Hello.
Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe.
Au ndo masharti ya mganga wao.
Diamond Hajaonekana kwenye msiba wa Gadner G habash.
Habari .
Ebu tuambie Mbunge yupi unatamani asirudi bungeni na utaje sababu?
Gwajima Hakuna alichofanya kawe.
Babu tale siasa 2020 ilimbeba sasa ni muda wa kusimamia majukumu ya kimziki.
Ummy Mwaimu upepo wa Corona ulimwendea vizuri ni muda wa kupumzika sasa.
Karibu tujifunze kitu.
Habari.
Shirika gani la serikali au Taasisi gani ya serikali ni ya Ovyo na linatakiwa kufanyiwa marekebisho.
Ndugu mwananchi litaje na lieelezee ubovu wake viongozi wa serikali wapete mawazo ya kufanya.
TANESCO nashauri litaifishwe.
Habari,
Kama wabunge wameshindwa kutatua matatizo madogodogo ya wananchi na kumwachia muenezi Makonda.
Kuanzia ma DC, watendaji wa halmashauri wote wamemwachia Makonda.
Je, sisi tunathamani ipi ya kuwapa nafasi mwaka 2025?
Msanii kutoka kambi ya wakimbizi nyarugusi Founder Tz .
Nilikuwa naomba Jamii tumtazame kwa jicho la tatu anakitu cha ziada.
Amefanikiwa kutoa Hints songs Kali ya kwanza iliitwa nitatokaje na hivi Karibuni amekuja na kibao cha niepushie.
Wadau wa mziki msianche hii Mali mbona kwa misso...
Kuna mchungaji anajiita Rose shaboka.
Nadhani Kuna mahubiri yake ya hivi Karibuni amekuwa akihamasisha wanawake waendelee kuwa singo na wala wasiwe na haraka ya kukimbilia ndoa.
Ilhali yeye mwenyewe ana ndoa yake tena ameipata kwa kuipambania kutoka kwa msanii wa nyimbo za injili angel...
Habari.
Kutokana na yanayoendelea nchini kwetu.
Kuanzia Tanesco, Dawasco.
Masuala ya ajira.
Rushwa zisizoeleweka.
Upotevu wa fedha na Tozo zisizo na kichaa.
Inamuhitaji mtanzania asiye na akili timamu kuipigia kura CCM.
Habari.
Siko hapa kwa ajili ya kuondoa amani ya mtu yeyote yule wala kumkejeli ila kwa mwaka jana nimepata uzoefu wa kutembea na wanawake na 50+ mpaka nikamshukuru Mungu sikupata kubwa.
Ila kuna mambo kama matatu nimeyaona kwa wanawake wengi.
La kwanza wanawake wengi wa sasa wananuka uchi ile...
"Asiyetoa mchango au ada ya takataka akamatwe, na ndio maana tarehe 23 na 24 tutafanya usafi kabambe na magari yatakuwepo kubeba taka sasa atakaejifanya takataka na yeye atabebwa"
"Tarehe 20 na 21 nitagawa vifaa vya usafi kwa vyombo vya dola watu wapige kazi mpaka jioni, watu wanachanganya...
Hello,
Nitumie njia ipi nifanikiwe kwenda kufanya kazi nchi zenye fursa kama USA, CANADA, UK, GERMANY.
nina background ya afya.
Ila natamani niingie kivyovyote vile professional ninaweza kuitumia baadae.
Kitu nilichofanikiwa kupata mpaka sasa.
Passport.
Document za shule.
Je, vitu gani vya...
Leo nimekaa nimejiuliza nimeshindwa kupata jibu.
Kiuhalisia karibia zaidi ya watu 10 sasa kila nikijaribu kujenga nao ukaribu kwa macho yangu nashuhudia wenzangu wakifanikia mimi nikibaki.
Ikitokea Nimeanza mchakato wa kutafuta ajira kiukweli mwenzangu atafanikiwa na kupata kazi haraka tofauti...
Diamond amenza kufulia kimuziki.
Anatengeneza kiki za kijinga.
Jana ameibiwa Kofia Lengo ili atrend mtandaoni.
Bado anachakujifunza kutoka kwa wakina Davido ,Rema
Habari.
Kabla haujaondoka katika ulimwengu huu jambo gani kubwa unatamani Mungu akujalie katika maisha yako ulikamilishe moyo wako utakuwa na amani.
1. Kuacha mazingira mazuri ya watoto wangu kusoma na kuishi.
2. Kusoma hadi Masters
3. Kuwa na hela kama million 100 bank na miradi
Habari.
Wakazi wa Tegeta, Boko, Bunju hadi Kawe hatuna Maji yanayosambaza na DAWASCO siku ya tano (5) hali ni mbaya.
Tunaomba Dawasco wawe wanatoa taarifa kuhusiana na mgao maana kipengele cha customer services satisfaction wanafeli.
Kwanini wasiotoe taarifa ya kipi kinaendelea katika siku...
Habari.
Haya Tujiandae na kazi kesho.
Mawasiliano katika maisha ni jambo la msingi sana katika Dunia ya sasa ila pasipo na mipaka yanaumiza sana na yanaweza kuchafua taswira yako kabisa.
Turudi kwa mada.
Kwa upande wangu mimi binafsi nina principal tatu nilizojiwekea katika mawasiliano...
Alikupa nini Yule mwanamke au mwanaume ambacho haujawahi kupata tena Maishani mwako katika ulimwengu wa kunyanduana?
Nilikutana na papuchu yenye joto nachokumbuka nilipiga Goli 5 kwa usiku mmoja yule mwanamke hakunipa tena aliolewa papuchu ilikuwa ina joto nyie...achaa
Wanaume 167 kati ya 200 wamefanyiwa upasuaji wa mabusha Mkoani Mtwara kwenye kampeni ya matende na mabusha iliyofanyika Mkoani humo kuanzia Feb 06,2023 hadi Feb 14,2023 “Mabusha huwapata Wanaume na Wanawake ila safari hii hakuna Mwanamke aliyekutwa na busha”, taarifa imeeleza.
Mratibu wa...
Nakumbuka mwaka jana nimetoka na Demu wangu out sasa sio mpenzi sana wa haya mambo ila nilifanya hivyo kumfurahisha.
Tukafika kahotel kamoja kako busy sana na kana wazungu wengi, kiukweli mimi hata sikuhitaji menyu nikaagiza wali na sato..na demu wangu naye akataka hivyo hivyo na juisi ya...
Habari.
Maisha yana hadithi nyingi sana ila mimi ninachokumbuka kuna muda mwanamke mmoja alikuwa amenipenda sana kipindi ambacho mimi nimetoka kumaliza chuo sina kazi ila mtoto ananielewa balaa.
Kiukweli mimi nikaona kama ananiingiza ila dada wa watu anafanya kazj kwa mshahara mdogo ila kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.