washashtuka ndo maana wanapigana hela tu,bado wengine
  15. kwenda21

    Makonda kupelekwa Arusha ni mtego

    Hawezi ,hakuna raisi wa kumuachia afanye atakavyo
  16. kwenda21

    Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua anakupa tu, wakati unapokufikia

    Mungu hatoi kitu broh,biashara yake na yko iliishia alivyokupa akili,kila kitu ni juhudi yako,ingekuwa anatoa,angempa nuhu safina ya bure
Back
Top Bottom