Search results

  1. Penguini

    Mke wangu anajiona mzuri sana halafu kumbe wa kawaida

    👿👿Mke mkerembeshe, ukimshindwa anakuwa mkemia, kila kitu ana uwezo wa kukitambua, hakuna demokrasia kwenye ndoa, hata adamu aliishi na mke wa pili, kuna aliyeumbwa sambamba nae kwa udongo(mzo 1:27) na yule aliyetolewa ubavuni mwake (Mzo 2:21-22)
  2. Penguini

    Mke wangu kanipa wakati mgumu

    kuna wanaowakamata ugoni ila wanaendelea kuishi ,kuna wanaonusurika kupewa sumu ila wanaendelea na ndoa! amua utakacho, hapa jf hakuna mawazo ya kutoaheleza moyo wako ujje, maana sitaki nataka haina ushauri
  3. Penguini

    Lissu and the Company, wamefaidi matunda ya Muungano wamewapa watoto wao uraia wa nje, sasa Wanapotosha vijana, tuwakatae kwa nguvu zote

    **** magonjwa lazima athibitishwe na daktari, ila mengine yako wazi tu pole ndugu
  4. Penguini

    Wakemia wa sabuni wamepitwa na teknolojia?

    kufua ni kuosha nguo kuonga ni kuosha mwili, sijajua vyema utofauti wa sabuni hizo kama zina side infect ila zinafanya vizuri tu kwa maana ya
  5. Penguini

    Wakemia wa sabuni wamepitwa na teknolojia?

    mi mwenyeqe nimemshangaa, make. kwenye korona aliosja mikono sana huyu ila anajitoa akili jawa wanaoyengeneza zinazowasha bado hawajaamka eee?
  6. Penguini

    Wakemia wa sabuni wamepitwa na teknolojia?

    kufua ni kiasha nguo na kuoga ni kufua mwili hakuna tofauti hapo, hoja ni aina za sabuni
  7. Penguini

    Wakemia wa sabuni wamepitwa na teknolojia?

    waje watu update huenda zipo japo tupo wengi hatujawahi ziona
  8. Penguini

    Wakemia wa sabuni wamepitwa na teknolojia?

    Habari zenu wana jamvi, Kila mmoja wenu anajua kuwa unapoosha kichwa ama uso kwa sabuni, mapovu, huwasha machoni, je kwa zama hizi bado tuna ubunifu 'dhaifu' kiasi hicho? Juzi juzi nimeugua macho, ule ugonjwa uliovuma sana, na kwa kuwa kipindi cha virusi vya korona tuliambiwa kuwa virus...
  9. Penguini

    Msajili wa vyama vya Siasa unasubiri nini kuifutia usajili CHADEMA wakati inaendelea kukiuka sheria na kuchochea chuki na ubaguzi?

    Kuwaza kufuta CHADEMA ni upeo mfupi wa kufikiri, huwezi kuwa Greet thinker usijue ukubwa wa kazi zilizofanywa na Chadema kuibua mambo nchi hii, nachelea kusema 'Ushabiki' ni neno sawa na 'uhuni'
  10. Penguini

    Nimeamini wanaume hawaaminiki

    kumwamini mwanaume kwamba hawezi kutongoza nje ni ujinga unaotokana na kukumbatia mafundisho ya wazungu, waliyoyaleta kwa maslahi yao, maana kwa asili kila kiumbe cha kiume kinazo sababu za asili kuwa na jike zaidi ya moja. Ibrahimu baba wa imani ya kikristo alikuwa na wake wengi japo uzinzi...
  11. Penguini

    Natafuta mchumba(ke)

    hapo mtaani kwako kama kakuna hapa jf kuna wakubwa kuliko umri huo, labda wakupe watoto wao
  12. Penguini

    Mstaafu anapewa milioni 17 baada ya miaka 40 mbunge millioni 17 kwa mwezi

    HII NI SUMU INAYOPIKWA IKISHAIVA CCM ITABAKI KWENYE MAFAILI TU!
  13. Penguini

    Chemistry ya waandamizi wateule CCM ni moto mkali kwa upinzani dhaifu sana nchini

    Nadhani uwezo wako hautoshi kutambua mwanasiasa mwenye uwezo wa kufanikisha mikakati ya chama kwamba anatakiwa aweje.
  14. Penguini

    Asha (47) ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mvulana wa miaka 15

    Hivi hakuna wanasheria hapa watufafanulie imekaaje hiyo?
  15. Penguini

    Asha (47) ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mvulana wa miaka 15

    Bora wamfunge tu, ingawa huenda hana akiri timamu, maana miaka 15 hata hajui kumkojoza mwanamke, ye alifata nini wakati kuna ma rijali wanaita kila anaekatisha mbele yao?
  16. Penguini

    Waandalieni ndugu zenu sehemu za kukaa

    Kama watanzania waje tu, tuna mapori mengi ya akiba
  17. Penguini

    Nimeoneshwa maono kuwa babu Seya anaachiwa huru

    Ni ndoto, yuko usingizini
Back
Top Bottom