Search results

  1. Mashaurijr

    Mwanamke kama unataka uhuru kataa kuhudumiwa kataa mahari, mauaji yamezidi

    . Hakuna mwanaume mwenye hasira na wivu mkali kwa mwanamke asiye mhudumia wala kumlipia mahari labda awe mpumbavu. Mauaji mengi ya mwanaume kumuua mwanamke sio kwa sababu ya wivu wa mapenzi bali kwa asilimia kubwa ni fedha na garama zilizomtoka tofauti na mwanamke ni mapenzi Wanaume wengi...
  2. Mashaurijr

    Kuna uhusiano gani kati ya Hali ya Hewa na upwiru?

    Siku ya leo ni balaa . Vichwa vingi vinawaza uzinifu tu. Bora hata uwe busy ukiwa jobless ni kama unabeba na upwiru wa wenzako unakutesa kinoma kisha huna hata buku tatu ukachungulie mitaa ile . Kwa hali hii Wazee wa kataa ndoa inabidi tunajaribu kupiga tathmini hali hii, majibu tutatoa baada...
  3. Mashaurijr

    Kosa langu nini ni Vannesa?

    Kosa langu nini ni Vannesa? Mchana usiku bado nakuwaza Vannesa. Siku wiki miaka inapita bado nakuwaza Vannesa . Kosa langu nini Vannesa? Kwa jina naitwa Assenga Mashauri . Ni kijana wa miaka 28 kwa sasa. Bila shaka wengi mshajua mimi ni mzaliwa wa wapi kutokana na jina nililo watajia ila kwa...
  4. Mashaurijr

    Hakuna utu au ubinadamu bila dini

    Habari ndugu zangu. Wakubwa shkamoo...... Ushawahi kujiuliza maisha yangekuwaje bila Dini? Leo nimewaza nikawazua na kuangalia mifano iliyohai kuhusu uhusiano uliopo kati ya mtu kuwa na roho ya utu au ubinadamu na Dini. Baada ya uchunguzi wa kina nimegundua bila Dini ubinadamu na utu vita...
  5. Mashaurijr

    Nilioneshwa tukio la Oktoba 7 Hamas kushambulia israel mwezi mmoja kabla

    Nilishawahi kuletaga thread ya mimi kuwa na hisia zinazonichanganya na wakati mwingine nazitumia kutabiri matokeo ya jambo fulani. Kama mwezi mmoja kabla ya tukio la October 7 mdogo wangu wa mwisho alienda Israel [emoji1134] miongoni mwa vijana karibu 200 waliopelekwa na serikali kupata elimu...
  6. Mashaurijr

    MWENYEKITI WA CHADEMA TANGANYIKA , MWENYEKITI WA CHADEMA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA CHADEMA TANZANIA.

    Kama kweli tumedhamiria kuirudisha Tanganyika tuanze ndani ya chama. Sitarajii tena kusikia habari za Tanzania bara na visiwani. Tuweke huu muundo mapema kabisa usaidie katika kuleta mabadiliko Hata utambulisho wetu Uzanzibar na Utanganyika usikosekane Tukazie hapahapa kwenye mshono
  7. Mashaurijr

    Manager wa TRA Handeni mjini ni tatizo

    Wakuu sijawahi kukutana na mtu mkorofi mtata na mwenye visasi kiasi hiki. Biashara imekuwa ngumu sana mpaka nawaza kuifunga tu asije akanipeleka jela bure maana amepania kupeleka jela wafanyabiashara 6. Wakuu miezi kadhaa nyuma maduka yote Handeni mjini tuligoma kufungua mpaka mkuu wa wilaya...
  8. Mashaurijr

    Chupuchupu leo nife kwa ajali kisa boda kuumizwa na mapenzi

    Kati ya siku ambazo sitazisahau kwenye maisha yangu yote ni leo. Muda wa saa nne asubuhi nimeenda kutembelea biashara yangu moja mtaa fulani hapa hapa dar . Biashara ilipo lazima utumie bodaboda au bajaji kufika. Sasa ile kwenda nimeenda fresh nimefanya yaliyonipeleka mpaka saa tano na nusu...
  9. Mashaurijr

    Mtoto wangu ana baba wawili

    Wakuu maisha yangu yamejaa mapito magumu sana ambayo kuwa sitarajii kabisa kukutana nayo kwenye maisha yangu. mwaka juzi mwezi wa kumi tarehe 9 nilitoka mbeya na kurudi dar na kesho yake nilikutana kimwili na mwanamke ambaye tulikuwa na mahusiano kitambo . Baada ya kumaliza yaliyonileta dar...
  10. Mashaurijr

    Magodoro aina zote yapo kwa bei ya punguzo

    Tupigie 0717758409 . Tunakuletea mpaka nyumbani kwa Dar es salaam na kibaha.
  11. Mashaurijr

    Maisha ya uzeeni bila hela ni tabu sana

    Unafikia umri umemtamani mtoto wa kike mrembo 18+ kumwita tu anakusalimia shkamoo babu au shkamoo baba. Ujue bora akusalimie tu shkamoo Hapo ujue bado upo Ila akimalizia tu . Una hali mbaya. Sitaki uzee aisee ngoja nitafute hela
  12. Mashaurijr

    Ushawahi kuingiwa na hofu na huzuni usiyojua inatokana na nini?

    Hali kama hii ya hofu inanitokea mara chache kabla hata sijapokea taarifa mbaya . Au jambo baya kutokea na sijui kwa nini sometimes inatokea alafu nisielewe kabisa shida nini na inapotokea naanza kuwaza ni tatizo gani linakuja namwomba Mungu Aniepushie. Sasa leo nilitaka kutoka mida ya saa moja...
  13. Mashaurijr

    Nahisi nimelaaniwa wakuu, kila ninachofanya hakiendi

    Wakuu nimejaribu kupiga hatua kwenye maisha yangu na kuweka mfanyakazi kwenye biashara yangu mara 3 kwenye duka la rejareja na huduma za kifedha m pesa tigo pesa airtel money halopesa lakini kila nikiachaga mfanyakazi wengine wanafanya vizuri mwanzo baada ya muda tu anaharibu na kuleta hasara...
  14. Mashaurijr

    Kuiga biashara ya mwenzio ruksa ila kuwa na adabu usipitilize hasa kina dada

    Habari wakuu. Mwezi wa kwanza mwaka huu. Baada ya mwezi wa 12 kuonekana nina wateja wengi sana kwenye biashara yangu sasa nimepata mpinzani mpuuzi sana. Kiufupi nimeumia sana kuwa na mpinzani wa namna hii. Mpinzani wangu ni mwanamke kabla ya kufungua biashara aliweka ukaribu mkubwa na mimi na...
  15. Mashaurijr

    KERO Vispika vya matangazo vimekuwa kero kubwa kwenye masoko, mamlaka ipige marufuku

    Juzi niliamua kuingia soko la mitumba Karume kwa mara ya kwanza. Kweli ni sehemu nzuri ya kupata nguo nzuri za mitumba. Ila kuna kero moja isiyovumilika kwa watu tunaopenda ustaarabu. Kila mfanyabiashara ana spika kwahiyo kelele za pale zimekuwa ni kero kubwa sijui wenyewe wanaonaje ila kwangu...
  16. Mashaurijr

    Kama unajiona mrembo sana hujafika makumbusho wewe kama unajiona handsome sana hujafika makumbusho wewe?

    Makumbusho ukikaa masaa 2 lazima shingo ikuume kugeuka geuka kila dakika aisee hiki kutuo kimejaa maua balaa Kama unajiona umetupia umenyooka kinoma ukifika hapa unajiona mshamba tu. Shkamoo makumbusho
  17. Mashaurijr

    Namdai mkurugenzi wa Rorado fast food and service sh. Laki 6 hataki kunilipa nifanyeje?

    Wakuu vijana tunahitaji sana kutoka kimaisha lakini tunafelishwa na watu wachache wenye roho mbaya. Duka la vyakula ni mtihani sana. Huyu mkurugenzi alikuwa anahusika na kupikia shule tatu huku Kibamba. Hakuwa na mtaji wa kumudu zote na huduma nyingine anazo. Akaja tukaingia makubaliano akawa...
  18. Mashaurijr

    Ushawahi kukutana na mtu anakuchangamkia anakujua jina nyumbani ila wewe humkumbuki kabisa

    Leo nimekutana na kijana mmoja kanichangamkia kinoma noma ananijua vyema hadi anaulizia watu wangu wa karibu lakini kila nikijaribu kumkumbuka nafeli Imebidi nijichekeshe tu mpaka sasa sijamjua kabisa na kumuuliza nimeona jau Ishawahi kukukuta . Ulitokaje hapo ?
  19. Mashaurijr

    Msaada: Biashara inanipa changamoto kubwa, natamani niiache nikaajiriwe lakini nani ataniajiri? Nahisi nakaribia kuwa kichaa

    Wakuu mimi ni kijana wa miaka 28 elimu ya form six chuo niliishia mwaka wa 2 kwa sababu ya kuugua baada ya hapo nikajikita zaidi kwenye biashara ambazo ndio zinaharibu akili yangu. Tatizo kubwa linaletwa na upweke nilioishi utotoni. Niliishi na wazazi lakini mama alikuwa mtu wa kuugua na baba...
  20. Mashaurijr

    Mke wangu aliandaa tukio la mwanangu kubakwa na kulawitiwa na mchepuko wake

    Siku hiyo nilikuwa kazini. Mke wangu alibaki nyumbani na mwanangu wa kike wa miaka 11 . Sasa ilipofika muda wa saa 11 mke wangu alitoka na kumwaga mwanangu kuwa anakwenda dukani bila mwanangu kujua kule ndani tayari mchepuko wa mke wangu alikuwa amejificha ndani. Baada ya mke wangu kuondoka...
Back
Top Bottom