Search results

  1. makaveli10

    Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

    Dah, kmmke walai, ama kweli nimezeeka, kweli ilikuwa mwaka juzi 😂
  2. makaveli10

    Vijana tulio 'Mahandsome' tunapata “favor” maeneo mengi sana

    Tupo hapa wenye sura zentu PASONO... Kikubwa tunapumua tu, hongereni nyie maHENDISAM.
  3. makaveli10

    Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

    Jamani, basi kina marry mlokole.😂
  4. makaveli10

    Mama mkwe anamhimiza mke wangu anichune; naomba ushauri

    Mtongoze mama mkwe. Narudia tena mtongoze mama mkwe, muhonge muhonge hela, akisema vipi mwambie unaona pesa isizunguruke kwa binti ndio aipate, hizo anazotaka we uchunwe apate direct.
  5. makaveli10

    Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

    Basi kwa niaba ya wanawake wenzako, mie nawataka radhi, kina latifa popote kambi, ashura nchokonoe, happy miuno ya paka chongo na wengine woote, mnisamehe. 😂🤣
  6. makaveli10

    Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

    Kwa kupenda kujikweza, haya hiyo 21 umefikisha lini bwana mdogo, wewe niliona nida yako, ndio kwanza una 19.
  7. makaveli10

    Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

    Kwani we ni agness kichupi mkononi, 😂😂 jibu sio, sasa shida nini 😂🤣
  8. makaveli10

    Mpenzi wangu anakula sana kupitiliza, nimechoka hii tabia yake...

    Mwajuma ndala ndefu, hapo hujakutana na shosti zake asha ngedere, agness kichupi mkononi,
  9. makaveli10

    Waziri wa Fedha: Serikali iko mbioni kupendendekeza chanzo kipya cha mapato kupata fedha za Wizara ya ujenzi kutatua dharura

    Nchi hii, na hivi wanajua kama sisi WADANGANYIKA mapoyoyo ni wengi, wanajifanyia wajisikiavyo, mtu wa chini ndio hali inazidi kuwa tete.
  10. makaveli10

    Ushauri: Michirizi inamsumbua mama watoto, afanye nini iache kumuwasha?

    Hapa madaktari wahuni wa JF lazima wakuombe picha. Na kweli picha ina umuhimu katika hatua za kujaribu kung'amua tatizo. TUNAOMBA PICHA TAFADHALI
  11. makaveli10

    Russia decapitated: Russia Early-Warning (Nuclear) Missile Radar ATTACKED

    Putin angekuwa na roho ya kinyama kama netaPAKA saa hizi Ukraine tayari hakuna kiumbe.
  12. makaveli10

    Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi juu ya tuhuma za baadhi ya Trafiki kuhusika na uchepushaji wa fedha

    Maelezo bado hayajamaliza utata Wiki 1 nyuma jamaa yangu kanisimulia, alipigwa cheti kisha akalipa, baada ya wiki kadhaa akadakwa, anaambiwa anadaiwa, jamaa akasema mbona kalipa, akawaonesha na meseji, polisi nao wakamuonesha kuwa hakijalipwa, ukitizama kwao bado deni, huku kalipa na control...
  13. makaveli10

    Naomba ushauri kulingana kipato changu na maisha ninayoishi

    We tumia pesa, uweke unamuwekea nani? Hapo naona huna matumizi mabaya, kula vizuri lala vizuri, usijibane bane, kinachobaki ndio ufikirie mengine, maisha mafupi haya.
  14. makaveli10

    Marekani: Bilionea mwingine apanga safari ya kuchunguza Mabaki ya Titanic

    Kote huko majibu utapata, hadi kuzaa nishafanya tafiti. 🤣😂
Back
Top Bottom